Sje tuna mambo ya kijinga sana na majibu mepese kwenye mambo ambayo yanahutaji kufikiri. Waafrica tumepewa kila kitu but yet sie ndio omba omba.Vyoo anasubiriwa Yesu atujengee 😝😝😝
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sje tuna mambo ya kijinga sana na majibu mepese kwenye mambo ambayo yanahutaji kufikiri. Waafrica tumepewa kila kitu but yet sie ndio omba omba.Vyoo anasubiriwa Yesu atujengee 😝😝😝
Haya mambo yote umeyajuaje?Lakini China ni taifa la waabudu shetani, kule Mungu hana nafasi.
Hata corona ilipotoka kuzimu waliamua kuizindulia China kwenye taifa lao, kupitia daktari wao aliyepotea baada ya mission.
USA ndio headquarters ya Shetani duniani labda kama anataka kuhamisha makao yake China
Kwani we uko bara la Ulaya?Endeleeni kukumbatia huo ujinga huku bara lenu, nchi zenu na watu wake waki nuka ujinga, umasikini na upumbavu.
Yanajulikana ukiyatafuta siri za dunia zipoHaya mambo yote umeyajuaje?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hii ngozi hii, kuna kitu hakipo sawa hata kama ukweli una tuuma ila kiuhalisia hii ngozi na akili ni mbingu na ardhi.
Mkuu,Hizi ramli chonganishi bwana dah, toka lini hiyo marekani yako ilikuwa taifa la Mungu?
Ushoga ni janga la dunia nzima, sio marekani tu bwashee, acha mbege.
Daah ata mim nimeshtuka sana nilipoona LOMA daah kweli watoto wa daslamu wanamatatizoLoma - Roma
Ndg, utatumia utabiri sana but America ni siri na fumbo nzito, bt ushoga kama kiberiti wote dunia nzima ok.Mkuu,
Hakuna Taifa la Mungu bali kuna watu wa Mungu, na watu wale kupitia Taifa lao wakajiwekea sheria kinzani na kanuni za Mungu, Mungu hulipiga hilo Taifa
Misingi ya Taifa la Marekani, limejengwa kwa msingi wa ki Mungu, na ndiyo maana kule, ulipaji wa zaka upo kwenye sisitimu ya mishahara
Ni kweli ila wamegoma kusomwa JICHOUnaisemaje China na Russia. Nchi ambazo zinaongozwa na mizimu.
Kwa hiyo hata kutambua ndoa za jinsia moja ni misingi ya kimungu?Mkuu,
Hakuna Taifa la Mungu bali kuna watu wa Mungu, na watu wale kupitia Taifa lao wakajiwekea sheria kinzani na kanuni za Mungu, Mungu hulipiga hilo Taifa
Misingi ya Taifa la Marekani, limejengwa kwa msingi wa ki Mungu, na ndiyo maana kule, ulipaji wa zaka upo kwenye sisitimu ya mishahara
Daah!Kwa hiyo hata kutambua ndoa za jinsia moja ni misingi ya kimungu?
Orthodox ni ushetani tuuuuRussia ni othodox mkuu jiheshimu
Asante kwa mchangoNdg, utatumia utabiri sana but America ni siri na fumbo nzito, bt ushoga kama kiberiti wote dunia nzima ok.
Ujawai mla mke wa mtu tigo wewe? Ujawai ingia chumvini wewe, hakuna mwanamke ambaye hajanyonya koni yako?
Ujawai angalia porn wewe? Kwa kifupi usiwe unaangalia mapenzi ya jinsi moja tu et ndo dhambi ok, kuna uchafu mwingi mno zaidi ya hiyo na yote ni chukizo mbele za Mungu
Asante nawe pia kwa kutambua mchango wanguAsante kwa mchango