MATONYA new
Senior Member
- Jan 21, 2021
- 140
- 331
30 yearskwa bongo muajili wa mambo ya msitu ni TFS. ambayo inaendeshwa kijeshi. mwisho wa kuajiri kwa diploma level ni 24 years. sasa jichanganye
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
30 yearskwa bongo muajili wa mambo ya msitu ni TFS. ambayo inaendeshwa kijeshi. mwisho wa kuajiri kwa diploma level ni 24 years. sasa jichanganye
30 years
tumia lugha yenye staha basi, hiyo kaza fuvu ndyo nn sasa. Tunao changia huu Uzi tupo level tofauti tofautiwe kaza fuvu. miaka 28 kwa level ya degree
tumia lugha yenye staha basi, hiyo kaza fuvu ndyo nn sasa. Tunao changia huu Uzi tupo level tofauti tofauti
Bila connection utasota izo post za polisi na magerezaWakuu samahani..
Naomba mnisaidie ushauri.
Inaeza ikawa so mahala pake..
Niko chuo first year
Nachukua bachelor ya human resource
Ila sijapata mkopo
Me ni fresh toka advance.
Sasa nilikuwa nalipiwa kwa michango ya ndugu...ila naona kama inawawia vigumu.
Maana ada,chakula,malazi na mavazi juu ni wao wananisaidia 100%.
Kuna watu wanashauri nirudi nikasome diploma ya misitu.
Sababu...
1.chuo cha misitu kiko karibu na nyumbani so nitakuwa natokea nyumbani kuelekea chuo hivyo basi kupunguza kost za malazi..chakula
Wao watapambania ada.
2.wanahisi course hii ya human resources management haina soko mjini
Kwao itakuwa wame-waiste resources zao afu at the end nirudi kitaa kuhustle tena.
Umri
20 years
Elimu yangu
Form 4
Form 6
Ujuzi
Driving + licence daraja A A2 D
JKT 839
Post za polisi magereza uhamiaji zote huwa na jaribu kuomba....wanaopitia zile nyuzi tunakutana...
Wakubwa naomba mnishauri kushift kwenda io diploma ya misitu ntakuwa nimefanya chaguo sahihi?
Kwa aliyepita jeshi 30 yrs anaajiriwa, kama hujapita jeshi ndyo lazma iwe below hiyo maana lazma upelekwe kozi hiyo ni kwa mujibu WA scheme of servicekabla sijakuambia legeza fuvu hiyo miaka 30 umeitoa wapi?
Kwa aliyepita jeshi 30 yrs anaajiriwa, kama hujapita jeshi ndyo lazma iwe below hiyo maana lazma upelekwe kozi hiyo ni kwa mujibu WA scheme of service
Which means asipopata imekula kwake. Shida ni kqamba atakuelewa!?Utaratibu wa Jeshi la maliasi na utalii ni kwamba Certificate na diploma ni 25 years na Degree ni 28 Years. ina kunaweza kuwa na Kibali maalum kwa Madaktari marubani nk. hakunaga tofauti na hapo. jamaa akitala kusoma misitu inatakiwa hadi anafika miaka 25 awe amepata ajira
watu wana procure na hakuna swaga wala niniNenda kasome kozi mojawapo kati ya hizi Chuo cha Bahari.
[1] Basic Technician Certificate (NTA Level 4) in Cargo Tallying and Supply Chain Management (BTCCTSM)
[2]Technician Certificate (NTA Level 5) in Shipping and Logistics Management (TCSLM).
achana na hako ka Human Resource kama hutaki kufa maskini.
😂pamoja mkuu....mapacha kitomari na mashauri bado wapo asee walimu wa kwata AoPambana dogo bado kijana mdogo nakushauri kasomee misitu afu jaribu ajira za TFs hutajuta maishani hiyo human resources ni kupoteza mda tu graduate ni wengi mtaani!
