Kosa kubwa alilolifanya Hayati Magufuli ni kutokuelewa utofauti wa adui na mpinzani

Hata Mama tunamwambia Katiba Mpya pekee ndio itakayompa mafanikio. Akishupaza Shingo atamaliza hivi hivi ataishia kutengua na kuteua tu.
 
Ulichokiona wewe siyo tulichokiona sie.

Sie tulimwona matendo yake na maneno tukajua alimaanisha alichosema.
Kupora fedha za mfuko wa korosho na korosho za wakulima ndio ulichokiona, ama ni tofauti na Mimi nilichoona?
 
Alikuwa hana akili
Uroho wa madaraka huondoa akili; ukianza tu ugonjwa huu akili inakufa. Embu tujiulize huu ni muhula wa pili au wa kwanza kwa uongozi huu.
Kupata jibu la swali hili kama ugonjwa umekuathiri, hutaweza jibu kwa usahihi mana akili yako itakuwa imeharibika pamoja na kuwepo miongozo yote ya katiba na kanuni za uongozi nchini. Eeh mwenyezi Mungi linusuru taifa letu.
Wachache sana wasioathirika na virus huyu hatari watanielewa. Kusaidia tu, hii ni awamu ya 5 inamalizika ya Magufuri, anayebisha aniambie rais huyu kachaguliwa lini nukta
 
Bora aliachana nao tu, wanakula pesa zetu wanaenda ulaya kila kukicha kula pesa zetu. Zile pesa zingeanzisha barabara nyingi sana.

Matokeo yake sasa hivi miradi inayoendelea ni ile tu iliyoachwa na Marehemu, tena kwa kujikongoja. Huku maBi na maBii.. wakilipwa wanaitwa wapianzani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…