SPACE CADET
JF-Expert Member
- Dec 15, 2022
- 2,280
- 3,555
Hivi hiyo avatar ni yako kweli kama ni yako mbona unasura ya kizee hivyo na cheek wrinklesNgoja tufike mizani ya Mikese
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi hiyo avatar ni yako kweli kama ni yako mbona unasura ya kizee hivyo na cheek wrinklesNgoja tufike mizani ya Mikese
Nitumie clip mkuu 0786811728Hii hua narudia sana kuiangalia maana President alitisha mbaya....🤣🤣
Na nape nnauye 2017 puchu akadakwa na cameraUsisahau yule waziri wa kongo
Huenda tablet yenyewe ni hizi za mgao wa majuziNasafiri kuelekea Moro, nimepanda Aboud, nimekaa na mtu ana kama 46yrs. Anaangalia ngono na kaweka sauti ya chini.
Ila anatumia tablet havifichiki, huu sio uungana, nimejaribu kumuomba azime, anasema hiyo ndiyo starehe yake.
Nikereka, inabidi nijitande mtandio gubigubi nisione wala nisisikie.
Upo serious kaka au???Na nape nnauye 2017 puchu akadakwa na camera
Ingawa sizipendi hizo video lakini yupo sahihi, ni starehe yake binafsi isitoshe ameweka sauti ya chini kuepusha kutowabughudhi wengine. Ni sawa na mtu anayevuta sigara auvanayekunywa pombe. Huwezi mkataza kwa sababu wewe hupendiNasafiri kuelekea Moro, nimepanda Aboud, nimekaa na mtu ana kama 46yrs. Anaangalia ngono na kaweka sauti ya chini.
Ila anatumia tablet havifichiki, huu sio uungana, nimejaribu kumuomba azime, anasema hiyo ndiyo starehe yake.
Nikereka, inabidi nijitande mtandio gubigubi nisione wala nisisikie.
Unapoangalia kwenye public unakuwa umevunja sheria, hizo ni sinema za faraghaIngawa sizipendi hizo video lakini yupo sahihi, ni starehe yake binafsi isitoshe ameweka sauti ya chini kuepusha kutowabughudhi wengine. Ni sawa na mtu anayevuta sigara auvanayekunywa pombe. Huwezi mkataza kwa sababu wewe hupendi
kuna watu ni makauzu hasa.Kuna watu wamepinda. Wakati wengine hata kuongea mambo binafsi tu kwenye daladala hatuwezi
Nasafiri kuelekea Moro, nimepanda Aboud, nimekaa na mtu ana kama 46yrs. Anaangalia ngono na kaweka sauti ya chini.
Ila anatumia tablet havifichiki, huu sio uungana, nimejaribu kumuomba azime, anasema hiyo ndiyo starehe yake.
Nikereka, inabidi nijitande mtandio gubigubi nisione wala nisisikie.
Hukumbuki alikutwa akatumbuliwa kipindi cha magu mi nilikuwa boarding ila nilisikia hiyo habari sembuse raia kama wwUpo serious kaka au???
Pastor ina maana nyingi we jemima ka google uone kwani hukusomaPastor P are you serious? Mnayatia najisi majina ya watumishi wa Mungu
Kaka nape namjua siwezi kuamini hiloHukumbuki alikutwa akatumbuliwa kipindi cha magu mi nilikuwa boarding ila nilisikia hiyo habari sembuse raia kama ww
Basi itakuwa ni uzushiKaka nape namjua siwezi kuamini hilo
Maana nyingine ni ipi?Pastor ina maana nyingi we jemima ka google uone kwani hukusoma
safiri na mandingo upate rahaNasafiri kuelekea Moro, nimepanda Aboud, nimekaa na mtu ana kama 46yrs. Anaangalia ngono na kaweka sauti ya chini.
Ila anatumia tablet havifichiki, huu sio uungana, nimejaribu kumuomba azime, anasema hiyo ndiyo starehe yake.
Nikereka, inabidi nijitande mtandio gubigubi nisione wala nisisikie.