Korea kaskazini imeshindikana, haiwezekani, yaonesha silaha mpya

Korea kaskazini imeshindikana, haiwezekani, yaonesha silaha mpya

Maana ya kutomuogopa mtu ni kwamba kwa lolote lile utamkabili... Haijalishi ni matokeo gani utayapata baada ya kumkabili... Sasa kitendo cha mmarekani kutomkabili K.K kwa kisingizio cha Japan na S.K ni wazi K.K ana nguvu na uwezo wa kufanya makubwa tu... Hivyo nyie wamarekani weusi mtulie
Tatizo sio madhara kwa Japan na South Korea. Tatizo kubwa linalofanya USA asichukue hatua ni sababu ya RUSSIA and CHINA hawako tayari marekani au kibaraka wa marekani achukue eneo lililopo mpakani na nchi zao.

It's a matter of national interest hapa.

We unafkiri kwa nini israe kila siku ana shambulia Iranian target kule Syria??
 
Watu hawajamuamulia tu, in a full-scale war North Korea haidumu hata wiki.
Hata siku Tatu nyingi mkuu.

Nchi ikiwa katika sanctions Inakua dhaifu, sasa bora Iran ameweza bypass sanction za marekani kwa kutumia Iraq, turkey na nchi nyingi bila USA kujua Hilo, pia vikwazo vya Iran vilikua vinawekwa na kuondolewa.

Sasa n. Korea yeye yupo ktk sanctions miaka yote, tena sio sanction ni embargo ile yaani wananchi wako desperate very week nakumbuka mpaka wanajeshi wa n. Korea huwa wanatoroka mpakani kukimbilia South Korea kwa ugumu wa maisha.
 
Mkuu hata Merikani ilikuwa inamcheka sana Mfaransa kwamba inakuwaje unashindwa kuwafyekelea mbali WavietNam, kwa nini mnapigana nao vita miaka nenda rudi bila mafanikio.

Wamerika wakajitapa mbele ya wafaransa kwamba wana uwezo mkubwa wa kupigana na VietNam na kumaliza kazi ndani ya wiki mbili kwa pigo moja lenye nguvu na lililo nyooka,baadae Mfaransa ilishindwa kuendelea na vita huko VietNam akaondoa majeshi yake na kuyarudisha Ufaransa kwa aibu.

Wiki chache baada ya Ufaransa kujiondoa VietNam, Jeshi la Merikani wakajiingiza kichwa kichwa VietNam wakiwa na imani kwamba vita ingemalizika ndani ya miezi michache, sasa nini kilicho jitokeza wakati vita ilipo pamba moto - Amerika ilipoteza ndege za vita, bombers na helicopters zaidi ya 20,000(elfu ishirini) kwa kudunguliwa na nyingine kuharibiwa beyond repair kutokana na makombora ya Warusi aina ya S-75 ya kutungulia ndege, strella manpad, triple As', RPG-7 nk the loss was massive, American Military haikutegemea kwamba ingeweza kupoteza idadi kubwa ya Military flying machine, si hilo tu vile vile maelfu ya wanajeshi wa Merikani walipoteza maisha.

Mwishowe baada ya miaka takribani 12 ya mapigano baina ya WavietNam kasikazini na jeshi la Merikani WavietNam waliwazidi kete Wamerikani na wakawashinda na kuwatia aibu - majigambo ya Uncle SAM hayakufua dafu mbele ya Field Marshal Nguyen Thin Bin chini ya uongozi thabiti wa Uncle Ho Chin Min.

Ninacho taka kukumbusha hapa ni kwamba someni kwanza historia ya kweli kuhusu vita vilivyo wahi kupiganwa karne hii huko Mashariki ya mbali - ma orientals si binadamu wakuchukulia poa hata kidogo regardless ya economic status za baadhi ya mataifa hayo - haya mambo ya kusema eti Merikani inaweza kuisambalatisha Korea Kaskazini ndani ya wiki hizo ni ndoto za Mchana - kumbuka Korea Kaskazini iliwahi kupigana vita na USA na washirika wake kuanzia 1950-1953,je,unajuwa kulitokea nini baada ya kupigana kwa miaka minne - USA ilizidiwa nguvu na Korea Kaskazini USA ikaomba umoja wa mataifa kuingilia kati kusitisha vita - hiyo ilitokea miaka hiyo ya zamani, je,unafikiri hivi sasa Korea Kasikazini imejihami vipi kijeshi ili ku-contain ubabe wa USA. FYI North Korea isn't a walk over at all, ndio maana USA inamugwaya sana Kiduku inaishia kwenye Pilitical rhetoric bila ya kumchukulia hatia yoyote kijeshi.
Vita ya USA na Vietnam ingekua rahisi kama USSR asingeisaidia Vietnam.
 
