Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nasikia kuna Dua inapigwa kabla ya kuingia chooni.Somo tajwa hapo juu lahusika.
Ukiona mtu amedondoka chooni au bafuni ujue lazima tu amerogwa au kapigwa chuma ulete. Na mara nyingi hutokea kwenye vyoo au bafu zilizofunika ( vya ndani), maana ndo sehemu pendwa ya majini.Majini hayapendi vyoo na bafu za wazi juu. Na yanapenda sana mahala pasafi.
Ukidondoka lazima tu utakuwa umetupiwa jini fulani na mtaalam ! Ukizimia ukaamka ujue limekukosa kosa tu lakini haliondoki hiyo sehemu mpaka likamilishe lengo lake.
Jipange ndugu.
Vyoo vya watanzania tu au hadi vya akina Obama?Inasemekana eti "chooni kuna mapepo"
Haya mambo yapo mkuu,bahati mbaya tu una ujinga kuhusu mambo hayaImani potofu. Wazungu wanahitaji kuja kututawala kumalizia ukoko wa ujinga.
Hizo takwimu umezitoa wapikwa kawaida watu wenye magonjwa ya moyo na wanatumia dawa fulani hushauriwa. kutosimama kwa muda mrefu na wanaume wanatakiwa kukojoa wakiwa wamekaa. Mbali na hivyo huwa katika hatari ya kuanguka kwa kizunguzungu. Ndiyo maana wengi wanaoanguka chooni huwa wanaume.
Jina lako tu linaonesha we utakua ni mtemi [emoji41] usijifanye kukana ulko tokaImani potofu. Wazungu wanahitaji kuja kututawala kumalizia ukoko wa ujinga.