Kombe la Shirikisho: Yanga yaanza vibaya kwa kukubali kufungwa 2 -1 dhidi ya Pyramids ndani ya CCM Kirumba

Kombe la Shirikisho: Yanga yaanza vibaya kwa kukubali kufungwa 2 -1 dhidi ya Pyramids ndani ya CCM Kirumba

Asante Yanga na Pyramids kwa kunipa hela ya mkeka
 
Hata kirumba wamezipata, watu walikuwa wengi tu
Bora wangechezea taifa wakaongezaa pesa za viingilio kwenye account yao[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Kwa matokeo ya leo Mwinyi hawezi kukwepa maana kajitakia mwenyewe, haiwezekani tunacheza nyumbani na mshambuliaji mmoja,hapana kwahili mzigo wa misumari ni juu yake katuzingua kabisa
 
Bado dakika chache Taifa liingie kwenye aibu Kubwa...
 
Back
Top Bottom