Komodo dragon ndio mnyama hatari zaidi kuliko Black mamba (koboko), Simba, Mamba, Tiger na wanyama wengine wa aina hiyo

Komodo dragon ndio mnyama hatari zaidi kuliko Black mamba (koboko), Simba, Mamba, Tiger na wanyama wengine wa aina hiyo

Mkuu Tsh , kila mnyama hapa duniani hukamata windo lake kwa timing. Hata Tiger, Simba, Mamba, Chatu na wengine wa aina hiyo huvizia pale muwindwa anapokuwa hana hili wala lile na kumvamia ghafla (ambush) kisha kuanza kumshambulia na hatimae kummaliza.

Kuhusu kuavoid binadamu huu ni uwezo tuliopewa binadam dhidi ya wanyama wote wakali na wapole kama tunavyoona pichani.
Ni kweli boss. Ila ukiwapima interms of ujasiri huyu huwezi mlinganisha hata na pitbull wa nyumbani. Ni mwoga.. Mara nyingi mnyama anayemvizia akimuona basi haendi anajifanya hana njaa. Tofauti na hao ukiowataja.
 
Ni kweli boss. Ila ukiwapima interms of ujasiri huyu huwezi mlinganisha hata na pitbull wa nyumbani. Ni mwoga.. Mara nyingi mnyama anayemvizia akimuona basi haendi anajifanya hana njaa. Tofauti na hao ukiowataja.
Yah huyu hana ule ujasiri wa kumkabili kiumbe face2face, but akishakulia timing na kuingia kweny 18 zake, basi tena unakuwa kitoweo chake.
 
Mungu wangu kiumbe gani tena hiki?
Huyo anaitwa Komodo dragon AKA Godzilla. Jamaa anakula yoyote anaeingia kweny 18 zake. Haijalishi ukubwa, ukali wala ujasiri wa mnyama.
Yani hata wanyama hatari kama Simba, Tiger, Kifaru na wengine wa aina hiyo wakiingia 18 ya huyo mwamba wanaliwa huku wanajiona.
 
Uyo si kama kenge tu , ila uko Asia wanamwita komodo dragon, ndo aneanza kila tumboni vitu vilaini
Mkuu kenge ndugu yake wa kweli ni mamba maaana wote wanaishi majini na nchi kavu. Ni kama paka na ndugu yake chui.

Ila hili dubwasha kwenye kenge halipo, kwenye mamba halipo, kwenye mjusi wa kawaida halipo, yani ni limnyama la aina yake japo kiumbo linamfanano kama ule wa mjusi, kenge nk. Kenge anaitwa lizard na hili dubwasha linaitwa Komodo dragon. Kenge anatumia mkia katika kushambulia, wakati hili dubwasha linatumia mdomo wake kushambulia. Yani likishakupiga jino hata 1 tu umeondoka duniani, na haijalishi ni Simba, mamba au tembo lazima ataanguka na kuja kuliwa na mnyama huyu kiwepeesi kabisa bila shida huku anajiona anavyoliwa.
 
Habari zenu wana JF wenzangu.

Leo nimekuja na mada inayohusu mnyama hatari kuliko wanyama wote duniani anaitwa Komodo dragon.

Mnyama huyu ana uwezo wa kuua wanyama wengine hatari kama vile
1) Tiger
2) Simba
3) Leopard, Cheetah (chui)
4) Mamba
5) King cobra, Black mamba nk.
6) Honey badger pamoja na uwezo wa kuishi karibu na wanyama wakali, lakini hawezi kufanya mzaha huo mbele ya Komodo dragon aisee atamezwa yeye na manyoa yake. Jamaa hana masihara na mnyama mwingine yoyote.

Komodo dragon ana venom (sumu kali) kuliko mnyama yoyote hapa duniani. Akiuma mara moja tu inatosha kumaliza mchezo. Hata iwe Tembo, kifaru, kiboko, simba nk hawawezi kufikisha dakika 5 bila kuanguka chini na kupararaizi, kisha Komodo anajivuta taratibu kuja kula nyama.

Haijalishi hapo mnyama atakuwa ameshakufa au bado anapumua, Komodo atachofanya ni kuanza kumtafuna mzima mzima huku anayetafunwa anamuona. Kwa vile atakuwa ameshapararaizi basi mshambuliwa hatokuwa na nguvu ya kumfanya chochote Komodo.

