Kuanzia leo natangaza rasmi Kuwachukia na Kuwalaani Wanasiasa Wote wa Upinzani nchini kwa sababu zangu zifuatazo

Kuanzia leo natangaza rasmi Kuwachukia na Kuwalaani Wanasiasa Wote wa Upinzani nchini kwa sababu zangu zifuatazo

1. Ni Majuha

2. Ni Wanafiki

3. Ni Waongo

4. Ni Waoga

5. Ni Wapenda Maslahi Binafsi

6. Wana Uwendawazimu wasioujua

7. Hawajiamini na ni Wachuuza Watu

Kuanzia leo naiombea CCM kwa Mwenyezi Mungu iendelee Kutawala nchini Tanzania mpaka pake Dunia itakapobadilika na nawaombeni Laana mbaya Wapinzani wote Tanzania.

Yaani Wewe Umeteswa, Umehangaishwa, Umesingiziwa, Umetishwa, Umefilisiwa na Umechafuliwa vya kutosha halafu unatoka Matesoni hata Kwako hujaenda haraka haraka unaenda Kujipendekeza kwa Waliokuchafua na Kukuumiza huku kila mara ukiongea kwa Kukunja mikono yako Kiuwoga na Ukitukenelia tu mimeno na kuahidi Ushirikiano.

Kuna Mtu nilimheshimu ila Kanikera!!!!
Well said, sikuona mantiki ya Mbowe kwenda kwa mama! Angeenda kwake akatulie, mama ndo apambane kuonana nae! Bila hvyo wallah CCM itaongoza siku zote za maisha hapa duniani...ha ha haaaa...Ila siasa maniner sana
 
Atakuwa kaambiwa nenda kajionyeshe mbele za camera kwa lazima la sivyo .....

Hakuna opposition bali nj
1. Ni Majuha

2. Ni Wanafiki

3. Ni Waongo

4. Ni Waoga

5. Ni Wapenda Maslahi Binafsi

6. Wana Uwendawazimu wasioujua

7. Hawajiamini na ni Wachuuza Watu

Kuanzia leo naiombea CCM kwa Mwenyezi Mungu iendelee Kutawala nchini Tanzania mpaka pake Dunia itakapobadilika na nawaombeni Laana mbaya Wapinzani wote Tanzania.

Yaani Wewe Umeteswa, Umehangaishwa, Umesingiziwa, Umetishwa, Umefilisiwa na Umechafuliwa vya kutosha halafu unatoka Matesoni hata Kwako hujaenda haraka haraka unaenda Kujipendekeza kwa Waliokuchafua na Kukuumiza huku kila mara ukiongea kwa Kukunja mikono yako Kiuwoga na Ukitukenelia tu mimeno na kuahidi Ushirikiano.

Kuna Mtu nilimheshimu ila Kanikera!!!!
Yaani Serikali imetumia gharama kubwa ya TOZO zetu kumkamata Mbowe na wenzie, kumdhalilisha, mwisho wa siku anaachiwa kifara hivyo. Kwa nini asingekataa kuachiwa huru ili tujua hatima ya hiyo kesi kama Wafuasi wa Mfalme Zumaridi waliogoma kupewa dhamana? Ki ukweli tulio wengi tumesononeka sana, tulitaka ijulikane mbivu ni ipi na mbichi ni ipi. Utawala wa kisheria sasa Tanzania haupo na uhuru wa Mahakama haupo tena bali ni DPP na aliyemteua ndo wenye mamlaka yote ya kufanya watakavyo.
 
Wewe hujui chochote kuhusu siasa, acha chuki zako binafsi! After all huyo aliyekimbia kumwangukia ikulu ndo " kam-release"!
Wewe unajua ni kwa kiasi gani shughuli za Mbowe zili- stuck kwa yeye kuwa ndani?!
Nyie mediocres mlitaka kutumia ajenda ya Mbowe kuwa ndani kama hoja ya kumtengenezea Rais Samia chuki kwa Wananchi! Tafuteni ajenda au hoja nyingine!
Wewe jikite kutumia taaluma yako ya Habari kupata ugali wako basi!
Anayemtengenezea Samia chuki ni nani? Kwani aliyemkamata si ni huyo huyo Samia na akathibitisha BBC kwamba Mbowe ni Gaidi alikimbilia Kenya na Magaidi wenzie walishakamatwa na kufungwa jela au unataka kujitoa akili?
 
