Komodo dragon ndio mnyama hatari zaidi kuliko Black mamba (koboko), Simba, Mamba, Tiger na wanyama wengine wa aina hiyo

Komodo dragon ndio mnyama hatari zaidi kuliko Black mamba (koboko), Simba, Mamba, Tiger na wanyama wengine wa aina hiyo

Habari zenu wana JF wenzangu.

Leo nimekuja na mada inayohusu mnyama hatari kuliko wanyama wote duniani anaitwa Komodo dragon.

Mnyama huyu ana uwezo wa kuua wanyama wengine hatari kama vile
1) Tiger
2) Simba
3) Leopard, Cheetah (chui)
4) Mamba
5) King cobra, Black mamba nk.
6) Honey badger pamoja na kuwa na uwezo wa kuishi karibu na wanyama wakali, lakini hawezi kufanya mzaha huo mbele ya Komodo dragon, aisee atamezwa yeye na manyoa yake yote [emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Jamaa hana masihara, huruma, wala mzaha na mnyama mwingine yoyote.

Komodo dragon ana venom (sumu kali) kuliko mnyama yoyote hapa duniani. Akiuma mara moja tu inatosha kumaliza mchezo. Hata iwe Tembo, kifaru, kiboko, simba nk hawawezi kusavaivu bila kuanguka chini na kupararaizi, kisha Komodo anajivuta taratibu kuja kula nyama.

Haijalishi hapo mnyama atakuwa ameshakufa au bado anapumua, Komodo atachofanya ni kuanza kumtafuna mzima mzima huku anayetafunwa anamuona. Kwa vile atakuwa ameshapararaizi basi mshambuliwa hatokuwa na nguvu ya kumfanya chochote Komodo.

Mnyama huyu hata sumu ya koboko haimdhuru kutokana na aina ya uumbwaji wake ulivyo, ila yeye ya kwake inamdhuru koboko kwa sekunde tu, kwanza anaweza kummeza kwa sekundi 10 bila hata kutumia venom (sumu) yake.

Kwa upande wa binadam sometimes unaweza kuumwa na Simba, Tiger, Leopard, Mamba nk ila ukawa jasiri na kufanikiwa kujiokoa na kutoka nduki kuokoa maisha yako.

Ila mzee Komodo yeye akishakupiga jino basi ujue ni bye bye maana kama ukibahatika sana itachukua ni dakika 3 au 5 kuiaga dunia na pengine mzee wa kazi atakuja akutafune ukiwa bado hujafa hadi atakumaliza na kukumeza wewe wote.

Huyu mnyama akishakupiga jino hukaa pembeni umbali kidogo wa ulipo halafu anakusikilizia. So unaweza kutoka nduki ukidhani umepona kumbe dakika mbili au tatu za mbele utaanguka na kuanza kuishiwa nguvu, hapo ndo mzee wa kazi ataanza kukufuata huku akitumia ulimi wake kunusa kila sehemu uliyokanyaga hadi atakukuta ukiwa hoi na yeye au wao wakumalizie kabisa.

Huyo ndio Komodo dragon mbabe wa wababe wote duniani. Japo wengi huku Afrika hawamjui kutokana na wanyama hao kupatikana zaidi katika bara la Asia.

Wataalam wa wanyama washakiri wazi kuwa hata king of the jungle Simba mwenyewe hawezi kuweka mguu maeneo ya hawa viumbe.

View attachment 2321342View attachment 2321345
Hawa Komodo Dragons ni moja wapo ya aina ya wanyama ambao wako hatarini kupotea duniani. Wamebaki wachache sana.
 
Ok mkuu, lkn comodo ni hatari zaidi kwa viumbe wengine kulikoni nyoka.

Yea ni hatari Ni mnyama anaeua kikatili mno.. swala la Kumla kiumbe mwenzie wakat bado akiwa hai.. its beyond cruelty.. na ana kasi na nguvu.. powerfull jaws

Na hawana hisia za uoga.. yaan wao chochote chenye uhai anataka kukigeuza asusa.. hata kama anayetaka kumgeuza ausa naye ni predator na kuna hatar ya yeye kuuawa hilo halimhusu

Na zaid ya yote mara nyingi wanakuwa group kati ya wa tatu hadi kumi
 
Habari zenu wana JF wenzangu.

Leo nimekuja na mada inayohusu mnyama hatari kuliko wanyama wote duniani anaitwa Komodo dragon.

Mnyama huyu ana uwezo wa kuua wanyama wengine hatari kama vile
1) Tiger
2) Simba
3) Leopard, Cheetah (chui)
4) Mamba
5) King cobra, Black mamba nk.
6) Honey badger pamoja na kuwa na uwezo wa kuishi karibu na wanyama wakali, lakini hawezi kufanya mzaha huo mbele ya Komodo dragon, aisee atamezwa yeye na manyoa yake yote 😂🤣🤣🤣. Jamaa hana masihara, huruma, wala mzaha na mnyama mwingine yoyote.

