Kuanguka kwa Taifa la Marekani kwakaribia. Ni suala la muda tu; Mungu hawezi kuacha upuuzi wa nchi hiyo kuendelea

Kuanguka kwa Taifa la Marekani kwakaribia. Ni suala la muda tu; Mungu hawezi kuacha upuuzi wa nchi hiyo kuendelea

Trable

JF-Expert Member
Joined
Jan 3, 2023
Posts
1,781
Reaction score
3,288
Enzi na enzi, Mungu huchukizwa mno na ushoga! Na timbwili la kuanguka kwa Taifa hili kubwa Duniani_ inaanzia hapa.

Mungu kuonyesha kwamba huchukizwa na upumbavu huo na havumilii kabisa kufuru hizo, aliwawasha moto Sodoma na Gomola.

Kitendo cha Marekani kuacha misingi yake na kujikabidhi kwa Lucifer, Mungu hawezi kufanya kikao na watu wa Taifa hilo tena.

Ni suala la muda tu Marekani naye atakuwa kama Roma iliyowahi kuogopeka enzi hizo.

Ushoga kwa Taifa la Marekani; imeuwekea sheria kabisa na kwa sheria hizo, na mataifa mengine wazifuate, na ikiwa hawatazifuata, basi hawatapewa vitu fulani, hii ni kufuru mbaya sana.

Ukiona China inatishia uchumi wa Marekani, basi ndio mwanzo tu wa nchi hiyo kujiweka kwenye nafasi ya kuiongoza Dunia.

Na utawala wa China katika kuiongoza Dunia hauji kwa bahati mbaya! Wasomaji wa Biblia mnaelewa hili na ingawa nao hautadumu kwa sababu wao ndio watakuwa na makufuru makuu kwa Mungu.

Mwenye kusikia na asikie
 
Hizi nyuzi ndiyo matunda ya makanisa ya akina masanja.
Usome grandbook (Biblia) na uelewe vema!

Hakuna kanisa la Masanja bali kuna kanisa ambalo ni mwili wa Kristo!

Msiojua Mandiko huwa mnahangaikia sana vitu vya mwilini, mko tayari kubomoa jengo la waamini mkizani mmeangusha kanisa!

Kanisa siyo jengo na wala halihusiani na wachungaji wala masanja
 
Lakini China ni taifa la waabudu shetani, kule Mungu hana nafasi. Hata corona ilipotoka kuzimu waliamua kuizindulia China kwenye taifa lao, kupitia daktari wao aliyepotea baada ya mission.

USA ndio headquarters ya Shetani duniani labda kama anataka kuhamisha makao yake China
 
Useme grandbook na uelewe vema!

Hakuna kanisa la Masanja bali kuna kanisa ambalo ni mwili wa Kristo!

Msiojua Mandiko huwa mnahangaikia sana vitu vya mwilini, mko tayari kubomoa jengo la waamini mkizani mmeangusha kanisa!

Kanisa siyo jengo na wala halihusiani na wachungaji wala masanja
Sio KILA kanisa ni la Mungu utambulika kwa matunda yake
 
Enzi na enzi, Mungu huchukizwa mno na ushoga! Na timbwili la kuanguka kwa Taifa hili kubwa Duniani_ inaanzia hapa!

Mungu kuonyesha kwamba huchukizwa na upumbavu huo na havumilii kabisa kufuru hizo, aliwawasha moto Sodoma na Gomola!

Kitendo cha Marekani kuacha misingi yake na kujikabidhi kwa Lucifer, Mungu hawezi kufanya kikao na watu wa Taifa hilo tena!

Ni suala la muda tu Marekani naye atakuwa kama Loma iliyowahi kuogopeka enzi hizo!

Ukiona China inatishia uchumi wa Marekani, basi ndio mwanzo tu wa nchi hiyo kujiweka kwenye nafasi ya kuiongoza Dunia,

Na utawala wa China katika kuiongoza Dunia hauji kwa bahati mbaya! Wasomaji wa Biblia mnaelewa hili na ingawa nao hautadumu kwa sababu wao ndio watakuwa na makufuru makuu kwa Mungu!

Mwenye kusikia na asikie
Yani mtu mwenyewe anatumia jina la Kisamvu ila anatabiri kuanguka kwa US. Fanya ishu za maana, bado ipo sana.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Yaani badala ya kutafuta pesa zako unaanza kufikiria yasiyo na maana. Whether Marekani ama China iwe super power hiyo haitabadili net worth yako mwenzangu. Utabaki pale pale huku wenzako humo wanaendelea. Isieleweke ya kwamba napendekeza tabia mbovu za wenzetu huko lakini ni wakati waafrika wenzangu tuamke. Maoni yako hayabadili chochote. Tujijenge kwanza wenzangu!
 
Back
Top Bottom