Kocha wa Simba aondoka Usiku huu kwenda kwao Brazil
Kocha mkuu huwezi kumpangia alale chumba kimoja na Mgunda, Hii ilisababisha kocha alale na tracksuit zake mpaka asubuhi. Kwakifupi kocha hakupata usingizi, saa 9 Alfajir Alisha waaambia Uongozi watamkuta Airport kusubiria kurudi DAR wakitokea Dodoma.[emoji28][emoji28][emoji28]
 
Alishauriwa aje na nguo chache Makolo ni genge la wahuni
IMG-20230124-WA0014.jpg
 
Thamani ya kocha mpya ilishushwa pale alipotambulishwa Gereji[emoji3][emoji3]
 
Hebu leteni habari za mikimbio ya Musonda bana, kocha wa Simba yupo na kama wewe mwanzisha mada una uhakika kaondoka weka milioni moja na mimi niweke! Uto leo mmerukaruka kama migambo pale Lupaso [emoji1787]

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Hiyo milioni unayo sasa?
 
GENTAMYCINE mapema sana tena hapa hapa JamiiForums NILIONYA kuwa kama analetwa Kocha Mpya na Mgeni basi hakikisheni hawa Wazawa na Waswahili Wenzetu tunaowajua ni Mabingwa wa Majungu, Fitna, Wivu na Uchawi ( Ushirikina ) wasibakie kwani Watamharibia na Kumhujumu hamkunisikia na sasa niliyoyatabiri mapema tu yametimia au yanaenda Kutimia.

Ipo Siku mtanijengea Sanamu hapa!!
 
GENTAMYCINE mapema sana tena hapa hapa JamiiForums NILIONYA kuwa kama analetwa Kocha Mpya na Mgeni basi hakikisheni hawa Wazawa na Waswahili Wenzetu tunaowajua ni Mabingwa wa Majungu, Fitna, Wivu na Uchawi ( Ushirikina ) wasibakie kwani Watamharibia na Kumhujumu hamkunisikia na sasa niliyoyatabiri mapema tu yametimia au yanaenda Kutimia.

Ipo Siku mtanijengea Sanamu hapa!!
Sababu kubwa mbona Rage alishaisema..!! UMBUMBUMBU.
 
Back
Top Bottom