Kocha wa Taifa Stars afungishwa virago

Kocha wa Taifa Stars afungishwa virago

kufukuza kocha sio suluhisho na bado hizo fidia wangemwachia tu amalize maktaba wake pale tff kumejaa majungu hata hao makocha wazawa wanaopigiwa debe hawatafanya kitu hii timu ilishatolewa kabla ya mashindano tatizo ni tff ulipoingia uongozi mpya ulitaka kuamza upya hata pale pasipo stahilimpaka sasa hawajaeleza kwanini walikatisha mkataba wa kim poulsen kwa hili naungana na faizafoxy

unazo record za huyo kocha mpuuzi tangu apewe timu? Mechi 18, kashinda 3, kafungwa 10, sare 5 mkuu unataka atufanyie nini zaidi? Kikubwa mikabata yao iwe na kipengele cha kuwajibika kwa matokeo mabovu bila kulipwa fidia
 
Mm sioni ubaya wa huyo kocha athari za timu ya taifa kufanya vibaya ni ndogo sana ukilinganisha na athari za serikali ya za majiji ya Dsm.
Kama kweli tuna uchungu na nchi hii na tunahitaji maendeleo ya kweli tungeanza kumuondoa meya wa Dsm Masaburi tukaendelea kuwaondoa mameya wa Ilala Temeke na kinondoni. Na hata viongozi waajiriwa wa majiji hayo.
Uchafu wa kocha wa timu ya taifa ni mdogo sana kuliko watu hao nilio wataja.
Jiji la Dsm limekuwa kama danguro halieleweki halina mpangilio halina usimamizi wala taratibu nahisi sina kauli nzuri yakulielezea zsidi ya kusema viongozi wa majiji yote ya Dsm ni wabovu na hawako kwa ajili ya watu Dsm.
Laiti pangekuwa na vipindi vya radio na tv na kurasa za magazeti zinazo zungumzia utendaji wa majiji ya Dsm kama za michezo basi wengi wetu wangejua kama mpira sio tatizo kama jiji lilivyo.
Lakini kwakuwa mpira una vipindi ktk radio na tv na unakurasa ktk magazeti ndio tunaona tunavyo boronga.
Shida za uchafu shida za foleni za magari shida za kusimamia sheria za majiji shida za kila aina lakini mameya hawazioni mpaka shida za vituo vya dalala nazo hawazioni.
Mm sioni hata kwa nini tunakuwa na mameya.


Mkuu umeongea kwa hisia na uchungu saana by da way ndio nnchi hii ilivyo mkuu..relax naalafu fanya kama hakuna matatizo,bila hivyo utapata vidonda vya tumbo kwa mawazo mkuu..ishi kama una act move hivi ndio maisha ya tz yalivyo.
 
Ivi waliomteua malinzi wazima kweli,maana wanadai huyu MTU ni zee LA madili na so uongozi,kibadeni anafaa kabisa kuwa kocha wetu
 
Hapa tunaongelea mpira hayo mambo ya meya wa jiji peleka kwenye thread za siasa

Tatizo la wtz wengi wamehasiwa ubongo.
Ivi unawezaje kuwa na timu ya taifa nzuri bila kuwa na viwanja vya kujifundishia mpira utatoa wp viwanjia kama hujashirikiana na jiji?
Hapa ndio utajua hasara za kuhasi ubongo wako.
Sikila mtu ni mwanasiasa lakini kila mtu anatawaliwa na siasa ukiwemo huo mpira na timu ya taifa.
 
Tatizo la wtz wengi wamehasiwa ubongo.
Ivi unawezaje kuwa na timu ya taifa nzuri bila kuwa na viwanja vya kujifundishia mpira utatoa wp viwanjia kama hujashirikiana na jiji?
Hapa ndio utajua hasara za kuhasi ubongo wako.
Sikila mtu ni mwanasiasa lakini kila mtu anatawaliwa na siasa ukiwemo huo mpira na timu ya taifa.

