Korea Kusini: Ndege iliyobeba watu 181 yaacha njia na kugonga ukuta na kuua zaidi ya Watu 167

Korea Kusini: Ndege iliyobeba watu 181 yaacha njia na kugonga ukuta na kuua zaidi ya Watu 167

Kampuni ya Boeing inaweza kuwa ndo mwanzo wa mwisho wake, tayari makampuni mengi ya usafirishaji wame cancel order za kununua boeing na kwemda kununua airbus, hizi ajali ndoz zinazidi kubomoa reputation ya boeing
Kweli kabisa,nashangaa sisi huku aliyetoa wazo la kununua ile Boeing 737 Max,wakati tayari zina historia mbaya ya ajali.Kampuni ya Boeing wa phase out haya matoleo ya 737,wabakize 767 na 787 ambazo hazina historia mbaya za ajali...
 
Kuna human errors pia tusikimbilie kulaumu chombo au kampuni. Kama pilot kwa uzembe wake hakukanyaga brakes sawasawa nani alaumiwe? Pole kwa wahanga wote.
Landing gear imegoma kufunguka kiongozi. Brakes zinaingiaje hapo?

Nakubaliana na wewe kuhusu human error, lakini inazikumba sana ndege za Boeing, hapo ndio changamoto inapoanzia.
 
Kweli kabisa,nashangaa sisi huku aliyetoa wazo la kununua ile Boeing 737 Max,wakati tayari zina historia mbaya ya ajali.Wa phase out haya matoleo ya 737,wabakize 767 na 787 ambazo hazina historia mbaya za ajali...
Delta ambayo ni pure American airline sasa hivi wana all airbus fleet, hii ni ndani ya atlanta Usa,
Sisi wamatumbi tumeenda kujitwisha 737 mac licha ya kelel zote, hadi unashangaa.
 
View attachment 3187464View attachment 3187465
View attachment 3187470
Takriban watu 167 wamefariki dunia baada ya ndege moja iliyokuwa imebeba abiria 181 na wafanyakazi 6 kuacha njia ya kurukia (runway) na kubomoa ukuta katika uwanja wa ndege nchini Korea Kusini.

Inasemekana watu wawili (2) wameokolewa kwenye ajali hiyo huku hali za watu wengine waliokuwemo katika ndege hiyo bado hazijajulikana.

Video za tukio hilo zimeonyesha ndege hiyo aina ya Boeing 737-800 ikiserereka kwa kasi katika njia yake, kabla ya kugonga ukuta na kuwaka moto.

Ajali hiyo imetokea leo saa tatu asubuhi nchini Korea ya Kusini.

=====================================================

A passenger plane burst into flames Sunday after it skid off a runway at a South Korea airport and slammed into a concrete fence when its front landing gear apparently failed to deploy, killing at least 47 people, officials said.

The National Fire Agency said the fire was almost put out but officials were still trying to pull people from the Jeju Air passenger plane carrying 181 people at the airport in the southern town of Muan.

At least 47 people had died in the fire, the agency said. Emergency workers pulled out two people — one passenger and one crew member. It said it deployed 32 fire trucks and several helicopters to contain the fire.

Footage of the crash aired by YTN television showed the Jeju Air plane skidding across the airstrip, apparently with its landing gear still closed, and colliding head-on with a concrete wall on the outskirts of the facility. The transport ministry said the incident happened at 9:03 a.m. local time.

Emergency officials in Muan said they were examining the cause of the fire. They said the plane's landing gear appeared to have malfunctioned. The transport ministry said the plane was returning from Bangkok and its passengers include two Thai nationals.

Local TV stations aired footage showing thick pillows of black smoke billowing from the plane engulfed with flame.

The incident came as South Korea is embroiled into a huge political crisis triggered by President Yoon Suk Yeol’s stunning imposition of martial law and ensuing impeachment. Last Friday, South Korean lawmakers impeached acting President Han Duck-soo and suspended his duties, making Deputy Prime Minister Choi Sang-mok to take over.

