Ni kweli boss. Ila ukiwapima interms of ujasiri huyu huwezi mlinganisha hata na pitbull wa nyumbani. Ni mwoga.. Mara nyingi mnyama anayemvizia akimuona basi haendi anajifanya hana njaa. Tofauti na hao ukiowataja.Mkuu Tsh , kila mnyama hapa duniani hukamata windo lake kwa timing. Hata Tiger, Simba, Mamba, Chatu na wengine wa aina hiyo huvizia pale muwindwa anapokuwa hana hili wala lile na kumvamia ghafla (ambush) kisha kuanza kumshambulia na hatimae kummaliza.
Kuhusu kuavoid binadamu huu ni uwezo tuliopewa binadam dhidi ya wanyama wote wakali na wapole kama tunavyoona pichani.
Anamzidi fisi kwa bacteria mdomoni?Wanasema mdomoni mwake ana bacteria wengi hatari sana kama akikung'ata huwez kupona hata hakuwahishe hospital unapata septic shock baada ya mda kidogo.
Jurass Park ndo ipi hiyo mkuu?Iyo ni Jurass park!!
Yah huyu hana ule ujasiri wa kumkabili kiumbe face2face, but akishakulia timing na kuingia kweny 18 zake, basi tena unakuwa kitoweo chake.Ni kweli boss. Ila ukiwapima interms of ujasiri huyu huwezi mlinganisha hata na pitbull wa nyumbani. Ni mwoga.. Mara nyingi mnyama anayemvizia akimuona basi haendi anajifanya hana njaa. Tofauti na hao ukiowataja.
Huyo anaitwa Komodo dragon AKA Godzilla. Jamaa anakula yoyote anaeingia kweny 18 zake. Haijalishi ukubwa, ukali wala ujasiri wa mnyama.Mungu wangu kiumbe gani tena hiki?
Umeongea kitaalamu mkuu. Mimi nilicomment kwa kuangalia matukio ya huyu mnyama kwenye madocumentaries.Hana anti venom ila sumu yake sio hatari sana kuwa huwezi kupona, unaweza kupona kwa kutreat zile symtoms
2 pac bangi zilimzidiaMwamba unataka ufe kishujaa kama 2pac. Pamoja na kupigwa risasi huku akiwa katika hali mbaya, lkn bado aliwapa dole la kati maadui zake 😂😂😂😂 mwamba alikuwa mbishi kinoma.
Mkuu kenge ndugu yake wa kweli ni mamba maaana wote wanaishi majini na nchi kavu. Ni kama paka na ndugu yake chui.Uyo si kama kenge tu , ila uko Asia wanamwita komodo dragon, ndo aneanza kila tumboni vitu vilaini
Anapatikna wapi tumle supu!Habari zenu wana JF wenzangu.
Leo nimekuja na mada inayohusu mnyama hatari kuliko wanyama wote duniani anaitwa Komodo dragon.
Mnyama huyu ana uwezo wa kuua wanyama wengine hatari kama vile
1) Tiger
2) Simba
3) Leopard, Cheetah (chui)
4) Mamba
5) King cobra, Black mamba nk.
6) Honey badger pamoja na uwezo wa kuishi karibu na wanyama wakali, lakini hawezi kufanya mzaha huo mbele ya Komodo dragon aisee atamezwa yeye na manyoa yake. Jamaa hana masihara na mnyama mwingine yoyote.
Komodo dragon ana venom (sumu kali) kuliko mnyama yoyote hapa duniani. Akiuma mara moja tu inatosha kumaliza mchezo. Hata iwe Tembo, kifaru, kiboko, simba nk hawawezi kufikisha dakika 5 bila kuanguka chini na kupararaizi, kisha Komodo anajivuta taratibu kuja kula nyama.
Haijalishi hapo mnyama atakuwa ameshakufa au bado anapumua, Komodo atachofanya ni kuanza kumtafuna mzima mzima huku anayetafunwa anamuona. Kwa vile atakuwa ameshapararaizi basi mshambuliwa hatokuwa na nguvu ya kumfanya chochote Komodo.
Mnyama huyu hata sumu ya koboko haimdhuru kutokana na aina ya uumbwaji wake ulivyo, ila yeye ya kwake inamdhuru koboko kwa sekunde tu, kwanza anaweza kummeza kwa sekundi 10 bila hata kutumia venom (sumu) yake.
Kwa upande wa binadam sometimes unaweza kuumwa na Simba, Tiger, Leopard, Mamba nk ila ukawa jasiri na kufanikiwa kujiokoa na kutoka nduki kuokoa maisha yako.
Ila mzee Komodo yeye akishakupiga jino basi ujue ni bye bye maana kama ukibahatika sana itachukua ni dakika 3 au 5 kuiaga dunia na pengine mzee wa kazi atakuja akutafune ukiwa bado hujafa hadi atakumaliza na kukumeza wewe wote.
