Papa D
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 753
- 182
KAMA MTOA HOJA NI KENGE BASI WEWE NI MJUSI 😎Tulia we kenge endeeleni kuamini huo upuuzi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KAMA MTOA HOJA NI KENGE BASI WEWE NI MJUSI 😎Tulia we kenge endeeleni kuamini huo upuuzi
Ficha ujinga wako Haki huinua Taifa unasali nini kama unashabikia ushetwain?Viongozi wa CHADEMA angalieni maisha baada ya uchaguzi.
Kukaa kimya bila kukemea au kukanusha uongo ulioenezwa LISSU alisafiri kutoka KIA Hadi Kawe Dar kwa helikopta bila kupata kibali toka mamlaka ya anga ni Jambo la hatari Sana kwa LISSU na CHADEMA yenyewe.
Inajulikana hakuna mahali duniani unaweza kurusha helikopta au ndege angani bila kibali toka mamlaka ya anga ya nchi husika.
Rubani angerusha ndege kibabe hivyo ingemgharimu yeye binafsi na mmiliki wa helikopta.
Madhara ya uongo huu ni makubwa kuliko faida.
Mosi: CHADEMA na LISSU mtaonekana au mnaelekea kuhamasisha watu kutotii au kufuata sheria kama mnavyotaka MAGUFULI afanye. Mkichukua dola mtatawala nchi yenye vurugu za kutotii Sheria maana watu watamuiga kiongozi wao kupinga kila taratibu zilizopo kisheria au kikanuni.
Pili: Kwa watu ambao waelewa na waliwaamini watakosa imani nanyi siku zijazo.
Watu wenye kutafakari tunajiuliza hivi kweli LISSU yupo kujenga Tanzania au ana Jambo lake binafsi kiasi Cha kutumia njia hii ya uongo wa kitoto? Anamkosoa Magufuli kwa uongo huku nayeye akisema uongo?
CC: joka kuu
Keshasulubiwa vijana waliokuwa wakifurika mikutano yake hawako vituo vya kupigia kuraLissu ni muongo na mzushi
Twendeni tukamsulubu huyu msaliti wa Nchi
Wewe ni rubani?Viongozi wa CHADEMA angalieni maisha baada ya uchaguzi.
Kukaa kimya bila kukemea au kukanusha uongo ulioenezwa LISSU alisafiri kutoka KIA Hadi Kawe Dar kwa helikopta bila kupata kibali toka mamlaka ya anga ni Jambo la hatari Sana kwa LISSU na CHADEMA yenyewe.
Inajulikana hakuna mahali duniani unaweza kurusha helikopta au ndege angani bila kibali toka mamlaka ya anga ya nchi husika.
Rubani angerusha ndege kibabe hivyo ingemgharimu yeye binafsi na mmiliki wa helikopta.
Madhara ya uongo huu ni makubwa kuliko faida.
Mosi: CHADEMA na LISSU mtaonekana au mnaelekea kuhamasisha watu kutotii au kufuata sheria kama mnavyotaka MAGUFULI afanye. Mkichukua dola mtatawala nchi yenye vurugu za kutotii Sheria maana watu watamuiga kiongozi wao kupinga kila taratibu zilizopo kisheria au kikanuni.
Pili: Kwa watu ambao waelewa na waliwaamini watakosa imani nanyi siku zijazo.
Watu wenye kutafakari tunajiuliza hivi kweli LISSU yupo kujenga Tanzania au ana Jambo lake binafsi kiasi Cha kutumia njia hii ya uongo wa kitoto? Anamkosoa Magufuli kwa uongo huku nayeye akisema uongo?
CC: joka kuu
Tatizo hawajui kama wanapigana na nguvu ya Mungu ipitayo nguvu za miungu yote . Viva Lissu1. Mengine yote hayo hayana maana wala unuhimu kwa sasa..
2. Mimi sijakuelewa nini ulichoona cha ajabu. Je, huamini kuwa TCAA wanaweza kufanya uhuni dhidi ya Tundu Lissu kwa maagizo ya watawala?
3. Kama huamini, basi wewe una tatizo na hujui nini kinendelea sasa katika hii iitwayo "Tanzania ya Magufuli..!"
4. Kama watu wanathubutu kuzims huduma ya Internet nchi nzima na kumuumiza kila mtu, watashindwaje kufanya ujinga huu?
5. Wewe si unafahamu na kuelewa kabisa kuwa, uhuni kama huu ulifanyika na TCAA hawahawa kwa Tundu Lissu huyu huyu na Chopa hii hii Mtwara tena rubani akiwa juu angani??
6. Wewe si unaelewa kabisa kuwa uhuni kama huu huu ulifanyika DSM mwanzoni kabisa na kutibua ratiba nzima ya kampeni za Lissu?
7. Nani hajui kuwa uhuni kama huu ulifanyika Bunda kwa mamlaka za serikali kutumia strategy hii hii ya kijinga kumzuia mtu huyu kutumia kivuko cha Bunda kuingia Ukerewe ili afanye mikutano ya kampeni? Unadhani ni coincidence? Hapana, siyo. Ni mpango maalumu wa makasudi..!!