Source: CTV News
Japo ni ajali, captain wa ndege hiyo alifanya makosa mawili makubwa. Kosa la kwanza iwapo hydraulic system ilikuwa imekuwa compromized, angetelemsha matairi kwa gravity; hakufanya hivyo kwani hata milango ya matairi haikuwa imefunguka. Kosa la pili alishindwa kupunguza spidi ya ndege ingali angani kusudi inapotua iwe haina spidi kubwa lakini yeye alitua kwa sfull speed. Angetangaza May Day, kusudi ATC wamsafishie anga halafu azunguke angani mara kadhaa kupungza spidi kabla ya kutua. Yeye alitaka kutua moja kwa moja bila matairi.
 
Sawa inatomea tofauti ya wao ni kwamba hutawasikia wakisema "mipango ya mungu au siku zoa zimefika"
Utaona wale jamaa wa ntsb wametua hapo wanaanza kujiuliza mswali what caused this and wat can we learn from it?

Na tayari wameshasema uchunguzi utachukua kati ya miezi sita Hadi miaka mitatu.
 
Wakati wa kutua si inatakiwa ipunguze mwendo na mwisho isimame mkuu?
Ndio...nachomaanisha ni kwamba breki ya ndege ni ya pedal ya kukanyaga?
Maama mie nilisikia wanasema unashusha flaps sijui degree 25 then una apply reverse thrust mboeing unapunguza mwendo na sio kukanyaga pedal
 
Ndio...nachomaanisha ni kwamba breki ya ndege ni ya pedal ya kukanyaga?
Maama mie nilisikia wanasema unashusha flaps sijui degree 25 then una apply reverse thrust mboeing unapunguza mwendo na sio kukanyaga pedal

Hayo yote yanafanyika na upo sahihi kabisa Mzee wa kugegeda, ila yanasaidia kupunguza mwendo kisha break hua zipo zinazohusisha magurudumu ya ndege baada ya kugusa ardhi.

Wanasema kama sio hayo mambo kupunguza mwendo wa ndege, break peke yake zingeweza kusababisha moto kutokea kutokana na msuguano mkali au kuleta uharibifu mkubwa. Ndege inakua kwenye mwendo mkali sana hivyo kuhitaji mwendo kupunguzwa kabla break hazijatumika. Hii ni Kwa vile ndege inakua inaserereka kupitia magurudumu ambayo ili kusimama, yanahitaji break.

Mfano umewahi kujiuliza ndege ikitaka kuruka, pale inapoelekea kwenye Ile njia ya kuondokea si hua inasimama kusubiria maelekezo ya kuondoka kutoka chumba Cha kuongozea ndege?

Pale inaposimama hua ni break zinafanya kazi na sio reverse thrust.

Nafikiri umenielewa Mkuu.
 
Mtaalamu wa anga kapteni rubani wa ndege anatoa maoni yake :

Boeing 737 : Hakuna magurudumu yaliyotoka iweze kutua salama | Yagonga Ukuta wa zege

View: https://m.youtube.com/watch?v=w1r8dl4RqMw
Hapa ninafahamu taarifa za awali tu na haya ni maoni yangu tu kuhusu Ajali anasema rubani mbobevu katika kuchambua ajali hii.

Kuna maswali mengi ambayo hayawezi kujibiwa kwa wakati huu kwa hivyo tunahitaji data zaidi na timu ya uchunguzi wa ajali za ndege itajua kilichotokea.

Ndege ya shiriksa la ndege la Jeju aina ya muundo wa Boeing 737-800, yenye usajili HL8088 ikifanya safari ya 7C-2216 kutoka Bangkok (Thailand) hadi Muan (Korea Kusini) ikiwa na abiria 175 na wafanyakazi 6, ilitua kwenye barabara ya uwanja wa ndege wa Muan 19 saa 09:03L (00:03Z) ikiwa na inaonekana gia zote za magurudumu ya ndege hazijateremshwa, ilitua katika njia ya kurukia ndege kisha kuteleza kwa kutumia tumbo la ndege (kwenye fuselage) na injini bila magurudum,u kisha kuparamia uzio wa zege Mita 300 (futi 1000) baada ya kupitiliza sehemu ya mwisho ya barabara ya ndege na kupasuka kisha kulipuka moto mkubwa.

