Kosa la Rais Samia ambalo watanzania wengi hawalitaki ni hili

Acha uongo kumjustify samia. Watanzania sivyo ulivyowaeleza eti mtoa jasho na mvivu wote wale. Watanzania wanapenda usawa kwa maana hawataki dhuluma. Kwa mfano hawapendi unyonyaji yaani wachache ndio wana fursa kumiliki mali wengine wawe wamejaliwa kutumikishwa tu. Hawapendi rushwa na matumizi mabaya ya madaraka. Hawakubali mali ya umma au fedha ya umma kutumika kwa maslahi ya mtu binafsi. Sasa hapo ndio mtu kama wewe utasema mengine. Uyo samia wako bila shaka anaamini kama wewe. Mtasema watanzania wana wivu mtu akiwa tajiri au amejaliwa na mungu wakati ni dhuluma tu kwa wengine.
 
Hata swali la kijinga pia linamajibu.
Unaweza kujibu au kuacha tuu Mkuu.

Nilikuuliza, hivi siku ukigundua kuwa Mungu ndiye huyohuyo shetani utafanya nini? Haujanijibu
A stupid comment again.Yaani aisee huna maarifa kabisa.Proof that God is there is all around you.
 
Ukweli mtupu!
 
Mpigie Yesu Makofi

Sema Ayayayaaaa!
 
Tatizo upigaji kwa wachache umeongezeka, huku maisha ya wengi yakiendelea kudidimia. Katika hili, ajiandae tu kusikia kelele kutoka kila kona ya nchi.
Hata kipindi cha JPM kuna wachache walipiga sana!
 
Ukweli mtupu!
 
Ndugu ukivua miwani ya ujamaa hutaona mapengo kwenye andiko lake. Kasema vizuri kuhusu tabia yetu.
 
Ni kama unaona ni sawa wanao iba fedha za umma kuendelea kuiba kisa tu duniani hakuna usawa!

Pamoja na andiko lako bora lakini ukweli ni kuwa asilimia zaidi ya 85 ya tunao ona ni matajiri au wanafedha hasa watumishi wa umma huku mtaani dili zao sio halali.

Tunaishi nao mtaana, tunajua kazi wanazo fanya, na tunajua biashara walizo nazo.

Ukitaka kuamini hili, fuatilia Viapo vya Maadili kwa watumishi wa umma, na hasa vipengele vya umiliki wa mali, ni aibu tupu!

Watu wanandika wana nyumba mbili na gari 2! but reality nyumba 67 Magari 20.

Mimi nilidhani maana ya mama ilikuwa kama unastahili kupata posho ya Laki 4 upate, kama mshahara wako ni milioni 6 ulipwe. (Period)
 
Duhuuuu kumbe ukivimbiwa unakuwa hivi
 
Dogo mpaka siku utakapoacha nadharia ndio utanielewa kua kwanza

Na huwezi nielewa.
Wenzako wanatafuta power ili wapate Pesa.
Wewe unajidanganya utafute Pesa.

Hata Mungu uliyemnukuu alimwambia adamu aende akatawale. Ukitawala(ukiwa na power) unakila Kitu ikiwemo hizo Pesa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…