Kuacha degree ya Human Resources kwenda kusomea Diploma in Forestry

Kuacha degree ya Human Resources kwenda kusomea Diploma in Forestry

Ni kwamba naona mzigo unawalemea nyumbani...
Unaweza kuwa unapanga wewe ila mungu nae anapanga...
Na sio kila kitu kina enda according to plan..

Kwaio kulingana na uchumi inaonekana forest itakuwa nafuu kulingana na maelezo niliotoa hapo juu.

Ndo sababu ya kuomba ushauri kwa watu wenye experience na izi course.

Niko chuo semister 2 saiv first year.
 
Ni kwamba naona mzigo unawalemea nyumbani...
Unaweza kuwa unapanga wewe ila mungu nae anapanga...
Na sio kila kitu kina enda according to plan..

Kwaio kulingana na uchumi inaonekana forest itakuwa nafuu kulingana na maelezo niliotoa hapo juu.

Ndo sababu ya kuomba ushauri kwa watu wenye experience na izi course.

Niko chuo semister 2 saiv first year.

Kwanini unataka kusoma forest? Na sio kozi ingine?
 
Kwanini unataka kusoma forest? Na sio kozi ingine?

1.chuo cha misitu kiko karibu na nyumbani so nitakuwa natokea nyumbani kuelekea chuo hivyo basi kupunguza kost za malazi..chakula

Wao watapambania ada.

2.wanahisi course hii ya human resources management haina soko mjini


Namba moja ndo kuu
 
we unashanga huyo kunadogo alitoka mweka akazama tandabui
 
Upo Sahihi HRM graduate wengi Sana wapo Juu ya mawe unabidi kuwa mtu wa connection Sana ili ufikie ndoto zako.
 
Nakushauri postpone masomo, rudi kalime kwa malengo, au katafute pesa kwa namna yoyote, rudi chuo soma degree yako
 
1.chuo cha misitu kiko karibu na nyumbani so nitakuwa natokea nyumbani kuelekea chuo hivyo basi kupunguza kost za malazi..chakula

Wao watapambania ada.

2.wanahisi course hii ya human resources management haina soko mjini


Namba moja ndo kuu
Kasome forestry, hujapoteza muda, bado umri mdogo sana, kasome forestry itakulipa zaidi kuliko hiyo HRM
 
[emoji736]Noted...samahan mkuu unaeza nipa na sababu za kushauri hvyo kama hutojali?
Sababu ni kuwa forestry ipo marketable zaidi ingawa mwajiri wake ni huyo huyo HR
Lakini pia, kwa sasa upepo wa ajira umebadirika, ajira nyingi kwenye taasisi zinahitaji diploma na certificate
Zingatia pia mazingira uliyosema hapo awali kama upatikanaji wa pesa na huduma ukiwa unaendelea na masomo
Simshauri kijana wangu asome degree, kimbilio la sasa ni diploma
 
Sababu ni kuwa forestry ipo marketable zaidi ingawa mwajiri wake ni huyo huyo HR
Lakini pia, kwa sasa upepo wa ajira umebadirika, ajira nyingi kwenye taasisi zinahitaji diploma na certificate
Zingatia pia mazingira uliyosema hapo awali kama upatikanaji wa pesa na huduma ukiwa unaendelea na masomo
Simshauri kijana wangu asome degree, kimbilio la sasa ni diploma
Asante tena mkuu📌🙏
 
1.chuo cha misitu kiko karibu na nyumbani so nitakuwa natokea nyumbani kuelekea chuo hivyo basi kupunguza kost za malazi..chakula

Wao watapambania ada.

2.wanahisi course hii ya human resources management haina soko mjini


Namba moja ndo kuu
Hiyo sio sababu ya msingi. Akili yako inawaza leo haiwazi kesho.

Haya umemaliza hiyo diploma ya forestry then what next? Utaifanyia nini?
 
Wakuu samahani..

Naomba mnisaidie ushauri.

Inaeza ikawa so mahala pake..

Niko chuo first year

Nachukua bachelor ya human resource

Ila sijapata mkopo

Me ni fresh toka advance.


Sasa nilikuwa nalipiwa kwa michango ya ndugu...ila naona kama inawawia vigumu.

Maana ada,chakula,malazi na mavazi juu ni wao wananisaidia 100%.

Kuna watu wanashauri nirudi nikasome diploma ya misitu.

Sababu...

1.chuo cha misitu kiko karibu na nyumbani so nitakuwa natokea nyumbani kuelekea chuo hivyo basi kupunguza kost za malazi..chakula

Wao watapambania ada.

2.wanahisi course hii ya human resources management haina soko mjini

Kwao itakuwa wame-waiste resources zao afu at the end nirudi kitaa kuhustle tena.


Umri

20 years


Elimu yangu

Form 4

Form 6


Ujuzi

Driving + licence daraja A A2 D

JKT 839


Post za polisi magereza uhamiaji zote huwa na jaribu kuomba....wanaopitia zile nyuzi tunakutana...


Wakubwa naomba mnishauri kushift kwenda io diploma ya misitu ntakuwa nimefanya chaguo sahihi?
Weka data zilizo kamilika.

Form 4 ulisoma masomo gani na una division ngapi?

Form6 umesoma kombi gani na una division ngapi?

Kwenda kusoma diploma ni kupoteza muda. Acha utoto.
 
Weka data zilizo kamilika.

Form 4 ulisoma masomo gani na una division ngapi?

Form6 umesoma kombi gani na una division ngapi?

Kwenda kusoma diploma ni kupoteza muda. Acha utoto.
anaposema hivyo Ina maana ameshajua vigezo Vya forestry, vinginevyo asingewaza kwenda huko
 
Kama marks form six zinaruhusu nenda degree kabisa ya forestry

Au ikishndikana nenda diploma ya clinical medicine au diploma ya nursing
 
Back
Top Bottom