Kuanguka kwa Taifa la Marekani kwakaribia. Ni suala la muda tu; Mungu hawezi kuacha upuuzi wa nchi hiyo kuendelea

Kuanguka kwa Taifa la Marekani kwakaribia. Ni suala la muda tu; Mungu hawezi kuacha upuuzi wa nchi hiyo kuendelea

Lakini China ni taifa la waabudu shetani, kule Mungu hana nafasi.
Hata corona ilipotoka kuzimu waliamua kuizindulia China kwenye taifa lao, kupitia daktari wao aliyepotea baada ya mission.
USA ndio headquarters ya Shetani duniani labda kama anataka kuhamisha makao yake China
Endeleeni kukumbatia huo ujinga huku bara lenu, nchi zenu na watu wake waki nuka ujinga, umasikini na upumbavu.
 
Umemaliza, narudia tena maliza mkuu na hii ndio principle ya nchi zote zilizo endelea.

Huu ujinga umebaki bara la giza pekee, kwa sababu hata watu wake wana giza vichwani mwao badala ya akili.
Wa Africa ni giza tupu, toka rangi ya ngozi hadi akili.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wa Africa ni giza tupu, toka rangi ya ngozi hadi akili.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hii ngozi hii, kuna kitu hakipo sawa hata kama ukweli una tuuma ila kiuhalisia hii ngozi na akili ni mbingu na ardhi.
 
Useme grandbook na uelewe vema!

Hakuna kanisa la Masanja bali kuna kanisa ambalo ni mwili wa Kristo!

Msiojua Mandiko huwa mnahangaikia sana vitu vya mwilini, mko tayari kubomoa jengo la waamini mkizani mmeangusha kanisa!

Kanisa siyo jengo na wala halihusiani na wachungaji wala masanja

Yesu halijui kanisa lolote
 
Endeleeni kukumbatia huo ujinga huku bara lenu, nchi zenu na watu wake waki nuka ujinga, umasikini na upumbavu.
Ninapoona mtu akipoteza muda akitoa maoni Mimi huudhika Santa. Maoni yako hayabadili chochote!!! Maoni ya Akina Elon, Gates na wengine ndiyo yanamatter. Angalia maoni ya Elon yalivyo angusha value ya Bitcoin kwa siku kadhaa. Lakini ya kwako hayabadili chochote. Ni kama kifo Cha nzi na tembo. WACHENI KUPOTEZA MUDA!!!! TUAMKE.Nakusapoti sana ASIWAJU!!
 
Ninapoona mtu akipoteza muda akitoa maoni Mimi huudhika Santa. Maoni yako hayabadili chochote!!! Maoni ya Akina Elon, Gates na wengine ndiyo yanamatter. Angalia maoni ya Elon yalivyo angusha value ya Bitcoin kwa siku kadhaa. Lakini ya kwako hayabadili chochote. Ni kama kifo Cha nzi na tembo. WACHENI KUPOTEZA MUDA!!!! TUAMKE.
Mwambie huyo Mungu awafanye nanyi muendelee kama hao U.S.A, China, U.K, France, Canada, Korea, Germany and so on.



: Akili/Rangi
 
MUNGU na china wapi na wapi

Ujue china hakuna mambo ya dini dini

Asilimia zaidi ya 90 ya wachina ni Atheist

Marekani angalau wanamuabudu Mungu kuliko China
 
Useme grandbook na uelewe vema!

Hakuna kanisa la Masanja bali kuna kanisa ambalo ni mwili wa Kristo!

Msiojua Mandiko huwa mnahangaikia sana vitu vya mwilini, mko tayari kubomoa jengo la waamini mkizani mmeangusha kanisa!

Kanisa siyo jengo na wala halihusiani na wachungaji wala masanja
 
Marekan itakuja kuanguka tu kama ilivo kwa UK ilitawala dunia mda mrefu sana
 
Wazungu hawamtegemei Mungu kuendelea. Wao wanategemea akili
Na kila leo wanatupiga gepu hatari. Hapa kwenyewe tunajimwambafy jf huku tukitumia marimba ya mzungu. 🤣🤣🤣🤣
Waafrica bwana wanajitutumua wee lakini hamna lolote. Vyoo vyao wenyewe tuu kujenga wanashindwa
 
Useme grandbook na uelewe vema!

Hakuna kanisa la Masanja bali kuna kanisa ambalo ni mwili wa Kristo!

Msiojua Mandiko huwa mnahangaikia sana vitu vya mwilini, mko tayari kubomoa jengo la waamini mkizani mmeangusha kanisa!

Kanisa siyo jengo na wala halihusiani na wachungaji wala masanja

Hatujui maandiko mimi na nani?. Huyo mwingine ni nani hasa?.
 
Na kila leo wanatupiga gepu hatari. Hapa kwenyewe tunajimwambafy jf huku tukitumia marimba ya mzungu. 🤣🤣🤣🤣
Waafrica bwana wanajitutumua wee lakini hamna lolote. Vyoo vyao wenyewe tuu kujenga wanashindwa
Vyoo anasubiriwa Yesu atujengee 😝😝😝
 
Back
Top Bottom