Mnyama huyu hata sumu ya koboko haimdhuru kutokana na aina ya uumbwaji wake ulivyo, ila yeye ya kwake inamdhuru koboko kwa sekunde tu, kwanza anaweza kummeza kwa sekundi 10 bila hata kutumia venom (sumu) yake.

Kwa upande wa binadam sometimes unaweza kuumwa na Simba, Tiger, Leopard, Mamba nk ila ukawa jasiri na kufanikiwa kujiokoa na kutoka nduki kuokoa maisha yako.

Ila mzee Komodo yeye akishakupiga jino basi ujue ni bye bye maana kama ukibahatika sana itachukua ni dakika 3 au 5 kuiaga dunia na pengine mzee wa kazi atakuja akutafune ukiwa bado hujafa hadi atakumaliza na kukumeza wewe wote.

Huyu mnyama akishakupiga jino hukaa pembeni umbali kidogo wa ulipo halafu anakusikilizia. So unaweza kutoka nduki ukidhani umepona kumbe dakika mbili au tatu za mbele utaanguka na kuanza kuishiwa nguvu, hapo ndo mzee wa kazi ataanza kukufuata huku akitumia pua yake kunusa kila sehemu uliyokanyaga hadi atakukuta ukiwa hoi na yeye au wao wakumalizie kabisa.

Huyo ndio Komodo dragon mbabe wa wababe wote duniani. Japo wengi huku Afrika hawamjui kutokana na wanyama hao kupatikana zaidi katika bara la Asia.

View attachment 2321342View attachment 2321345
Anapatikna wapi tumle supu!
 
Ni kawaida ya mnyama yoyote mjanja na hatari kujifanya mzembe ili ujae kwenye 18 afu ndo akuoneshe kuwa yeye sio mzembe kama alivyomaanisha. Hujawahi kuona nyumbu wanapita karibu na simba huku simba sometimes akijifanya hana habari nao. Ila baada ya muda yule nyumbu anaesogea ili kuhakikisha kama kweli simba amelala au anapunga upepo ndo huvamiwa kwa ambush kali na baadae kuangamizwa kabisa na simba.
Sema lizembe zembe ....so unaweza kuliescape tofauti na koboko au predator anayekuvizia
 
Mkuu fisi anauma wanyama wenzake na wale wanaofanikiwa kukimbia hukimbia na kuponea mbele ya safari.
Pili fisi na Simba au leopard wanaweza kugombania mzoga mmoja kata na mimi nikate na kila mmoja akawa fresh tu.
Ila nyama inayoliwa na Komodo akija mnyama mungine kuila basi anakwenda na maji, kamwe hawezi kuendelea kuishi.

Huyu akimpiga Simba, Chui, Buffalo au mnyama yoyote hata jino moja tu basi kwisha habari yake. Anaweza kutembea mwendo mfupi na kuanguka kama gunia. Afu mzee wa kazi anakuja kumla nyama mzima mzima kabla hajakata roho. Kama alieng'atwa ni dume basi mara nyingi anaanza kutafuna zile gololi mbili kwanza, afu ndo anahamia sehem zingine za mwili. He don't give a f*** about any animal hapa chini ya jua. Chochote au yoyote aliepo mbele yake anapitia tu.
Anamzidi fisi kwa bacteria mdomoni?
 
Habari zenu wana JF wenzangu.

Leo nimekuja na mada inayohusu mnyama hatari kuliko wanyama wote duniani anaitwa Komodo dragon.

Mnyama huyu ana uwezo wa kuua wanyama wengine hatari kama vile
1) Tiger
2) Simba
3) Leopard, Cheetah (chui)
4) Mamba
5) King cobra, Black mamba nk.
6) Honey badger pamoja na uwezo wa kuishi karibu na wanyama wakali, lakini hawezi kufanya mzaha huo mbele ya Komodo dragon aisee atamezwa yeye na manyoa yake. Jamaa hana masihara na mnyama mwingine yoyote.

Komodo dragon ana venom (sumu kali) kuliko mnyama yoyote hapa duniani. Akiuma mara moja tu inatosha kumaliza mchezo. Hata iwe Tembo, kifaru, kiboko, simba nk hawawezi kufikisha dakika 5 bila kuanguka chini na kupararaizi, kisha Komodo anajivuta taratibu kuja kula nyama.

