Mdomo bakuli
JF-Expert Member
- Jan 7, 2017
- 3,442
- 7,007
Tatizo la Konde boy na crew yake wamewekeza sana akili na nguvu zao kushindana na WCB kuliko hata kuendeleza wasanii wao!! Mpaka wamekosa akili kabisa juu ya vitu vingine!! Hii ni aibu kubwa sana aisee daah.