Huyu mnyama akishakupiga jino hukaa pembeni umbali kidogo wa ulipo halafu anakusikilizia. So unaweza kutoka nduki ukidhani umepona kumbe dakika mbili au tatu za mbele utaanguka na kuanza kuishiwa nguvu, hapo ndo mzee wa kazi ataanza kukufuata huku akitumia pua yake kunusa kila sehemu uliyokanyaga hadi atakukuta ukiwa hoi na yeye au wao wakumalizie kabisa.
Huyo ndio Komodo dragon mbabe wa wababe wote duniani. Japo wengi huku Afrika hawamjui kutokana na wanyama hao kupatikana zaidi katika bara la Asia.
View attachment 2321342View attachment 2321345
Sema lizembe zembe ....so unaweza kuliescape tofauti na koboko au predator anayekuvizia
Hahaha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ashajijua
Bora waishe tuuNi moja ya viumbe waliohatarini kutoweka duniani kwasasa, wamebaki wachache sana.
Anamzidi fisi kwa bacteria mdomoni?
Huyu Komodo ni hatari kwa aina yake lakini huwezi kumlinganisha na wanyama hatari kama kiboko, simba, chui au mambaHabari zenu wana JF wenzangu.
Leo nimekuja na mada inayohusu mnyama hatari kuliko wanyama wote duniani anaitwa Komodo dragon.
Mnyama huyu ana uwezo wa kuua wanyama wengine hatari kama vile
1) Tiger
2) Simba
3) Leopard, Cheetah (chui)
4) Mamba
5) King cobra, Black mamba nk.
6) Honey badger pamoja na uwezo wa kuishi karibu na wanyama wakali, lakini hawezi kufanya mzaha huo mbele ya Komodo dragon aisee atamezwa yeye na manyoa yake. Jamaa hana masihara na mnyama mwingine yoyote.
Komodo dragon ana venom (sumu kali) kuliko mnyama yoyote hapa duniani. Akiuma mara moja tu inatosha kumaliza mchezo. Hata iwe Tembo, kifaru, kiboko, simba nk hawawezi kufikisha dakika 5 bila kuanguka chini na kupararaizi, kisha Komodo anajivuta taratibu kuja kula nyama.
Haijalishi hapo mnyama atakuwa ameshakufa au bado anapumua, Komodo atachofanya ni kuanza kumtafuna mzima mzima huku anayetafunwa anamuona. Kwa vile atakuwa ameshapararaizi basi mshambuliwa hatokuwa na nguvu ya kumfanya chochote Komodo.
Mnyama huyu hata sumu ya koboko haimdhuru kutokana na aina ya uumbwaji wake ulivyo, ila yeye ya kwake inamdhuru koboko kwa sekunde tu, kwanza anaweza kummeza kwa sekundi 10 bila hata kutumia venom (sumu) yake.
Kwa upande wa binadam sometimes unaweza kuumwa na Simba, Tiger, Leopard, Mamba nk ila ukawa jasiri na kufanikiwa kujiokoa na kutoka nduki kuokoa maisha yako.
Ila mzee Komodo yeye akishakupiga jino basi ujue ni bye bye maana kama ukibahatika sana itachukua ni dakika 3 au 5 kuiaga dunia na pengine mzee wa kazi atakuja akutafune ukiwa bado hujafa hadi atakumaliza na kukumeza wewe wote.
Huyu mnyama akishakupiga jino hukaa pembeni umbali kidogo wa ulipo halafu anakusikilizia. So unaweza kutoka nduki ukidhani umepona kumbe dakika mbili au tatu za mbele utaanguka na kuanza kuishiwa nguvu, hapo ndo mzee wa kazi ataanza kukufuata huku akitumia pua yake kunusa kila sehemu uliyokanyaga hadi atakukuta ukiwa hoi na yeye au wao wakumalizie kabisa.
Huyo ndio Komodo dragon mbabe wa wababe wote duniani. Japo wengi huku Afrika hawamjui kutokana na wanyama hao kupatikana zaidi katika bara la Asia.
View attachment 2321342View attachment 2321345
Bila shaka unamzungumzia Lizard sio real Komodo Dragon mkuu.Huyu Komodo ni hatari kwa aina yake lakini huwezi kumlinganisha na wanyama hatari kama kiboko, simba, chui au mamba
Ukikutana ana kwa ana na wanyama hao tajwa hapo juu chance yako kutoboa ni ndogo sana maana wanakuona wewe kama kitoweo chao lakini ukikutana na komodo ana kwa ana chance yako ya kutoboa ni 99% kwa sababu komodo hakuoni wewe kama kitoweo bali adui hapo basi atakimbia au kuendelea na shughuli zake nyingine
Komodo hana speed wala flexibility wala timing au means yoyote ile ya kuleta uhatari kwa binafamu ndio maana hata diet yake ni wadudu wadudu, vindama vilivyozaliwa na mara chache sana manyumbu yaliyonasa kwenye matope
Ana sumu kali kweli na blablabla nyingi ila hana huo utukufu uliompa wewe