Kuanguka chooni/bafuni na kufa, kuna uhusiano gani?

Kuanguka chooni/bafuni na kufa, kuna uhusiano gani?

Somo tajwa hapo juu lahusika.

Ukiona mtu amedondoka chooni au bafuni ujue lazima tu amerogwa au kapigwa chuma ulete. Na mara nyingi hutokea kwenye vyoo au bafu zilizofunika ( vya ndani), maana ndo sehemu pendwa ya majini.Majini hayapendi vyoo na bafu za wazi juu. Na yanapenda sana mahala pasafi.

Ukidondoka lazima tu utakuwa umetupiwa jini fulani na mtaalam ! Ukizimia ukaamka ujue limekukosa kosa tu lakini haliondoki hiyo sehemu mpaka likamilishe lengo lake.

Jipange ndugu.
Unapoteleza mara nyingi unaangukia kichwa na kupata concussion. Hamna kingine.
 
"african are lazy but good in sex" hii kauli inakaukweli kake
 
Tafuta documentary ya nyuma azam two alifanyiwa interview Dr. Profesa mohamed Janabi mkurugenzi wa Jakaya kikwete heart institute alielezea kwa kina sababu za watu kuanguka chooni na bafuni. Hizo sababu zako ni umbea na uzushi wa waswahili usidanganye watu hapa.
 
Haya mambo yapo mkuu,bahati mbaya tu una ujinga kuhusu mambo haya
Sijafahamu ujinga sana na mambo ya kijadi japo sio sehemu ya maisha yangu. Hata ukitokea uzembe barabarani ajali ikatokea wakati tunaongelea safety ataibuka mjadi akuambie pale tulitega ndagu tumekunywa damu sana au tumebeba wote hakuna aliyekufa mmezika migomba. Pamoja na kuwepo kwa asilimia za ushirikina asilimia kubwa ni matukio ya asili a yanayohitaji maarifa sio ndagu.
 
Watu wanadondoka kwa sababu. Unakuta mtu ametoka usingizini anaenda msalani.ukiwa umelala mwili una relax. Ukiamka ghafla na kutembea inakua shida. Ndo maana wataalau wanashauri ukiwa umelala na unataka kuamka inabidi uamke halafu ukae kitandani miguu ikiwa chini kwa muda ili mwili uwe ktk hali ya kawaida halafu ndo usimame uanze kutembea. Tofauti na hivyo ni shida.
Umenena vyema mtaalam,asome hapa ataelewa
 
Sijafahamu ujinga sana na mambo ya kijadi japo sio sehemu ya maisha yangu. Hata ukitokea uzembe barabarani ajali ikatokea wakati tunaongelea safety ataibuka mjadi akuambie pale tulitega ndagu tumekunywa damu sana au tumebeba wote hakuna aliyekufa mmezika migomba. Pamoja na kuwepo kwa asilimia za ushirikina asilimia kubwa ni matukio ya asili a yanayohitaji maarifa sio ndagu.
Ngoja urogwe au uchukuliwe msukule ndo utaelewa vizuri
 
KWA SISI waislam KUNA dua ya kuingia CHOONI na kutoka CHOONI..

dua hiyo hulenga kutuepusha na MAJJINNI na MAPEPO wabaya wanaokaa CHOONI..

so naamini KUWEPO kwa viumbe hivyo CHOONI..

SIKU ZOTE SAYANSI na IMANI ni vitu viwili TOFAUTI... ni vizuri kuelezea na kuchunguza PANDE zote mbili kabla ya KUPINGA hoja iliyoegemea upande MMOJA....






siku zote SAYANSI ikishindwakuleta JIBU watu hukimbilia katika IMANI.. mfano halisi ni hizi ajali za MBEYA.. wametumia mbinu za kisayansi kuzuia AJALI ila wameshindwa na kuhamia katika IMANI wameungana na kumuomba MUNGU awaokoe kutoka katika wimbi la AJALI....

HIVYO IMANI ni BORA kuliko SAYANSI..
 
si kweli kuwa wanapenda sehemu safi siku zote sehemu safi zinaendana na Mungu na wafuasi wake na chafu zinaendana na shetani na wafuasi wake hayo majini maovu yanapenda sehemu chafu kama huko vyooni na majalalani na masokoni ndio maana baadhi ya waumini wameelekezwa na dini zao wapitapo sehemu kama hizo wasome dua maalum ya kuimarisha ulinzi kutoka kwa Mungu
 
Somo tajwa hapo juu lahusika.

Ukiona mtu amedondoka chooni au bafuni ujue lazima tu amerogwa au kapigwa chuma ulete. Na mara nyingi hutokea kwenye vyoo au bafu zilizofunika ( vya ndani), maana ndo sehemu pendwa ya majini.Majini hayapendi vyoo na bafu za wazi juu. Na yanapenda sana mahala pasafi.

Ukidondoka lazima tu utakuwa umetupiwa jini fulani na mtaalam ! Ukizimia ukaamka ujue limekukosa kosa tu lakini haliondoki hiyo sehemu mpaka likamilishe lengo lake.

Jipange ndugu.
Kwanini usihusishe na shinikizo la damu ?
 
Hizo takwimu umezitoa wapi
Kuna ishu inaitwa orthostatic hypotension ambapo pressure hushuka ghafla mtu anapobadili mkao. Hasa anaposimama ghafla . sasa unakuta mtu alilala kisha akasimama kuelekea chooni, hapo pressure hushuka na kupata kizunguzungu na kuanguka.

pia kuna dawa ukitumia hasa za kushusha pressure hutakiwi kuoga maji ya moto sana maana. Maji ya moto hufanya mishipa ya damu kutanuka na kushusha zaidi pressure na madhara ya pressure kushuka ni kizunguzungu ambapo mtu huishia kuanguka.
 
Ni vema siku zote kuwasikiliza wataalam wa afya waliosomea. Sababu za kiasili zipo nyingi.
 
Kuna ishu inaitwa orthostatic hypotension ambapo pressure hushuka ghafla mtu anapobadili mkao. Hasa anaposimama ghafla . sasa unakuta mtu alilala kisha akasimama kuelekea chooni, hapo pressure hushuka na kupata kizunguzungu na kuanguka.

pia kuna dawa ukitumia hasa za kushusha pressure hutakiwi kuoga maji ya moto sana maana. Maji ya moto hufanya mishipa ya damu kutanuka na kushusha zaidi pressure na madhara ya pressure kushuka ni kizunguzungu ambapo mtu huishia kuanguka.
Du,kwa hiyo mtu mwenye pressure anatakiwa kuishi kwa tahadhari
 
Watu wanadondoka kwa sababu. Unakuta mtu ametoka usingizini anaenda msalani.ukiwa umelala mwili una relax. Ukiamka ghafla na kutembea inakua shida. Ndo maana wataalau wanashauri ukiwa umelala na unataka kuamka inabidi uamke halafu ukae kitandani miguu ikiwa chini kwa muda ili mwili uwe ktk hali ya kawaida halafu ndo usimame uanze kutembea. Tofauti na hivyo ni shida.
nyongeza tumsaidie mleta uzi hata gari ukiliwasha asubuhi yakupasa uliwashe uliache japo kwa dakika kadhaa ndo uanze safari ila si kuwasha nakuanza safari maana oil inakuwa imeshuka chini pia damu ya mwanadamu upande mmoja inakuwa nyingi alafu speed yake ya mzunguko inakuwa chini maana mwili ulikuwa umepumzishwa
 
Back
Top Bottom