LIMBOMAMBOMA
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 10,482
- 14,007
Imezuiwa na tiss, hyo ndo ccm...Kwa nini mitandao ya Twitter,FB,Whats8 na Instagram haifanyi kazi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Imezuiwa na tiss, hyo ndo ccm...Kwa nini mitandao ya Twitter,FB,Whats8 na Instagram haifanyi kazi?
"CCM itashinda kwa kishindo" lakini bado inaongopa Twitter Tanzanian Community!!Wapiga kura wa Tanzania kesho wamalizia kabisa suala la uchaguzi kwa kishindo kikubwa.
Tundu Lissu amejitahidi sana kuchangamsha uchaguzi wa mwaka huu.
CCM itashinda kwa kishindo kikubwa.
Chadema wanafahamu hilo.
Viongozi wa CHADEMA angalieni maisha baada ya uchaguzi.
Kukaa kimya bila kukemea au kukanusha uongo ulioenezwa LISSU alisafiri kutoka KIA Hadi Kawe Dar kwa helikopta bila kupata kibali toka mamlaka ya anga ni Jambo la hatari Sana kwa LISSU na CHADEMA yenyewe.
Inajulikana hakuna mahali duniani unaweza kurusha helikopta au ndege angani bila kibali toka mamlaka ya anga ya nchi husika.
Rubani angerusha ndege kibabe hivyo ingemgharimu yeye binafsi na mmiliki wa helikopta.
Madhara ya uongo huu ni makubwa kuliko faida.
Mosi: CHADEMA na LISSU mtaonekana au mnaelekea kuhamasisha watu kutotii au kufuata sheria kama mnavyotaka MAGUFULI afanye. Mkichukua dola mtatawala nchi yenye vurugu za kutotii Sheria maana watu watamuiga kiongozi wao kupinga kila taratibu zilizopo kisheria au kikanuni.
Pili: Kwa watu ambao waelewa na waliwaamini watakosa imani nanyi siku zijazo.
Watu wenye kutafakari tunajiuliza hivi kweli LISSU yupo kujenga Tanzania au ana Jambo lake binafsi kiasi Cha kutumia njia hii ya uongo wa kitoto? Anamkosoa Magufuli kwa uongo huku nayeye akisema uongo?
CC: joka kuu
Mkuu Mimi nimevunjika moyo taarifa za yaliyotokea tarime ,kama taifa tumepotea sana.Hakuna tena hofu ya mungu!Mkuu unaambiwa huko msoma kuna mwenyekiti kauwa watu wawili na bado yuko mtaani raha mstarehe. Huko iramba kwa mwighuru kuna MTU katekwa na kuumizwa vibaya na mwigulu hakuna hatua zozote juu yake. Visa ni vingi. Kama taifa tujitafakari.
Sishabikii ya chadema maana wanawajibu wa kutii sheria. ila nasema kama taifa tunapoteza mwelekeo kiujumla .
..what if rubani na wenye helikopta walikuwa tayari kubeba mzigo wa lawama na gharama za kuvunja sheria?
..hapa inabidi tumpate mtu wa tatu ambaye hana maslahi na tcaa na Tundu Lissu aeleze kilichotokea.
..kitu cha msingi ni Tundu Lissu alifika kwenye mkutano na akafunga kampeni zetu.
Kwahiyo ukweli wako ni kwamba ameruka kwa ungo wa mama yako au wewe ndio ulimpa kibali cha kuruka? Kwanini mumkwamishe mtu kufanya shughuli zake.
Ndio CCM Lumumba wanavyowafundisha.Fala shoga wenu ana fir...wa kila siku
Bro imani huja kwa kusikia, sio kuona. Tuoneshe ili tusiamini.Viongozi wa CHADEMA angalieni maisha baada ya uchaguzi.
Kukaa kimya bila kukemea au kukanusha uongo ulioenezwa LISSU alisafiri kutoka KIA Hadi Kawe Dar kwa helikopta bila kupata kibali toka mamlaka ya anga ni Jambo la hatari Sana kwa LISSU na CHADEMA yenyewe.
Inajulikana hakuna mahali duniani unaweza kurusha helikopta au ndege angani bila kibali toka mamlaka ya anga ya nchi husika.
Rubani angerusha ndege kibabe hivyo ingemgharimu yeye binafsi na mmiliki wa helikopta.