Ile vita ilikua China, USSR ndo walimzuia USA sio n. Korea mkuu.

Una ushahidi gani kwamba Urusi iliwahi kupeleka wanajeshi wake huko Korea Kasikazini kusaidia K.kaskazini kupigana na majeshi ya USA, repeat, USSR never put boots on the ground in North Korea, never.

However, ni kweli China ilitoa msaada ikashirikiana na majeshi ya Korea Kaskazini kupigana na majeshi ya USA na washirika wake, lakini ukweli wa mambo hiyo si hoja sana kwa kuwa hata Majeshi ya USA yalikuwa yanashirikiana /saidiwa na majeshi ya Australia, NewsLand na Uingereza kupigana na majeshi ya Korea Kaskazini, USA was never alone.
 
Vita ya USA na Vietnam ingekua rahisi kama USSR asingeisaidia Vietnam.

Ilisaidia nini zaidi ya kuwapatia /kuwauzia silaha - walio pigana ni WavietNam wenyewe, that is the point, mbona Mataifa ya kiarabu yana silaha nyingi za kisasa lakini mara zote Waisrael uwashinda Waarabu kutokana na Waarabu kukosa ujasiri wa kupigana - bottom line is: Weapons are nothing kama huna moyo na ujasiri wa kupigana.
 
Yale ni ma toy tu hakuna kitu mle.Hawana huo uwezo.
Kwa kifupi Korea ya kaskazini imeshindikana,haiwezekani Tena,imeingia kwenye klabu ya wababe.
Leo tarehe 15 Januari 2021 imeonesha kombora jipya linalorushwa kutoka kwenye nyambizi.
Korea imetamba kuwa hilo Ni kombora lenye nguvu Sana hapa Duniani.

Tangu Korea ilipogawanyika na kuwa Korea mbili,ya kaskazini na ya kusini Mataifa ya Mgharibi yakiongozwa na USA yaliipiga Vita KK vya kuidhoofisha kijeshi na kiuchumi.

Maraisi wa USA toka kipindi hicho waliamua kuivamia kijeshi lakini walishindwa.
Kwa ufahamu wangu maraisi wa USA waliotamani Sana bila mafanikio kuipiga KK Ni Ronlda Ragan,George Bush Mkubwa na Mdogo,Bill Clinton,Barack Obama na aliemaliza kwa kutawala muhula mmoja Donald Trump.
Trump alijaribu kupeleka meli kubwakubwa za kubeba madege na Makombora hatari kabisa lakini ziliishia kugeuza na kurudi kambini huku wakiiacha KK ikitamba kwa kuvurumisha Makombora juu ya Japan.

"All options are on the table"
Haya yalikua maneno ya Trump wakati akiahidi kuitia adabu KK.

Nayo KK ikajibu
"Hebu tuone Kama ataweza maana hata waliotangulia walijaribu lakini hawakuweza"

Leo 15-1-2021 KK Haina wa kumzuia ikitaka kufanya chochote hapa katika sayari hii inayoitwa Dunia.
Imeoneaha silaha yake mpya.
Tumsubiri Joe Biden

North Korea parades new ballistic missiles
State news agency KCNA described it as: "The world's most powerful weapon, submarine-launch ballistic missiles."

It said the missiles "powerfully demonstrate the might of the revolutionary armed forces."

North Korea has test-fired several SLBMs from underwater. Analysts say it is seeking to develop an operational submarine to carry the missiles.
 
Huyu nae afanye shughuli zingine sasa.kila Siku anaonesha makombora utadhani yanaliwa.
 
Embu nenda Korea kamwambie usoni hivyo bwana Kim ..halafu yey atakuonyesha kama ni real au fake ..ila ukiondoka aga nyumbani kabisa kua haurudi tena
🤣🤣🤣 Sio kuaga tu kama anavyo vya kurithia pia avitowe , daa dekii ile fupi c mchezo amerika kamaliza hisabu zote .Unajua mtu akiwa mbabe na akisha zeeka basi utasikia mimi hunijui uliza wenzako zamani ndio US.
 
Mkuu hata Merikani ilikuwa inamcheka sana Mfaransa kwamba inakuwaje unashindwa kuwafyekelea mbali WavietNam, kwa nini mnapigana nao vita miaka nenda rudi bila mafanikio.