Vipaji vipo mchangani huko nyasi nzuri ni mbwembwe tu...academy zimejaa kibao bongo lakini hakuna ufuatiliji...huo ufuatiliaji haufanywi na meya wa jiji bali tff...so tatizo kubwa sio meya bali ni tff wenyewe
 
Vipaji vipo mchangani huko nyasi nzuri ni mbwembwe tu...academy zimejaa kibao bongo lakini hakuna ufuatiliji...huo ufuatiliaji haufanywi na meya wa jiji bali tff...so tatizo kubwa sio meya bali ni tff wenyewe

Mku nisome vizuri unielewe nini nimekisema usinilishe maneno nisiyo yatamka.
Wp nilipo sema timu inachaguliwa na meya?
 
Mm nahis tatizo ni mfumo mzima wa soka la kibongo,tungejaribu kuwekeza kwa vijana wadogo km nchi zngne.Nahis ht malinzi anatakiwa ajiuzulu.Ni mtazamo
 
Hata wakimleta Morinyo ni yaleyale, tatizo mnafananisha soka na siasa.
 
Mku nisome vizuri unielewe nini nimekisema usinilishe maneno nisiyo yatamka.
Wp nilipo sema timu inachaguliwa na meya?

Ndo maana nimekwambia tatizo sio viwanja vizur vya kuchezea bali tff koz mbona academy za kufundisha huo mpira zimejaa nyingi tu dar na zina viwanja vipo standard kwa mazoezi?...mi naona tatizo sio tff kushirikiana na majiji kupata viwanja vizur bali tff kuwa na program nzuri ya kufuatilia vipaji vilivyopo kwenye academy tofauti nchi nzima
 
Mimi nnadhani imefikia kipindi tuache kasumba ya kutumia makocha wa kigeni kufundisha timu ya taifa tuwatumie makocha wazawa tunao wengi mfano kibadeni, mkwasa n.k

Hao wote tulishakua nao kipindi cha nyuma tukasema hawafai sijui watafaaje sasa SAA hizi!
Mi nafikiri tujipange tu upya kuanzia kwenye mifumo yetu yote ya soka,uchaguzi,uongozi, na jinsi gani ya kuandaa wachezaji wetu kisha somo kubwa LA uzalendo litolewe.
 
Hivi uchaguzi pale TFF lini? Huyu Jamali Malinzi hafai kabisa kwa mustakbali wa soka letu angeondoka tu nayeye
 
Last edited by a moderator:
Nilikua sijui kama meya wa jiji ndo msimamizi wa sports!!!

Huyo jamaa nimeshindwa kumuelewa, mada iliyopo hapa inahusu kutimulia kwa kocho Taifa stars, yeye anatuletea mambo ya mameya wa Dar es alaam, yaani ndani hoja ya kitaifa, analeta hoja mji fulani tu.
 
Alie kuambia meya ndio msimamizi wa michezo ni nani?
Soma viziru andiko usikurupuke tu.

Ila wewe ile coment yako ulitakiwa ulete kama mada ya kwako, inayojitegemea maana ikichangia pale inawatoa wachangiaji kwenye mada husika.
 
Ila wewe ile coment yako ulitakiwa ulete kama mada ya kwako, inayojitegemea maana ikichangia pale inawatoa wachangiaji kwenye mada husika.

Nadhani hukuisoma vizuri au hujaiyelewa rudi uisome vizuri na uitafakari
Nadhani utaiyelewa nini nilicho kikusudia.
 
Tatzo la soccer la Tanzania ni la kimfumo km ilivyo CCM!!Chaguz za TFF zimejaa ruxhwa na ukiriritimba!!! Haya sasa mliokuwa mnampigia chepuo Malinzi mseme katufikixha wapi????????? Ukistaajabu yaTFF utayaona na ya CCM October!!! Tanzania hii ni zaid ya uijuavyo

Mmekosa hoja mnaleta viroja..kwa hiyo Taifa stars wamefungwa kwakuwa TFF kuna rushwa?
 
Huwezi kunielewa kabisa mm sio rika lako na umedandia mada usio ijua na hata hivyo ukizingatia ubongo wako umehasiwa huwezi kutafakari.
Pole tembea mbele mm sio size yako.tafuta muhasiwa mwezio mujadili.

Mbele wapi huku niliko au kwingine? Au umeshakariri kila anaechangia humu mko nae hapo mtogole? We Vipi
 
Tatizo si kocha pekee,hata machezaji yenyewe hayafundishiki labda kocha atöke mbinguni.
 
Back
Top Bottom