Uvumilivu muhimu sana kwenye maisha ndo maana ukapita makuyuni
Nawakubali sana miamba wangu wa makuyuni sese,kitomari,urassa na wengine wengi
Kabsa nimeshuhudia kwa macho mkuuBila connection utasota izo post za polisi na magereza
Kabsa nimeshuhudia kwa machoBila connection utasota izo post za polisi na magereza
Utaratibu wa Jeshi la maliasi na utalii ni kwamba Certificate na diploma ni 25 years na Degree ni 28 Years. ina kunaweza kuwa na Kibali maalum kwa Madaktari marubani nk. hakunaga tofauti na hapo. jamaa akitala kusoma misitu inatakiwa hadi anafika miaka 25 awe amepata ajira
Mleta acha chuo then ngoja uombe LAW ya UDOM, Ushirika moshi au SAUT! Otherwise jiandae kwa maumivu zaidi miaka ijayo.
Mkopo boss ndo inakuja kuleta shida....kama umesoma apo juu gharama za kujilipia ndo zinaleta shidaMleta acha chuo then ngoja uombe LAW ya UDOM, Ushirika moshi au SAUT! Otherwise jiandae kwa maumivu zaidi miaka ijayo.
Ni kweli...majeshi mengi elimu ya form four mpka diploma CUT POINT inakuwawaga 25 maximum nahisi ata TFS inaapply hvyoUtaratibu wa Jeshi la maliasi na utalii ni kwamba Certificate na diploma ni 25 years na Degree ni 28 Years. ina kunaweza kuwa na Kibali maalum kwa Madaktari marubani nk. hakunaga tofauti na hapo. jamaa akitala kusoma misitu inatakiwa hadi anafika miaka 25 awe amepata ajira
Nimesoma HGL advance mkuu nahisi nilitaja seemuI assume umesoma HGL japo kwenye jibu ulilojibu hujasema.
Kwanza kwenda diploma ni kupiteza muda.
Mimi nakushauri kwa sababu una div2 ya hgl nenda kasome degree ya LAW atleast hii ni rahisi kujiajiri na kuajiriwa ukifanikiwa kutoka law school!
Ungekua umesoma sayansi alevo ningekushauri tofauti ila Hiyo naona ni kozi nzuri kwa mtu wa arts!
Ni heri upostpond mwaka then mwakani uombe LAW. Kwa ufaulu wako uombe chuo cha ushirika moshi, UDOM na SAUT!
NB: Chondechonde usipoteze muda kusoma diploma kwa ufaulu wako wa form6!
Cha kuongezea atafute 4.0 GPA, vyuo vinamwaga kazi.Achana na stori za vijiweni mkuu.
Changamoto ya uhaba wa ajira nchi hii ipo kwa kozi zote.
Usithubutu kurudi nyuma na kupoteza muda kwenda kuanza diploma.
Endelea kusoma digrii ya HRM hiyohiyo ambayo umeshaianza,
tena isome kwa upendo, juhudi na nia sana.
Na uhakikishe kila ufanyapo U.E unafaulu kwa GPA nzuri ya kuanzia upper second class,
Michongo utaikuta ufikapo uraiani.
Which means asipopata imekula kwake. Shida ni kqamba atakuelewa!?
Namimi niliisema baada ya kuona.Nimesoma HGL advance mkuu nahisi nilitaja seemu
Law school,itakuwa ngum maana anasema Ada yake kupata nickuchangiwaI assume umesoma HGL japo kwenye jibu ulilojibu hujasema.
Kwanza kwenda diploma ni kupiteza muda.
Mimi nakushauri kwa sababu una div2 ya hgl nenda kasome degree ya LAW atleast hii ni rahisi kujiajiri na kuajiriwa ukifanikiwa kutoka law school!
Ungekua umesoma sayansi alevo ningekushauri tofauti ila Hiyo naona ni kozi nzuri kwa mtu wa arts!
Ni heri upostpond mwaka then mwakani uombe LAW. Kwa ufaulu wako uombe chuo cha ushirika moshi, UDOM na SAUT!
NB: Chondechonde usipoteze muda kusoma diploma kwa ufaulu wako wa form6!
Yes mkuu ada ndo tatizoLaw school,itakuwa ngum maana anasema Ada yake kupata nickuchangiwa