1. Ni Majuha

2. Ni Wanafiki

3. Ni Waongo

4. Ni Waoga

5. Ni Wapenda Maslahi Binafsi

6. Wana Uwendawazimu wasioujua

7. Hawajiamini na ni Wachuuza Watu

Kuanzia leo naiombea CCM kwa Mwenyezi Mungu iendelee Kutawala nchini Tanzania mpaka pake Dunia itakapobadilika na nawaombeni Laana mbaya Wapinzani wote Tanzania.

Yaani Wewe Umeteswa, Umehangaishwa, Umesingiziwa, Umetishwa, Umefilisiwa na Umechafuliwa vya kutosha halafu unatoka Matesoni hata Kwako hujaenda haraka haraka unaenda Kujipendekeza kwa Waliokuchafua na Kukuumiza huku kila mara ukiongea kwa Kukunja mikono yako Kiuwoga na Ukitukenelia tu mimeno na kuahidi Ushirikiano.

Kuna Mtu nilimheshimu ila Kanikera!!!!
Gents join the chain, hayo mengine ni kwania ya ujenzi wa umoja wa kitaifa, pamoja na maslahi ya chama kinacholengwa na viongozi wake, katika wakati kama huu hata kama ni sehemu ya watesi utajivuka ngozi ya wateswa ili mradi mipango ya kukiangamiza chama lengwa yatimie🏃‍♂️.
 
Njaa ni mbaya sana usipokuwa makini unauza hata utu wako, siasa afrika kila mtu na anapigania tumbo lake.
Ndio maana kila kukicha na kauli mbiu za ajabu ajabu tu.
 
hahahahah....na posho za wale Covid 19 kama kawaida zinaingia kwenye account ya chama wanabunya....waambie walete statement...
 
1. Ni Majuha

2. Ni Wanafiki

3. Ni Waongo

4. Ni Waoga

5. Ni Wapenda Maslahi Binafsi

6. Wana Uwendawazimu wasioujua

7. Hawajiamini na ni Wachuuza Watu

Kuanzia leo naiombea CCM kwa Mwenyezi Mungu iendelee Kutawala nchini Tanzania mpaka pake Dunia itakapobadilika na nawaombeni Laana mbaya Wapinzani wote Tanzania.

Yaani Wewe Umeteswa, Umehangaishwa, Umesingiziwa, Umetishwa, Umefilisiwa na Umechafuliwa vya kutosha halafu unatoka Matesoni hata Kwako hujaenda haraka haraka unaenda Kujipendekeza kwa Waliokuchafua na Kukuumiza huku kila mara ukiongea kwa Kukunja mikono yako Kiuwoga na Ukitukenelia tu mimeno na kuahidi Ushirikiano.

Kuna Mtu nilimheshimu ila Kanikera!!!!
huna jipya wewe
 
1. Ni Majuha

2. Ni Wanafiki

3. Ni Waongo

4. Ni Waoga

5. Ni Wapenda Maslahi Binafsi

6. Wana Uwendawazimu wasioujua

7. Hawajiamini na ni Wachuuza Watu
Mtazamo wangu nashauri usuke chama kipya from scratch
 
Tumpe muda.
Uenda akaendeleza mapambano ya kudai katiba mpya na tume huru.
Ila ni ngumu.maana ukitaka kumuudhi Samia na ccm yake dai hivyo vitu
 
1. Ni Majuha

2. Ni Wanafiki

3. Ni Waongo

4. Ni Waoga

5. Ni Wapenda Maslahi Binafsi

6. Wana Uwendawazimu wasioujua

7. Hawajiamini na ni Wachuuza Watu

Kuanzia leo naiombea CCM kwa Mwenyezi Mungu iendelee Kutawala nchini Tanzania mpaka pake Dunia itakapobadilika na nawaombeni Laana mbaya Wapinzani wote Tanzania.

