Nakuamin mkuu. Mrangi mwenzako huyo.Mmh yuko vizuri huyu frm kamanda
Niamini nachokwambia
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakuamin mkuu. Mrangi mwenzako huyo.Mmh yuko vizuri huyu frm kamanda
Niamini nachokwambia
Ova
NakaziaUzee hauna dawa
Wema septu!Wewe ulitaka aonekanaje kwa mfano?
Mjomba wangu Ana cheo kikubwa jeshini aliwahi kuniambia hivo kwamba anajipanga ili akistaafu ale Bata na anajua kwamba cheo kikienda hakutokua na anayemjua TenaKova akihojiwa na clouds FM mwishoni mwaka jana anadai akiwapigia simu wenzake aliwaacha central na wizara ya mambo ya ndani hawapokei simu yake nakubaki kushangaa.
Ila si alikuwaga na kampuni yake ya ulinzi? Kama hakutumia fursa ya kupiga imekula kwake.
HahaNakuamin mkuu. Mrangi mwenzako huyo.
Anafanana na Sheta
Post ya kiumbea sana hiiKweli bongo ukistaafu unachoka aisee,ndiyo maana kuna watu wanajipunguzia umri ili wasistaafu mapema.
View attachment 2210122
Watoto Hawa wakija JF wameshiba viazi basi ni vurugu tupu,huyo mzee kiinua mgongo chake hakikuwa chini ya milioni 200 na pia wanatunzwa haoHivi unafahamu stahiki za Commissioner wa Polisi mstaafu wewe? Kitu pekee ambacho kinaweza kumpa msongo ni madaraka tuu lakini sio fedha.
Zaidi ya pesa ya mwezi hakuna kutunzwa hapo,igp pekee ndio anatunzwa hao wengine kazi kaziWatoto Hawa wakija JF wameshiba viazi basi ni vurugu tupu,huyo mzee kiinua mgongo chake hakikuwa chini ya milioni 200 na pia wanatunzwa hao
Mkuu, pesa ya mwezi plus mamilioni sio kutunzwa huko ? Na mpaka ufikie cheo Cha kamishna Tayari una miradi yakoZaidi ya pesa ya mwezi hakuna kutunzwa hapo,igp pekee ndio anatunzwa hao wengine kazi kazi
Yeye ndo alizindua ile frame ya lampard electronic japo sina hakika kam niyake ...eb wajuzi tujuzane maana inasemekna yeye pale nikama mlezi wa wale vijana
Baada ya kufuatilia posti zako JFKweli bongo ukistaafu unachoka aisee,ndiyo maana kuna watu wanajipunguzia umri ili wasistaafu mapema.
View attachment 2210122
Yale majizi ndani ya uniform hayanaga urafiki wa kudumu...Kova akihojiwa na clouds FM mwishoni mwaka jana anadai akiwapigia simu wenzake aliwaacha central na wizara ya mambo ya ndani hawapokei simu yake nakubaki kushangaa.
Ila si alikuwaga na kampuni yake ya ulinzi? Kama hakutumia fursa ya kupiga imekula kwake.
Damu yakeHivi ana undugu na Sheta?
Mbona ndio kwanza kanawiri?Kweli bongo ukistaafu unachoka aisee,ndiyo maana kuna watu wanajipunguzia umri ili wasistaafu mapema.
View attachment 2210122
Alipata Tender ya Kulinda mradi wa BRT Site ya Mbagala imekamilika SUMA JKT Wanampumulia kisogoniVyakula vya nini?
Na kile kijikampuni chake cha ulinzi kilifia wapi?
SUKOS DM FoundationHahaha alianzisha ka NGO flani ka kutoa elimu khs mambo ya kupambana Na majanga(elimu khs Moto,uogeleaji) etc. Lkn sijui kalifia wapi hako ka NGO.
Oooh! Wamefanana sana.Damu yake