Madhara ya uongo huu ni makubwa kuliko faida.
Mosi: CHADEMA na LISSU mtaonekana au mnaelekea kuhamasisha watu kutotii au kufuata sheria kama mnavyotaka MAGUFULI afanye. Mkichukua dola mtatawala nchi yenye vurugu za kutotii Sheria maana watu watamuiga kiongozi wao kupinga kila taratibu zilizopo kisheria au kikanuni.
Pili: Kwa watu ambao waelewa na waliwaamini watakosa imani nanyi siku zijazo.
Watu wenye kutafakari tunajiuliza hivi kweli LISSU yupo kujenga Tanzania au ana Jambo lake binafsi kiasi Cha kutumia njia hii ya uongo wa kitoto? Anamkosoa Magufuli kwa uongo huku nayeye akisema uongo?
CC: joka kuu
Jina lako kwa kikwetu ni puruViongozi wa CHADEMA angalieni maisha baada ya uchaguzi.
Kukaa kimya bila kukemea au kukanusha uongo ulioenezwa LISSU alisafiri kutoka KIA Hadi Kawe Dar kwa helikopta bila kupata kibali toka mamlaka ya anga ni Jambo la hatari Sana kwa LISSU na CHADEMA yenyewe.
Inajulikana hakuna mahali duniani unaweza kurusha helikopta au ndege angani bila kibali toka mamlaka ya anga ya nchi husika.
Rubani angerusha ndege kibabe hivyo ingemgharimu yeye binafsi na mmiliki wa helikopta.
Madhara ya uongo huu ni makubwa kuliko faida.
Mosi: CHADEMA na LISSU mtaonekana au mnaelekea kuhamasisha watu kutotii au kufuata sheria kama mnavyotaka MAGUFULI afanye. Mkichukua dola mtatawala nchi yenye vurugu za kutotii Sheria maana watu watamuiga kiongozi wao kupinga kila taratibu zilizopo kisheria au kikanuni.
Pili: Kwa watu ambao waelewa na waliwaamini watakosa imani nanyi siku zijazo.
Watu wenye kutafakari tunajiuliza hivi kweli LISSU yupo kujenga Tanzania au ana Jambo lake binafsi kiasi Cha kutumia njia hii ya uongo wa kitoto? Anamkosoa Magufuli kwa uongo huku nayeye akisema uongo?
CC: joka kuu
Magufuli ndiye msema kweli:Lissu hajawahi kusema ukweli ata siku moja 99% ya ahadi zake hazitekelezeki. Thanks god kesho ndio mwisho wa porojo zake.
Hamzidi yule wa chatoLissu ndiye Mtanzania mwongo zaidi kwa sasa
Rubbish zako, Jiwe ametawala nchi bila kufuata Katiba, sheria, miongozo, taratibu and all filths you can think of kwa miaka 5, ! Leo unaikomalia CDM! Unjust laws should not be obeyed whatsoever!Mosi: CHADEMA na LISSU mtaonekana au mnaelekea kuhamasisha watu kutotii au kufuata sheria kama mnavyotaka MAGUFULI afanye. Mkichukua dola mtatawala nchi yenye vurugu za kutotii Sheria maana watu watamuiga kiongozi wao kupinga kila taratibu zilizopo kisheria au kikanuni.
Sasa ukweli wako ni upi ndugu mtoa post?Viongozi wa CHADEMA angalieni maisha baada ya uchaguzi.
Kukaa kimya bila kukemea au kukanusha uongo ulioenezwa LISSU alisafiri kutoka KIA Hadi Kawe Dar kwa helikopta bila kupata kibali toka mamlaka ya anga ni Jambo la hatari Sana kwa LISSU na CHADEMA yenyewe.
Inajulikana hakuna mahali duniani unaweza kurusha helikopta au ndege angani bila kibali toka mamlaka ya anga ya nchi husika.
Rubani angerusha ndege kibabe hivyo ingemgharimu yeye binafsi na mmiliki wa helikopta.
Madhara ya uongo huu ni makubwa kuliko faida.
Mosi: CHADEMA na LISSU mtaonekana au mnaelekea kuhamasisha watu kutotii au kufuata sheria kama mnavyotaka MAGUFULI afanye. Mkichukua dola mtatawala nchi yenye vurugu za kutotii Sheria maana watu watamuiga kiongozi wao kupinga kila taratibu zilizopo kisheria au kikanuni.
