Kuanguka kwa Taifa la Marekani kwakaribia. Ni suala la muda tu; Mungu hawezi kuacha upuuzi wa nchi hiyo kuendelea

Kuanguka kwa Taifa la Marekani kwakaribia. Ni suala la muda tu; Mungu hawezi kuacha upuuzi wa nchi hiyo kuendelea

Lakini China ni taifa la waabudu shetani, kule Mungu hana nafasi.
Hata corona ilipotoka kuzimu waliamua kuizindulia China kwenye taifa lao, kupitia daktari wao aliyepotea baada ya mission.
USA ndio headquarters ya Shetani duniani labda kama anataka kuhamisha makao yake China
Afadhari hata China kwa sababu hawamjui Mungu kwa itikadi yao ya Ukomunism! Lakini linapiga vita Ushoga! Ni tofauti na Taifa la Marekani ambalo lilijengwa katika misingi ya Ukristo iliyowekwa na Waasisi wa Taifa hilo,lakini kwa sababu ya kiburi wameacha misingi ya Ukristo na matokeo yake wanamkufuru Mungu kwa kueneza uchafu huo duniani.
Sasa nani afadhari? Huyu asiyemjua Mungu lakini anatenda matendo yanayompendeza Mungu AU huyu anayesema anamjua Mungu lakini anafanya machukizo mbele za Mungu wakati anajua hayo hayampendezi Mungu?
 
Yaani badala ya kutafuta pesa zako unaanza kufikiria yasiyo na maana. Whether Marekani ama China iwe super power hiyo haitabadili net worth yako mwenzangu. Utabaki pale pale huku wenzako humo wanaendelea. Isieleweke ya kwamba napendekeza tabia mbovu za wenzetu huko lakini ni wakati waafrika wenzangu tuamke. Maoni yako hayabadili chochote. Tujijenge kwanza wenzangu!!!!!
Una sh ngapi hapo!

Ni Heri kukosa kila kitu ila usikose ufalme wa Mungu
 
Hapo nikikuuliza useme kanisa ni nini hutaweza kusema... Yaani kwa kifupi, wewe mvaa kobazi hujui kanisa ni nini.

Nakuuliza, Kanisa ni nini?
Haelewi chochote mkuu
 
Ndiyo maana wamefanikiwa wazungu walifanikiwa kuwaaminisha waafrika kuwa mizimu ni kitu kibaya
😂😂

Hiyo haiondoi ukweli wote kwamba, Mungu yupo

Na hata wanaoabudu mizimu, bado haiondoi uwepo wa Mungu!
 
Nimekaa Hapa Na Mbwa Hamniiti,Uturuki Inaenda Kuwa Taifa lenye Nguvu Duniani.
 
Ujerumani itakuwa taifa kubwa zaidi, number 1. Mlima ambao Marekani ipo kileleni una utelezi sana, ni suala la muda tu ataporomoka. Pamoja na sababu ulioitaja, kikubwa kitakachoiangusha USA ni vita yake na RUSSIA hivi karibuni.
Asomae na afahamu

Sent from my STK-L21 using JamiiForums mobile app
 
Enzi na enzi, Mungu huchukizwa mno na ushoga! Na timbwili la kuanguka kwa Taifa hili kubwa Duniani_ inaanzia hapa!

Mungu kuonyesha kwamba huchukizwa na upumbavu huo na havumilii kabisa kufuru hizo, aliwawasha moto Sodoma na Gomola!

Kitendo cha Marekani kuacha misingi yake na kujikabidhi kwa Lucifer, Mungu hawezi kufanya kikao na watu wa Taifa hilo tena!

Ni suala la muda tu Marekani naye atakuwa kama Roma iliyowahi kuogopeka enzi hizo!

Ushoga kwa Taifa la Marekani; imeuwekea sheria kabisa na kwa sheria hizo, na mataifa mengine wazifuate, na ikiwa hawatazifuata, basi hawatapewa vitu fulani, hii ni kufuru mbaya sana!

Ukiona China inatishia uchumi wa Marekani, basi ndio mwanzo tu wa nchi hiyo kujiweka kwenye nafasi ya kuiongoza Dunia,

Na utawala wa China katika kuiongoza Dunia hauji kwa bahati mbaya! Wasomaji wa Biblia mnaelewa hili na ingawa nao hautadumu kwa sababu wao ndio watakuwa na makufuru makuu kwa Mungu!

Mwenye kusikia na asikie
if the US falls our slave Master will be China, without using our brains as Africans we will be the same dogs with new master
 
Marekani ni chimbuko TU la haki au utetezi wa ushoga baada ya kosa kufanywa na VATICAN city .....

Sitetei ushoga wakulaumiwa ni VATICAN na utawala wao ,karibu Kwa maswali
 
Ujerumani itakuwa taifa kubwa zaidi, number 1. Mlima ambao Marekani ipo kileleni una utelezi sana, ni suala la muda tu ataporomoka. Pamoja na sababu ulioitaja, kikubwa kitakachoiangusha USA ni vita yake na RUSSIA hivi karibuni.
Asomaye na afahamu

Sent from my STK-L21 using JamiiForums mobile app
Mwamba uko sahihi hii vita inapunguza ushawishi wa marekani kama Taifa kiongozi
 
Uchumba na nguvu za kimataifa havina uhusiano na utakatifu wa taifa husika kwasasa.
Kama ni hivyo Afrika tungekuwa tunagawa misaada ulaya kwasasa
 
Back
Top Bottom