Kocha wa Simba aondoka Usiku huu kwenda kwao Brazil
kusubiri wageni wasiokuhusu nako ni kukosa kazi
Naomba nitafutie sehemu niliandika au nilipoonesha kuwa nasubiri. Hii uzi upo katika taarifa nami nikaiendeleza hiyo hiyo taarifa kuwa kwenye taarifa kwa umma iliyotolewa na klabu ya Simba, leo ndio siku ya kurejea kwa kocha. Yaani una stress hadi unapaniki kwa kitu ambacho hakipanikishi. Acha kuwaza negative kwa kila liandikwalo humu.
 
Get a life.Utataka kujua na anakuja na ndege gani?
Kocha wenu akienda kwao nani anauliza?
Uko obsessed kijana tafuta tiba.
Pole. Mmejawa na hasira hata kwavitu vya kawaida tu. Shida nini? Huu uzi ni wa kocha wa Yanga? Kuna sehemu nimeuliza kuwa anarudi au harudi? Kuna sehemu nimetaka kujua kuhusu aina ya usafiri anaokuja nao?
 
Tabia ya kuingilia mambo yasiyokuhusu inaitwa kiherehere. Kocha hakuhusu umevalia njuga kuhusu ujio wake.
Wenye timu yao hata hawahangaiki.Shughuli ya watu wengine umekazania kukata kiuno.
 
Tabia ya kuingilia mambo yasiyokuhusu inaitwa kiherehere. Kocha hakuhusu umevalia njuga kuhusu ujio wake.
Wenye timu yao hata hawahangaiki.Shughuli ya watu wengine umekazania kukata kiuno.
Asante, bahati nzuri mimi ni mwana michezo sio muumini wa maneno ya kihuni, kejeli na matusi. Kwa hayo uliyoyaandika nayakubali, ila pengine hata ukawa umejitukana na wewe mwenyewe na wengineo pia kwasababu ni kawaida humu kuingia kwenye nyuzi mbali mbali kutoa maoni haijalishi linakuhusu au halikubusu.
IMG_20230131_151329.jpg
 
Angewafundisha wachezaji gani huku tayari amewagawa wachezaji hajajenga team spirit,hivi anaelewa mbinu zake falsafa zake ni ngumu kutimia kama wwchezaji wakitia mgomo
 
Back
Top Bottom