Wamerika wakajitapa mbele ya wafaransa kwamba wana uwezo mkubwa wa kupigana na VietNam na kumaliza kazi ndani ya wiki mbili kwa pigo moja lenye nguvu na lililo nyooka,baadae Mfaransa ilishindwa kuendelea na vita huko VietNam akaondoa majeshi yake na kuyarudisha Ufaransa kwa aibu.

Wiki chache baada ya Ufaransa kujiondoa VietNam, Jeshi la Merikani wakajiingiza kichwa kichwa VietNam wakiwa na imani kwamba vita ingemalizika ndani ya miezi michache, sasa nini kilicho jitokeza wakati vita ilipo pamba moto - Amerika ilipoteza ndege za vita, bombers na helicopters zaidi ya 20,000(elfu ishirini) kwa kudunguliwa na nyingine kuharibiwa beyond repair kutokana na makombora ya Warusi aina ya S-75 ya kutungulia ndege, strella manpad, triple As', RPG-7 nk the loss was massive, American Military haikutegemea kwamba ingeweza kupoteza idadi kubwa ya Military flying machine, si hilo tu vile vile maelfu ya wanajeshi wa Merikani walipoteza maisha.

Mwishowe baada ya miaka takribani 12 ya mapigano baina ya WavietNam kasikazini na jeshi la Merikani WavietNam waliwazidi kete Wamerikani na wakawashinda na kuwatia aibu - majigambo ya Uncle SAM hayakufua dafu mbele ya Field Marshal Nguyen Thin Bin chini ya uongozi thabiti wa Uncle Ho Chin Min.

Ninacho taka kukumbusha hapa ni kwamba someni kwanza historia ya kweli kuhusu vita vilivyo wahi kupiganwa karne hii huko Mashariki ya mbali - ma orientals si binadamu wakuchukulia poa hata kidogo regardless ya economic status za baadhi ya mataifa hayo - haya mambo ya kusema eti Merikani inaweza kuisambalatisha Korea Kaskazini ndani ya wiki hizo ni ndoto za Mchana - kumbuka Korea Kaskazini iliwahi kupigana vita na USA na washirika wake kuanzia 1950-1953,je,unajuwa kulitokea nini baada ya kupigana kwa miaka minne - USA ilizidiwa nguvu na Korea Kaskazini USA ikaomba umoja wa mataifa kuingilia kati kusitisha vita - hiyo ilitokea miaka hiyo ya zamani, je,unafikiri hivi sasa Korea Kasikazini imejihami vipi kijeshi ili ku-contain ubabe wa USA. FYI North Korea isn't a walk over at all, ndio maana USA inamugwaya sana Kiduku inaishia kwenye Pilitical rhetoric bila ya kumchukulia hatia yoyote kijeshi.
Nakukubali sana bro Unaongea kitu na box yake ,hapa kuna watu wanaongea Fumba tu ,hawajui kama ulimwengu unabadilika kwa mfano tu US pale Las Vegas ndio kitovu cha kamari na strehe wkt chinese katengeneza kubwa kushinda ile ya US ipo Macau.
 
Tatizo unajaza silaha wakati wananchi hawana huduma muhimu.
 
Ilisaidia nini zaidi ya kuwapatia /kuwauzia silaha - walio pigana ni WavietNam wenyewe, that is the point, mbona Mataifa ya kiarabu yana silaha nyingi za kisasa lakini mara zote Waisrael uwashinda Waarabu kutokana na Waarabu kukosa ujasiri wa kupigana - bottom line is: Weapons are nothing kama huna moyo na ujasiri wa kupigana.
Shabash mzee nakubali tunaenda kifkra sana sana bravo ,watu bado wako ktk ndoto za Ali Nacha hawangalii dunia.
 
Nakuhakikishia ingekuwa hivi wazungu wangeshaivamia NK, wangemkamata Kiduku na kumchapa viboko hadharani
Kuna kanuni na sheria za vita eti! Huwa hawajiendei tu kienyeji kama huko Tanganyika!

Sio tu swala la kumkamata Kiduku na kumcharaza mboko, lakini pia wanaangalia utaratibu unaotumika na maslahi mapana ya nchi.

Huwezi tu kuvamia nchi kijeshi kwa sababu unajisikia au kwa sababu una nyenzo madhubuti za kivita. Kuna protocals.

Utatengeneza international legal crisis! Na kuna madhara yake!

Mimi sio mjuzi wa vita lakini siamini kama marekani ameshindwa kumshughulikia kiduku!

Who knows? hata hiyo Pyongyang huenda iko infiltrated na majasusi wanaokula na kiduku mezani.

Wanamchezea tu lile duku lake la kichwa huku wanamng'ong'a kwa nyuma.

Watu sio wajinga kiasi hicho aisee!
 
Back
Top Bottom