jiwe gizani
JF-Expert Member
- May 25, 2021
- 380
- 507
Okay [emoji106]Hiyo huwa ni stroke, pressure inaweza kuwa juu halafu ukajimwagia maji baridi. Unaambiwa uanze kujimwaGia maji miguuni kwanza kabla ya ki chwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Okay [emoji106]Hiyo huwa ni stroke, pressure inaweza kuwa juu halafu ukajimwagia maji baridi. Unaambiwa uanze kujimwaGia maji miguuni kwanza kabla ya ki chwa
Vip wale wanaopiga chamkono chooni kuna madhara yeyote?Kuna aina flani ya majini huwa hawapatikani mahali popote isipokuwa chooni,yaani wao chooni ndo nyumbani na ndo sababu kwa waislam huwa Kuna maneno wanasema kabla ya kuingia chooni ili Mungu muumbaji awakinge na hao viumbe
Aisee, hata kiswahili hujui kukiandika [emoji848][emoji848]Hamna uchawi madaktari wataeleza vizuli lakini kwa uelewa mdogo ni mshtuko wa moyo ukijimwagia maji baridi gafla
Hata mashetani ya chooni yapo pia.Hiyo huwa ni stroke, pressure inaweza kuwa juu halafu ukajimwagia maji baridi. Unaambiwa uanze kujimwaGia maji miguuni kwanza kabla ya ki chwa
Umeandika kinyesi hapa. Uongo, ujinga na uzushi.Prof janab wa jk heart institute alisema unapochuchumaa na kujisaidi unapojikamua unatengeneza pressure kubwa tumboni inayopelekea moyo kupump damu ghafla kwa kasi hali inayopelekea mirija ya damu kuzidiwa na pressure na kupasuka (stroke) ndio maana watu huwa wanaanguka chooni. Kupunguza risk epuka vyoo vya kuchuchumaa ni hatari, tumia choo cha kukaa ili upunguze kuzalisha pressure kubwa
Ukweli ni upi? Tafuta kipindi cha dakika 45 itv mahojiano na Prof janabUmeandika kinyesi hapa. Uongo, ujinga na uzushi.
Nakubaliana na wewe mkuuHiyo huwa ni stroke, pressure inaweza kuwa juu halafu ukajimwagia maji baridi. Unaambiwa uanze kujimwaGia maji miguuni kwanza kabla ya ki chwa
Wanatembea wakipapasa nini huko chooni? Wanapapasa wakitafuta kitu gani?Chooni kuna majini wa aina mbili (Khubuthi na Khabaithi) ambao wao ni vipofu, huwa wanatembea kwa kupapasa. Katika kupapasa kwao,ikitokea wamekugusa kichwani basi unaweza ukadondoka na kupooza au kufa kabisa ndio maana tunaambiwa tukiingia chooni tufunge kitu chochote kichwani.
Dua yenyewe ni "Allahumma audhubika minal khubuthi wal khabaithi" maana yake "Eeeh Mungu ninajilinda kwako kutokana na Khubuthi na Khabaithi"
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanii wakae chooni? Jini gani halioni?Ni vipofu, hawaoni. Ni kama vile mtu asiyeona jinsi anavyotembea barabarani
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kwahiyo mtu akijenga choo wao wanaingia? Wanatokea wapi wakati ni vipofu ?
Mbona unanichanganya?? Majini yote ni maisilamu it's means waisilamu wana unasaba na majini iweje yawadhuru?? Kwamujibu wa dini ya mudi majini ni viumbe wa mwanyazimungu so they can't hurt themKuna aina flani ya majini huwa hawapatikani mahali popote isipokuwa chooni,yaani wao chooni ndo nyumbani na ndo sababu kwa waislam huwa Kuna maneno wanasema kabla ya kuingia chooni ili Mungu muumbaji awakinge na hao viumbe
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Umeandika kinyesi hapa. Uongo, ujinga na uzushi.
Akikuji in unitag mkuu[emoji125][emoji125]Wanatembea wakipapasa nini huko chooni? Wanapapasa wakitafuta kitu gani?
Mmh,juzi mtaani kwetu ameanguka jamaa wakati anakanyaga mlango tu aingie chooni, akafa,Hamna uchawi madaktari wataeleza vizuli lakini kwa uelewa mdogo ni mshtuko wa moyo ukijimwagia maji baridi gafla
Ahsante Kwa ufafanuziMmh,juzi mtaani kwetu ameanguka jamaa wakati anakanyaga mlango tu aingie chooni, akafa,
Bi mkubwa wetu alitoka chooni kujisaidia, wakati anatoka tu akala mweleka akapata stroke,bahati nzuri tulifaiti kwa uwezo wa Mungu akapona,,,,,,,Sasa ayo maji hata ya kuchambia yanashtua moyo???;!!