Yaani Wewe Umeteswa, Umehangaishwa, Umesingiziwa, Umetishwa, Umefilisiwa na Umechafuliwa vya kutosha halafu unatoka Matesoni hata Kwako hujaenda haraka haraka unaenda Kujipendekeza kwa Waliokuchafua na Kukuumiza huku kila mara ukiongea kwa Kukunja mikono yako Kiuwoga na Ukitukenelia tu mimeno na kuahidi Ushirikiano.

Kuna Mtu nilimheshimu ila Kanikera!!!!
ongea vyoote lakini ukweli mchungu ni kwamba, wapinzani ni wachumia tumbo, wana familia na wakiona mwanya wa kupiga pesa wanao uwezo hata wa kuwasaliti wafuasi waliopigwa virungu kwa ajili yao. tunawaambia chadema hili kila siku lakini huwa hamuambiliki. akili zenu zipo mfukoni mwao, ila wenzenu wanapiga pesa balaa kwa migongo yenu, ninyi mnapigwa virungu na njaa.
 
Mbowe hana uwezo wa kujipeleka Ikulu kwani aliombwa na Rais kama alivyosema ili kubadilisha mawazo lakini kikubwa ni kuziondoa tofauti ktk jamii yakuwa Rais yuko pamoja na Mbowe.
Kwani sijauona ubaya wa Mbowe au Rais kwa kukutana tukumbuke Mbowe aliomba mangumzo na Magufuli siku ya Uhuru ila haikuwezekana akaja tena kuomba mazungumzo na Mama Samia lakini hakupewa nafasi.
Na jana baada ya kutoka gerezani alialikwa na akapewa muda kuongea na alichoongea tulimsikia kwa hiyo tuishi kwa kuyaweka sawa yale ambayo hayako sawa.
Mbowe sio mtu kwanza chadema kushikiliwa gerezani mfano Lwakatare yaani wako wengi ndo maana tunasikia DPP akizifuta baadhi ya kesi.
Ndugu uanaccm unizui kuwaonea huruma waliokutana na haya madhila.
Mbowe na Chadema mmeonyesha ukomavu wa hali ya juu sana.
Hongereni sana
 
1. Ni Majuha

2. Ni Wanafiki

3. Ni Waongo

4. Ni Waoga

5. Ni Wapenda Maslahi Binafsi

6. Wana Uwendawazimu wasioujua

7. Hawajiamini na ni Wachuuza Watu

Kuanzia leo naiombea CCM kwa Mwenyezi Mungu iendelee Kutawala nchini Tanzania mpaka pake Dunia itakapobadilika na nawaombeni Laana mbaya Wapinzani wote Tanzania.

Yaani Wewe Umeteswa, Umehangaishwa, Umesingiziwa, Umetishwa, Umefilisiwa na Umechafuliwa vya kutosha halafu unatoka Matesoni hata Kwako hujaenda haraka haraka unaenda Kujipendekeza kwa Waliokuchafua na Kukuumiza huku kila mara ukiongea kwa Kukunja mikono yako Kiuwoga na Ukitukenelia tu mimeno na kuahidi Ushirikiano.

Kuna Mtu nilimheshimu ila Kanikera!!!!
Juu ya mstari mimi nilitaka kuanzisha thread lakini hii ya kwako inatosha, Chadema kila siku wanajifanya tofauti sana na ccm leo kila kitu kinadhihiri juu ya uhusiano wao na ccm, Lissu kakutana na mama belgium leo mbowe aingia ikulu ata kwake hajafika kuwaona watoto ni wazi kuna mission siione tofauti yao na kina Halima Mdee, Poor chadema
 
1. Ni Majuha

2. Ni Wanafiki

3. Ni Waongo

4. Ni Waoga

5. Ni Wapenda Maslahi Binafsi

6. Wana Uwendawazimu wasioujua

7. Hawajiamini na ni Wachuuza Watu

Kuanzia leo naiombea CCM kwa Mwenyezi Mungu iendelee Kutawala nchini Tanzania mpaka pake Dunia itakapobadilika na nawaombeni Laana mbaya Wapinzani wote Tanzania.

