Komodo dragon ndio mnyama hatari zaidi kuliko Black mamba (koboko), Simba, Mamba, Tiger na wanyama wengine wa aina hiyo

Komodo dragon ndio mnyama hatari zaidi kuliko Black mamba (koboko), Simba, Mamba, Tiger na wanyama wengine wa aina hiyo

Yani huyu akishang'ata tu kazi imekwisha. Unaweza kusavaivu tu zile dakika 2 za mwanzo. Baada ya hapo wewe ni kitoweo chake. Haijalishi umeshakufa au bado, utaliwa tu kiubabe. Farasi na ukubwa wake wote, alipigwa jino moja tu. Baada ya dakika tatu akaanza kuliwa nyama huku anajiona.
So yeye anaweza kula sumu yake pasi kudhurika?
 
Weka kap
download.jpg
icha basi ata kaku-google
 
Nimeona video moja wamechukua sumu inayotoka kwa Comodo then wakaweka kwenye nyama ya ng'ombe. Baada ya siku 3 ile nyama ikawa kama mkaa/majibu fulani hivi.
 
Mchango wangu mdogo...
Huyu mwamba ni jamii ya mijusi🤭🤭, hasa kenge (monitor lizard). Anaitwa komodo dragon Kwa sababu anapatikana Kwa wingi visiwa vya komodo au waligundulika visiwa hivyo. Dragon ni mythical creature tu kama walivyo sphinx na pegasus ila huyu jamaa amepewa jina la utani la dragon Kwa sababu ya ukali wake na hofu anayowajaza watu.
Mnaposema siyo kenge Kwa maana hafanAni na kenge wa huku kumbukeni hata Simba na chui ni jamii ya paka na wanyama wa jamii Moja wanaweza kutofautiana. Hata Simba wenyewe wako wa aina tofauti tofauti.
 
Yah huko ndio kwao sasa. Hii habari ya afrika magharibi haikuwa na uhalisia.

Ok sawa
Hivi huyu komodo na yule ambaye tunamwona kwenye movie anaefana kichwa kama cha kondoo alafu ana meno kana ya mamba shingo ndefu miguu miwili mikubwa na miwili ya mbele midogo dogo (kama kangaroo) nae anakulaga nyama nani anatisha.
 
Na huo uchibongo wake ananikutia wapiii
Usijidanganye hapo. Hawa jamaa Wana mbio sana kuliko binadamu japo ni Kwa muda mfupi (hawana pumzi). Akiwa mbali na wewe unaweza ukapona kama utajitahidi ila akikumemdea akakukaribia na kukukimbiza basi jikabidhi tu Kwa muumba.

Tuongee statistics/ facts.... Average speed ya mwanaume ni 13kph, mwanamke ni 10kph. Sasa komodo anafika top speed ya 20kph. In short sio rahisi Kwa mtu kumshinda mbio huyu jamaa
 
Back
Top Bottom