Haijalishi hapo mnyama atakuwa ameshakufa au bado anapumua, Komodo atachofanya ni kuanza kumtafuna mzima mzima huku anayetafunwa anamuona. Kwa vile atakuwa ameshapararaizi basi mshambuliwa hatokuwa na nguvu ya kumfanya chochote Komodo.

Mnyama huyu hata sumu ya koboko haimdhuru kutokana na aina ya uumbwaji wake ulivyo, ila yeye ya kwake inamdhuru koboko kwa sekunde tu, kwanza anaweza kummeza kwa sekundi 10 bila hata kutumia venom (sumu) yake.

Kwa upande wa binadam sometimes unaweza kuumwa na Simba, Tiger, Leopard, Mamba nk ila ukawa jasiri na kufanikiwa kujiokoa na kutoka nduki kuokoa maisha yako.

Ila mzee Komodo yeye akishakupiga jino basi ujue ni bye bye maana kama ukibahatika sana itachukua ni dakika 3 au 5 kuiaga dunia na pengine mzee wa kazi atakuja akutafune ukiwa bado hujafa hadi atakumaliza na kukumeza wewe wote.

Huyu mnyama akishakupiga jino hukaa pembeni umbali kidogo wa ulipo halafu anakusikilizia. So unaweza kutoka nduki ukidhani umepona kumbe dakika mbili au tatu za mbele utaanguka na kuanza kuishiwa nguvu, hapo ndo mzee wa kazi ataanza kukufuata huku akitumia pua yake kunusa kila sehemu uliyokanyaga hadi atakukuta ukiwa hoi na yeye au wao wakumalizie kabisa.

Huyo ndio Komodo dragon mbabe wa wababe wote duniani. Japo wengi huku Afrika hawamjui kutokana na wanyama hao kupatikana zaidi katika bara la Asia.

View attachment 2321342View attachment 2321345
Huyu Komodo ni hatari kwa aina yake lakini huwezi kumlinganisha na wanyama hatari kama kiboko, simba, chui au mamba

Ukikutana ana kwa ana na wanyama hao tajwa hapo juu chance yako kutoboa ni ndogo sana maana wanakuona wewe kama kitoweo chao lakini ukikutana na komodo ana kwa ana chance yako ya kutoboa ni 99% kwa sababu komodo hakuoni wewe kama kitoweo bali adui hapo basi atakimbia au kuendelea na shughuli zake nyingine

Komodo hana speed wala flexibility wala timing au means yoyote ile ya kuleta uhatari kwa binafamu ndio maana hata diet yake ni wadudu wadudu, vindama vilivyozaliwa na mara chache sana manyumbu yaliyonasa kwenye matope

Ana sumu kali kweli na blablabla nyingi ila hana huo utukufu uliompa wewe
 
Huyu namwogopa hata kumwangalia kwenye tv yaan anakujeruhi kidogo tu ili mradi meno yake yagusane na dam yako. Anakuwa anakufuatilia kwa mbali hadi hapo utakapomaliza nguvu na kuanguka atakaa hapo anakula hata kwa siku nne mpaka akumalize
 
Huyu Komodo ni hatari kwa aina yake lakini huwezi kumlinganisha na wanyama hatari kama kiboko, simba, chui au mamba

Ukikutana ana kwa ana na wanyama hao tajwa hapo juu chance yako kutoboa ni ndogo sana maana wanakuona wewe kama kitoweo chao lakini ukikutana na komodo ana kwa ana chance yako ya kutoboa ni 99% kwa sababu komodo hakuoni wewe kama kitoweo bali adui hapo basi atakimbia au kuendelea na shughuli zake nyingine

Komodo hana speed wala flexibility wala timing au means yoyote ile ya kuleta uhatari kwa binafamu ndio maana hata diet yake ni wadudu wadudu, vindama vilivyozaliwa na mara chache sana manyumbu yaliyonasa kwenye matope

Ana sumu kali kweli na blablabla nyingi ila hana huo utukufu uliompa wewe
Bila shaka unamzungumzia Lizard sio real Komodo Dragon mkuu.
 
Back
Top Bottom