Krismasi ni sikukuu ya wote, tutoe kwa wengine na tushereheke pamoja. Merry X-Mas!

Mwanzo 16:3 mpaka Mwanzo 17:17
Jina Sara na Sarai ni Kikristo.
Hajiri ni Kikristo na siyo Hagai.
Umri wa kuzaa ni miaka 90 si 80.
 
Ungerekebisha tittle kidogo hapo kwenye x-mass ingekaa poa sana
 
Povu la omo
 
Cheeee!!! Tumbaku ya mmasai...
 
Mkuu ikhlas , jf ni ukumbi wa kuhabarishana, kuelimishana na kuburudishana, kwa vile humu baadhi ni Waislamu na sisi wengine sio Waislamu, sasa kwa faida ya wengi humu, unaweza kutuekea hicho kifungu kinachokataza Muislam, kumu wish asie Muislam, heri ya Krismas?.

Heri ya Krismasi.
P.
 
Kwa wanaofutilia biblia wanasema Yesu hakuzaliwa tarehe 25 December,mfalme wa Rumi ndo aliamua tarehe hiyo iwe kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Yesu,lakini ktk bible Yesu hakusema tusherekee siku yake ya kuzaliwa, haya ni mapokeo kutoka kanisa la Rumi
 
Mkuu muda wa kuandika mautumbo marefu unautoa wapi?
 
Mkuu acha hizo.
Sisi na wachawi Mungu wetu ni 1 ?
Wapo watu wanamwabudu shetani na wanajivunia hilo.
Mungu wetu sio mmoja.
Zipo dini wanaposema Mungu wana maana tofauti na wewe unawajua.
Nasema dunia hii hatumwamwini Mungu 1.
Labda useme Mungu yupi.

Sent from my SM-N986B using JamiiForums mobile app
 
Hakuna neno kirimas kwenye bibilia wala mahali popote ni utashi wenu wakiristo tu., kama yesu alizaliwa leo kabla ya yeye kuzaliwa mungu alikuwa nani? kama ilibidi yeye azaliwe aje awe Mungu Mama Maryam alikuwa na mungu gani kabla ya kumzaa yesu,
 
Mkuu muda wa kuandika mautumbo marefu unautoa wapi?
Kuna wengine kwao kuandika ni passtime mpaka wapate muda, lakini kuna sisi wengine wetu, kuandika ndio kazi yetu, hivyo we have all the time in the world to write all this, na kwa taarifa yako tuu, nime post humu zaidi ya posts 40,000!.
P
 
Daah kumbe ismail ni mtoto wa nje ya ndoa na ndio baba wa uislamu

Aisee sikuwahi kujua hii
Uislamu ni Amani /unyenyekevu mbele za Mwenyezi Mungu na ndio unajumuisha manabii na mitume wote bila kubaguana na ndio pia msingi wa imani lkn kwa wafuasi wa yesu (issa)wenyewe hubagua km hivi mfn ukiangalia unaona kbs waislam wanafata mila za Ibrahim km Mwenyezi Mungu alivyoamrisha mfn mzuri yesu na manabii&mitume walivaa kanzu na waislam wanaume wanavaa kanzu wanawake walivaa kwa mavazi ya kujistiri kama majuba na mitandio mirefu na waislam wanawake huvaa kijistiri na hawaachi vichwa wazi km mama Bikira mariamu lkn wakristo wanawake huacha vichwa wazi tofauti na mafundisho pia mavazi yaliocha sehm ya mwili wazi ambao kimsingi umekatazwa ktk inijili ya yesu na Quran ya mtume Muhammad SAW pia yesu alipewa na MUNGU kitabu cha Injili sio Biblia ni hekaya za wazungu hakuna mtume wala nabii aliepewa kitabu cha biblia
 
Hahahahaha naona ushaanza kujinasibisha na uzanzibari.

Utakuwa wa pemba ama unguja?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…