Komodo dragon ana venom (sumu kali) kuliko mnyama yoyote hapa duniani. Akiuma mara moja tu inatosha kumaliza mchezo. Hata iwe Tembo, kifaru, kiboko, simba nk hawawezi kusavaivu bila kuanguka chini na kupararaizi, kisha Komodo anajivuta taratibu kuja kula nyama.

Haijalishi hapo mnyama atakuwa ameshakufa au bado anapumua, Komodo atachofanya ni kuanza kumtafuna mzima mzima huku anayetafunwa anamuona. Kwa vile atakuwa ameshapararaizi basi mshambuliwa hatokuwa na nguvu ya kumfanya chochote Komodo.

Mnyama huyu hata sumu ya koboko haimdhuru kutokana na aina ya uumbwaji wake ulivyo, ila yeye ya kwake inamdhuru koboko kwa sekunde tu, kwanza anaweza kummeza kwa sekundi 10 bila hata kutumia venom (sumu) yake.

Kwa upande wa binadam sometimes unaweza kuumwa na Simba, Tiger, Leopard, Mamba nk ila ukawa jasiri na kufanikiwa kujiokoa na kutoka nduki kuokoa maisha yako.

Ila mzee Komodo yeye akishakupiga jino basi ujue ni bye bye maana kama ukibahatika sana itachukua ni dakika 3 au 5 kuiaga dunia na pengine mzee wa kazi atakuja akutafune ukiwa bado hujafa hadi atakumaliza na kukumeza wewe wote.

Huyu mnyama akishakupiga jino hukaa pembeni umbali kidogo wa ulipo halafu anakusikilizia. So unaweza kutoka nduki ukidhani umepona kumbe dakika mbili au tatu za mbele utaanguka na kuanza kuishiwa nguvu, hapo ndo mzee wa kazi ataanza kukufuata huku akitumia ulimi wake kunusa kila sehemu uliyokanyaga hadi atakukuta ukiwa hoi na yeye au wao wakumalizie kabisa.

Huyo ndio Komodo dragon mbabe wa wababe wote duniani. Japo wengi huku Afrika hawamjui kutokana na wanyama hao kupatikana zaidi katika bara la Asia.

Wataalam wa wanyama washakiri wazi kuwa hata king of the jungle Simba mwenyewe hawezi kuweka mguu maeneo ya hawa viumbe.

View attachment 2321342View attachment 2321345
Kwa wasiokijua vizuri kiingereza watakiamini, huyu ni hatari kweli ila hatari yake ni ya kawaida sana sio kama ulivyomkuza.
 
Yea ni hatari Ni mnyama anaeua kikatili mno.. swala la Kumla kiumbe mwenzie wakat bado akiwa hai.. its beyond cruelty.. na ana kasi na nguvu.. powerfull jaws

Na hawana hisia za uoga.. yaan wao chochote chenye uhai anataka kukigeuza asusa.. hata kama anayetaka kumgeuza ausa naye ni predator na kuna hatar ya yeye kuuawa hilo halimhusu

Na zaid ya yote mara nyingi wanakuwa group kati ya wa tatu hadi kumi
Huyu ni mjusi ambaye anaweza kupigwa na fisi asipovizia akang'ata au akampiga na mkia. FISI huyu huyu anayepiga yowe akishtuliwa.

"The hyena has a stronger bite force and sharper claws than the Komodo, also the hyena is faster and more agile than the Dragon."
However,
The komodo dragon has bacteria that could kill animals in a few hours, so if the hyena gets bitten it will die. It also has a strong tail that could trip the hyena and then kill the hyena. The komodo could ram the Hyena and break its Bones."
 
Hiwa naona video zake linavyomeza mnyama mwingine kibabe aise.
Hilo linammeza hadi kasa na jumba lake.
Halina huruma na kiumbe yoyote hapa duniani. Linalotaka lenyewe ni kujaza tumbo lake tu.
 
Huyu Komodo haliwi kweli, maana wachina wanakula karibia kila kitu
Mchina pamoja na kula kila kiumbe, lkn kwa Comodo hawezi kufikiria kucheza na maisha yake. Anajua akimla ndio itakuwa mwisho wake wa kuishi mkuu.
 
Hili mbona pole tu mkuu. Mamba ananyumbuka balaa akikuweka kwenye 18 zake hutoboi. Huyu Dragon hata kumkimbia unaweza ila usiwe kwenye straight line. Ukimbie huku unachenga.
 
Back
Top Bottom