Hotuba superb! Umetema nyongo za ukweli na uhakika na busara kubwa! kama wana akkili wamesikia!
UCHUMI AU UHAI?
Ndugu Wananchi,
Tuna bahati mbaya sana kwamba Serikali ya Rais Magufuli kutokana na será mbaya za kiuchumi, imeangusha uchumi wa nchi yetu, hivyo baadhi ya mikakati ya kupambana na Korona inaweza ikaua kabisa uchumi na kuliangusha zaidi Taifa. Hivyo, wakati mwingine tunamuelewa pale anapoamua kuwa kama Mbuni kuficha kichwa chake chini ya ardhi wakati kiwiliwili chote kiko nje!. Ni kwa sababu uchumi uko ICU, zile tambo za makusanyo makubwa, akiba ya fedha za kigeni, uchumi kukua, zilikuwa ni ulaghai, kama ulaghai tunaoushuhudia kwenye mapambano ya Korona.
UCHUMI AU UHAI?
Ndugu Wananchi,
Tuna bahati mbaya sana kwamba Serikali ya Rais Magufuli kutokana na será mbaya za kiuchumi, imeangusha uchumi wa nchi yetu, hivyo baadhi ya mikakati ya kupambana na Korona inaweza ikaua kabisa uchumi na kuliangusha zaidi Taifa. Hivyo, wakati mwingine tunamuelewa pale anapoamua kuwa kama Mbuni kuficha kichwa chake chini ya ardhi wakati kiwiliwili chote kiko nje!. Ni kwa sababu uchumi uko ICU, zile tambo za makusanyo makubwa, akiba ya fedha za kigeni, uchumi kukua, zilikuwa ni ulaghai, kama ulaghai tunaoushuhudia kwenye mapambano ya Korona.