Watu wawili wameokolewa wakiwa hai, miili 120 imeopolewa, hakuna matumaini kwa walionusurika zaidi
Kikosi cha uokoaji cha Zimamoto cha uwanja wa ndege wa Muan kiliripoti hitilafu ya gia ya kutoa magurudumu ya kutua, ambayo huenda ilisababishwa na kugonga mnyama ndege angani, hivyo ilisababisha ndege kuhairisha kutua na kuamua kuzunguka.

Kisha baada ya mzunguko ndege hiyo ilijaribu kutua tena katika hali mbaya ya hewa. Hata hivyo, sababu halisi inahitaji kuamuliwa na uchunguzi wa pamoja unaofuata.

Mamlaka iliripoti manusura wawili, wa kiume na wa kike, wote wafanyakazi wa ndani ya ndege , waliokolewa wakiwa hai na majeraha makubwa kutoka kwenye sehemu ya nyuma iliyopo katika mkia wa ndege hiyo.

Wizara ya Uchukuzi ya Korea Kusini iliripoti kuwa kulikuwa na maswala kadhaa ikiwa ni pamoja na kuahirisha kutua na kuzungika angani kwa ndege hiyo na kuripotiwa hitilafu za zana za kutua, itachunguza kwa kina ili kujua sababu.

Wizara iliongeza baadaye, onyo la rubani kuahirisha kutua ndege lilitolewa saa 08:57L takriban dakika 6 kabla ya ajali, kama dakika moja baada ya mzunguko wa dharura wa ndege angani na kuonya wafanyakazi kutangaza Meiday MeiDay saa 08:58L wakati wakikaribia mwisho wa kujaribu kutumia barabara ya 01, mnara ulitolewa kuruhusu ndege kutua kwenye njia ya kurukia mbadala jirani (19), hata hivyo ndege Boeing 737 ilitua na kupata ajali dakika 5 baada ya kutangaza kauli ya lugha ya dharura ya sekta ya anga maaru Mayday.

Kinasa sauti cha safari ya ndege kimepatikana, kinasa sauti kilichopo katika chumba cha marubani bado hakijapatikana.

Shuhuda mtazamaji mmoja akiwa ardhini aliripoti kwamba ndege iliruka kati ya kundi la ndege wanyama, sauti mbili au tatu za pop kama kizibo cha soda ya gesi kufunguliwa zilisikika kana kwamba ndege wanyama hao angani kuvyonzwa, walimezwa kwenye injini ya ndege Boeing 737 , moto ulionekana kutoka kwa injini ya mkono wa kulia.

Ndege hiyo Boeing 737 ilipanda kidogo lakini ilionekana kushindwa kupanda zaidi na kuelekea kupoteza mwinuko. Wakati ndege ilimshinda rubani, ilikuwa na vifaa vya kutua yaani magurudumu chini.

Hospitali iliripoti mmoja wa wahudumu wa ndege hiyo alijeruhiwa bega na kichwa, lakini alikuwa na fahamu na aliweza kutembea. Data ya ADS-B iliyopokelewa kutoka kwa ndege ilikoma ikiwa futi 900 angani saa 08:58L (23:58Z Des 28th) ilipokuwa inakaribia njia ya 01 - safari za awali za ndege zilipokelewa hadi transponder ilipozimwa kwenye aproni.

Video hizo ikiwemo hapo juu zinaonyesha ndege hiyo ilikuwa ikiteleza kwenye barabara ya namba 19 ya kutua ndege kabla ya kujibamiza katika uzio wa zege

1735478239370.jpeg
 
Back
Top Bottom