Mchawi huroga waliojiandaa kisaikokojia kurogwa.Ngoja urogwe au uchukuliwe msukule ndo utaelewa vizuri
Ukienda kuoga unashauliwa uanze kujimwagia maji miguuni kupanda juu ili kubalance body temperature kitendo cha kujimwagia maji kichwani au kifuani unajiweka kwenye risk ya kupata stroke au kufa kabisa, ni sawa na chuma chenye moto ukimwagie maji kinaweza kupasukaKuna wengine huwa wanadondoka pindi wanapojimwagia maji ya baridi ilhali mwili ni wa joto
Matokeo yake huwa ni mabaya
Hayo mengine yapo na wengine kupigwa kofi kabisa
Yaani jiandae kwa mengi
Mkuu je kwa wale wenye kuoga kwa kutumia shawa nao ina kuaje hapo maana ile ni ngumu ku balance maji yaanzie wapi..,Ukienda kuoga unashauliwa uanze kujimwagia maji miguuni kupanda juu ili kubalance body temperature kitendo cha kujimwagia maji kichwani au kifuani unajiweka kwenye risk ya kupata stroke au kufa kabisa, ni sawa na chuma chenye moto ukimwagie maji kinaweza kupasuka
Hapo umenena kisayansi zaidi na sio kama watu wanavyoaminiUkienda kuoga unashauliwa uanze kujimwagia maji miguuni kupanda juu ili kubalance body temperature kitendo cha kujimwagia maji kichwani au kifuani unajiweka kwenye risk ya kupata stroke au kufa kabisa, ni sawa na chuma chenye moto ukimwagie maji kinaweza kupasuka
Kweli?
πππππ nmecheka mnoNilishaanguka tena kwa kishindo na mavi yote yakarudi tumboni , ila nilisema kwa sauti " mababu nisaidieni " mwenye nyumba alipoona nimetoka salama akanitafutia kisa na kunifukuza . Eti anasema nimeaga nyumbani !
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] na huu ndio ukweliNilishaanguka tena kwa kishindo na mavi yote yakarudi tumboni , ila nilisema kwa sauti " mababu nisaidieni " mwenye nyumba alipoona nimetoka salama akanitafutia kisa na kunifukuza . Eti anasema nimeaga nyumbani !
Kwahiyo hayo majini yanafanyaje mkuu?Kuna aina flani ya majini huwa hawapatikani mahali popote isipokuwa chooni,yaani wao chooni ndo nyumbani na ndo sababu kwa waislam huwa Kuna maneno wanasema kabla ya kuingia chooni ili Mungu muumbaji awakinge na hao viumbe
Hiyo huwa ni stroke, pressure inaweza kuwa juu halafu ukajimwagia maji baridi. Unaambiwa uanze kujimwaGia maji miguuni kwanza kabla ya ki chwa