8. Vivyo hivyo leo pale KIA. TCAA wametumika tu. Lengo ilikuwa ashindwe kufika DSM kwa wakati ama ashindwe kabisa kufika ili kuhutubia maelfu ya watu waliokuwa wanamsubiri wahitimishe naye kampeni..
LAKINI;
Hakuna jaribu lolote linaloweza kumpata mtu yeyote mwenye haki wa Mungu - Yehova ambalo halina mlango wa kutokea..
Thank God, kila hujuma iliyofanyika haikumzuia Tundu Lissu kufika alikokusudia kufika..
Narudia tena kusema, hayo mengine hayana maana. Kwa sababu, kama mlango umefungwa na wewe unataka kufika nje lakini huwezi, lakini kuna ukuta wa kurukika na ukatoka nje, bora ufanye hivyo..
Tundu Lissu kafanya vile. Hayo mengine ni yako, kaa nayo wewe yanaweza (labda) kukusaidia baadae..
Hawawezi kukuelewa hawa kende wamadoadoa mekundu na blue.Viongozi wa CHADEMA angalieni maisha baada ya uchaguzi.
Kukaa kimya bila kukemea au kukanusha uongo ulioenezwa LISSU alisafiri kutoka KIA Hadi Kawe Dar kwa helikopta bila kupata kibali toka mamlaka ya anga ni Jambo la hatari Sana kwa LISSU na CHADEMA yenyewe.
Inajulikana hakuna mahali duniani unaweza kurusha helikopta au ndege angani bila kibali toka mamlaka ya anga ya nchi husika.
Rubani angerusha ndege kibabe hivyo ingemgharimu yeye binafsi na mmiliki wa helikopta.
Madhara ya uongo huu ni makubwa kuliko faida.
Mosi: CHADEMA na LISSU mtaonekana au mnaelekea kuhamasisha watu kutotii au kufuata sheria kama mnavyotaka MAGUFULI afanye. Mkichukua dola mtatawala nchi yenye vurugu za kutotii Sheria maana watu watamuiga kiongozi wao kupinga kila taratibu zilizopo kisheria au kikanuni.
Pili: Kwa watu ambao waelewa na waliwaamini watakosa imani nanyi siku zijazo.
Watu wenye kutafakari tunajiuliza hivi kweli LISSU yupo kujenga Tanzania au ana Jambo lake binafsi kiasi Cha kutumia njia hii ya uongo wa kitoto? Anamkosoa Magufuli kwa uongo huku nayeye akisema uongo?
CC: joka kuu
Huo ni uongo, hivi unawajua wakuria wewe?? Yani mtu amuue raia kwenye kadamnasi kisha waendelee kumpetipeti?.Mkuu unaambiwa huko msoma kuna mwenyekiti kauwa watu wawili na bado yuko mtaani raha mstarehe. Huko iramba kwa mwighuru kuna MTU katekwa na kuumizwa vibaya na mwigulu hakuna hatua zozote juu yake. Visa ni vingi. Kama taifa tujitafakari.
Sishabikii ya chadema maana wanawajibu wa kutii sheria. ila nasema kama taifa tunapoteza mwelekeo kiujumla .
Mkuu hii ilianzia Musoma (alipandisha gari kwenye feri yeye akatunga uongo akaenda na mtumbwi baadaye feri ilipofika akachukua gari), ikaja Moshi (akakaidi muda na kuwakejeli polisi) then Kilimanjaro (kadanganya kuruka bila kibali), kule ilikuwa sijui kusini (alitua kufanya kampeni bila kibali huku akiwabeza polisi na nec) etc. Nadhani lengo lake ni kuvunja sheria ili kuwaandaa watu wafanye fujo. Uzuri TZ inaongozwa na watu wenye akili sana tena sana.Viongozi wa CHADEMA angalieni maisha baada ya uchaguzi.
Kukaa kimya bila kukemea au kukanusha uongo ulioenezwa LISSU alisafiri kutoka KIA Hadi Kawe Dar kwa helikopta bila kupata kibali toka mamlaka ya anga ni Jambo la hatari Sana kwa LISSU na CHADEMA yenyewe.
Inajulikana hakuna mahali duniani unaweza kurusha helikopta au ndege angani bila kibali toka mamlaka ya anga ya nchi husika.
Rubani angerusha ndege kibabe hivyo ingemgharimu yeye binafsi na mmiliki wa helikopta.
Madhara ya uongo huu ni makubwa kuliko faida.
Mosi: CHADEMA na LISSU mtaonekana au mnaelekea kuhamasisha watu kutotii au kufuata sheria kama mnavyotaka MAGUFULI afanye. Mkichukua dola mtatawala nchi yenye vurugu za kutotii Sheria maana watu watamuiga kiongozi wao kupinga kila taratibu zilizopo kisheria au kikanuni.
Pili: Kwa watu ambao waelewa na waliwaamini watakosa imani nanyi siku zijazo.
