permanides
JF-Expert Member
- May 18, 2013
- 11,682
- 14,241
Utoke uende wapi? komaa hapo hapo.Mimi najuta kwanini nilioa mapema tena huyu mwanamke ni nuksi. Toka nimeoa kila kitu kinaenda mrama, hapati mtoto mwaka wa 6 sasa, biashara tulianza zimekufa, kiufupi maisha yameharibika na nimepoteza mwelekeo kabisa.
Najuta, kutoka nashindwa. Nifanyaje?
Mkuu nakuja Zanzibar naomba tuonanemimi najuta sana pale nilikuwa naona kama watu wanaokunywa pombe kisa mawazo nilikuwa nawaona kama wajinga hiki ktu najuta sana wanajamvini
Unashindwaje kutoka? Kwani uliingiaje?Najuta, kutoka nashindwa. Nifanyaje?
Na ukiona mtu analalamika jua ameumia moyonKwa ulipofikia kumuona ni nuksi kwenye maisha yako ni bora ukampa talaka.
Alafu acha kuwabebesha watu wengine lawama katika failures zako ukiwa na mentality hiyo hata kufanikiwa huwezi utaishia kuwa ni mtu wa lawama tu
Damu hazijaendana.....damu zisipoendana hamtokaa mpate mtoto....ni lazima muachaneSo una taka sema mimi sina nguvu za kumpea mimba?
Kila kituYeye ndio huombea ndoa?
karibu mkuu twende tukapate moja moto moja baridi🙂Mkuu nakuja Zanzibar naomba tuonane
Hii ni kisayansi? Sijawahi kujua hiliDamu hazijaendana.....damu zisipoendana hamtokaa mpate mtoto....ni lazima muachane
kweli mkuu nilikuwa naona wapuuziHaha we jamaaa
Mkuu nimependa hii, nitaifanyia kazi kwa kweliMimi nilioa mwanamke mwenye nuksi kama huyo wa kwako,
nikafilisika ndani ya miezi minne tu.
nikaona isiwe shida, nikaomba msaada kwa ndugu nipate mtaji hata laki 3, wakakataa kabisa.
nikajitetea sana kwamba toka nioe kuna mabadiliko yametokea nahisi kufilisika.
Nikapewa jibu eti pambana, ndoa sio mchezo.
nikaona isiwe kesi, nikakopa elfu 30 tu nauli, nikamrudisha kwao mtoto wa baba mkwe!
siku hio anaondoka nilipata Furaha flani hivi sikujua hata imetoka wapi.
Baada ya wiki nikaona michongo imeanza kufunguka yenyewe.
sitosahau hii ishu yangu
karibu mkuu twende tukapate moja moto moja baridi🙂
Asante mi nakula kitimotokaribu mkuu twende tukapate moja moto moja baridi🙂
Ndiyo na hutokea katika jamii,wakiachana kila mtu hupata mtoto hukoHii ni kisayansi? Sijawahi kujua hili
safi sanaMimi nilioa mwanamke mwenye nuksi kama huyo wa kwako,
nikafilisika ndani ya miezi minne tu.
nikaona isiwe shida, nikaomba msaada kwa ndugu nipate mtaji hata laki 3, wakakataa kabisa.
nikajitetea sana kwamba toka nioe kuna mabadiliko yametokea nahisi kufilisika.
Nikapewa jibu eti pambana, ndoa sio mchezo.
nikaona isiwe kesi, nikakopa elfu 30 tu nauli, nikamrudisha kwao mtoto wa baba mkwe!
siku hio anaondoka nilipata Furaha flani hivi sikujua hata imetoka wapi.
Baada ya wiki nikaona michongo imeanza kufunguka yenyewe.
sitosahau hii ishu yangu