Pili: Kwa watu ambao waelewa na waliwaamini watakosa imani nanyi siku zijazo.
Watu wenye kutafakari tunajiuliza hivi kweli LISSU yupo kujenga Tanzania au ana Jambo lake binafsi kiasi Cha kutumia njia hii ya uongo wa kitoto? Anamkosoa Magufuli kwa uongo huku nayeye akisema uongo?
CC: joka kuu
Okay ww ulikuwepo ground control tupe ukweli tukio lilikuwaje?Achana na Lissu, amekubuhu kwenye uongo. Hakuna Rubani anaweza kudiriki kupaa angani bila kibali cha mamlaka husika. Hajui ndege zikiwa angani zinapewa control kutokea chini. Siyo suala tu la kibali bali pia kuendeshwa. Ni mwongo sana Lissu
Punguza usenge basiViongozi wa CHADEMA angalieni maisha baada ya uchaguzi.
Kukaa kimya bila kukemea au kukanusha uongo ulioenezwa LISSU alisafiri kutoka KIA Hadi Kawe Dar kwa helikopta bila kupata kibali toka mamlaka ya anga ni Jambo la hatari Sana kwa LISSU na CHADEMA yenyewe.
Inajulikana hakuna mahali duniani unaweza kurusha helikopta au ndege angani bila kibali toka mamlaka ya anga ya nchi husika.
Rubani angerusha ndege kibabe hivyo ingemgharimu yeye binafsi na mmiliki wa helikopta.
Madhara ya uongo huu ni makubwa kuliko faida.
Mosi: CHADEMA na LISSU mtaonekana au mnaelekea kuhamasisha watu kutotii au kufuata sheria kama mnavyotaka MAGUFULI afanye. Mkichukua dola mtatawala nchi yenye vurugu za kutotii Sheria maana watu watamuiga kiongozi wao kupinga kila taratibu zilizopo kisheria au kikanuni.
Pili: Kwa watu ambao waelewa na waliwaamini watakosa imani nanyi siku zijazo.
Watu wenye kutafakari tunajiuliza hivi kweli LISSU yupo kujenga Tanzania au ana Jambo lake binafsi kiasi Cha kutumia njia hii ya uongo wa kitoto? Anamkosoa Magufuli kwa uongo huku nayeye akisema uongo?
CC: joka kuu
Lisu fala sana ila namshukuru aliloahidi na kutekeleza ni moja tu, milioni 50 kila kijiji.Lissu hajawahi kusema ukweli ata siku moja 99% ya ahadi zake hazitekelezeki. Thanks god kesho ndio mwisho wa porojo zake.
Hebu tuwekee hicho kibali walichompatia hao TAA?Viongozi wa CHADEMA angalieni maisha baada ya uchaguzi.
Kukaa kimya bila kukemea au kukanusha uongo ulioenezwa LISSU alisafiri kutoka KIA Hadi Kawe Dar kwa helikopta bila kupata kibali toka mamlaka ya anga ni Jambo la hatari Sana kwa LISSU na CHADEMA yenyewe.
Inajulikana hakuna mahali duniani unaweza kurusha helikopta au ndege angani bila kibali toka mamlaka ya anga ya nchi husika.
Rubani angerusha ndege kibabe hivyo ingemgharimu yeye binafsi na mmiliki wa helikopta.
Madhara ya uongo huu ni makubwa kuliko faida.
Mosi: CHADEMA na LISSU mtaonekana au mnaelekea kuhamasisha watu kutotii au kufuata sheria kama mnavyotaka MAGUFULI afanye. Mkichukua dola mtatawala nchi yenye vurugu za kutotii Sheria maana watu watamuiga kiongozi wao kupinga kila taratibu zilizopo kisheria au kikanuni.
Pili: Kwa watu ambao waelewa na waliwaamini watakosa imani nanyi siku zijazo.
Watu wenye kutafakari tunajiuliza hivi kweli LISSU yupo kujenga Tanzania au ana Jambo lake binafsi kiasi Cha kutumia njia hii ya uongo wa kitoto? Anamkosoa Magufuli kwa uongo huku nayeye akisema uongo?
CC: joka kuu