Watu wenye kutafakari tunajiuliza hivi kweli LISSU yupo kujenga Tanzania au ana Jambo lake binafsi kiasi Cha kutumia njia hii ya uongo wa kitoto? Anamkosoa Magufuli kwa uongo huku nayeye akisema uongo?
CC: joka kuu
Alisema walimu wataishi kama mapadri, yani kwenye friji fulu mazagazagaMagufuli ndiye msema kweli:
(1) Aliahidi 50 million kila kijiji, katekeleza.
(2) Aliahidi Laptop kwa kila Mwalimu, katekeleza.
(3) Aliahidi Noah kwa kila Mtanzania, katekeleza.
(4) Aliahidi kuwafunga mafisadi ktk mahakama ya mafisadi, katekeleza.
==================================
Shetani hana rafiki.
Lissu atosha, Magufuli akapumzike kwao chato.
TCAA waweke kibali hapa mjadala kwisha.Viongozi wa CHADEMA angalieni maisha baada ya uchaguzi.
Kukaa kimya bila kukemea au kukanusha uongo ulioenezwa LISSU alisafiri kutoka KIA Hadi Kawe Dar kwa helikopta bila kupata kibali toka mamlaka ya anga ni Jambo la hatari Sana kwa LISSU na CHADEMA yenyewe.
Inajulikana hakuna mahali duniani unaweza kurusha helikopta au ndege angani bila kibali toka mamlaka ya anga ya nchi husika.
Rubani angerusha ndege kibabe hivyo ingemgharimu yeye binafsi na mmiliki wa helikopta.
Madhara ya uongo huu ni makubwa kuliko faida.
Mosi: CHADEMA na LISSU mtaonekana au mnaelekea kuhamasisha watu kutotii au kufuata sheria kama mnavyotaka MAGUFULI afanye. Mkichukua dola mtatawala nchi yenye vurugu za kutotii Sheria maana watu watamuiga kiongozi wao kupinga kila taratibu zilizopo kisheria au kikanuni.
Pili: Kwa watu ambao waelewa na waliwaamini watakosa imani nanyi siku zijazo.
Watu wenye kutafakari tunajiuliza hivi kweli LISSU yupo kujenga Tanzania au ana Jambo lake binafsi kiasi Cha kutumia njia hii ya uongo wa kitoto? Anamkosoa Magufuli kwa uongo huku nayeye akisema uongo?
CC: joka kuu
Hawa watu wa chadema ni hatari Sana kwa amani ya Nchi yetu .
Nashukuru Sana ambavyo network ya mitandao ya kurusha mapicha ya taharuki haupatikanj maana walijipanga kuuhadaa umma wa watanzania na kuleta taharuki.
Najua huyo Lisu hakukatazwa na rubani hawezi kukiuka taratibu za magu izo ya anga . Taratibu tunazijua Sana.
Alikua anatafuta Kiki ambayo amri kosa.
Mungu awalaani wakose kura kabisa.
Hawana hofu ya Mungu kabisa.
Tunapenda amani sisi.
CCM oyeee.
Hawa watu wa chadema ni hatari Sana kwa amani ya Nchi yetu .
Nashukuru Sana ambavyo network ya mitandao ya kurusha mapicha ya taharuki haupatikanj maana walijipanga kuuhadaa umma wa watanzania na kuleta taharuki.
Najua huyo Lisu hakukatazwa na rubani hawezi kukiuka taratibu za magu izo ya anga . Taratibu tunazijua Sana.
Alikua anatafuta Kiki ambayo amri kosa.
Mungu awalaani wakose kura kabisa.
Hawana hofu ya Mungu kabisa.
Tunapenda amani sisi.
CCM oyeee.
Huyo Nyerere alizoea kuishi kwa uongo.
Hawa watu wa chadema ni hatari Sana kwa amani ya Nchi yetu .
Nashukuru Sana ambavyo network ya mitandao ya kurusha mapicha ya taharuki haupatikanj maana walijipanga kuuhadaa umma wa watanzania na kuleta taharuki.
Najua huyo Lisu hakukatazwa na rubani hawezi kukiuka taratibu za magu izo ya anga . Taratibu tunazijua Sana.
Alikua anatafuta Kiki ambayo amri kosa.
Mungu awalaani wakose kura kabisa.
Hawana hofu ya Mungu kabisa.
Tunapenda amani sisi.
CCM oyeee.
Hawa watu wa chadema ni hatari Sana kwa amani ya Nchi yetu .
Nashukuru Sana ambavyo network ya mitandao ya kurusha mapicha ya taharuki haupatikanj maana walijipanga kuuhadaa umma wa watanzania na kuleta taharuki.
Najua huyo Lisu hakukatazwa na rubani hawezi kukiuka taratibu za magu izo ya anga . Taratibu tunazijua Sana.
Alikua anatafuta Kiki ambayo amri kosa.
Mungu awalaani wakose kura kabisa.
Hawana hofu ya Mungu kabisa.
Tunapenda amani sisi.
CCM oyeee.