Yaani Wewe Umeteswa, Umehangaishwa, Umesingiziwa, Umetishwa, Umefilisiwa na Umechafuliwa vya kutosha halafu unatoka Matesoni hata Kwako hujaenda haraka haraka unaenda Kujipendekeza kwa Waliokuchafua na Kukuumiza huku kila mara ukiongea kwa Kukunja mikono yako Kiuwoga na Ukitukenelia tu mimeno na kuahidi Ushirikiano.

Kuna Mtu nilimheshimu ila Kanikera!!!!
Mbona ume-panic @Gemt
1. Ni Majuha

2. Ni Wanafiki

3. Ni Waongo

4. Ni Waoga

5. Ni Wapenda Maslahi Binafsi

6. Wana Uwendawazimu wasioujua

7. Hawajiamini na ni Wachuuza Watu

Kuanzia leo naiombea CCM kwa Mwenyezi Mungu iendelee Kutawala nchini Tanzania mpaka pake Dunia itakapobadilika na nawaombeni Laana mbaya Wapinzani wote Tanzania.

Yaani Wewe Umeteswa, Umehangaishwa, Umesingiziwa, Umetishwa, Umefilisiwa na Umechafuliwa vya kutosha halafu unatoka Matesoni hata Kwako hujaenda haraka haraka unaenda Kujipendekeza kwa Waliokuchafua na Kukuumiza huku kila mara ukiongea kwa Kukunja mikono yako Kiuwoga na Ukitukenelia tu mimeno na kuahidi Ushirikiano.

Kuna Mtu nilimheshimu ila Kanikera!!!!

Kanywe dawa ya kuondoa maumivu ya kuachiwa kwa Mbowe, kwa mashitaka yenu ya michongo😆
 
View attachment 2139500Mbowe kaahidi kufanya kazi na serikali na kaahidi kushirikiana nayo, Sasa ni rasmi Chadema atatoa ushirikiano kutekeleza ilani ya CCM, na upinzani umejifuta, labda umebaki upinzani kutoka ACT wazalendo
Chama cha Zitto toka lini kikawa wapinzani? Hicho chama ni ccm mtoto!!
 
1. Ni Majuha

2. Ni Wanafiki

3. Ni Waongo

4. Ni Waoga

5. Ni Wapenda Maslahi Binafsi

6. Wana Uwendawazimu wasioujua

7. Hawajiamini na ni Wachuuza Watu

Kuanzia leo naiombea CCM kwa Mwenyezi Mungu iendelee Kutawala nchini Tanzania mpaka pake Dunia itakapobadilika na nawaombeni Laana mbaya Wapinzani wote Tanzania.

Yaani Wewe Umeteswa, Umehangaishwa, Umesingiziwa, Umetishwa, Umefilisiwa na Umechafuliwa vya kutosha halafu unatoka Matesoni hata Kwako hujaenda haraka haraka unaenda Kujipendekeza kwa Waliokuchafua na Kukuumiza huku kila mara ukiongea kwa Kukunja mikono yako Kiuwoga na Ukitukenelia tu mimeno na kuahidi Ushirikiano.

Kuna Mtu nilimheshimu ila Kanikera!!!!
ukimwamini mwanasiasa ujue unakaribia kufa
 
Well said, sikuona mantiki ya Mbowe kwenda kwa mama! Angeenda kwake akatulie, mama ndo apambane kuonana nae! Bila hvyo wallah CCM itaongoza siku zote za maisha hapa duniani...ha ha haaaa...Ila siasa maniner sana
Wewe ndiye Mungu??

Utasemaje kuwa CCM itaongoza siku zote??

Kama hao CCM Wana "ubavu" waweke uwanja sawa wa kufanya siasa, wakianza na suala nyeti la kuwa na Katiba mpya ya nchi
 
1. Ni Majuha

2. Ni Wanafiki

3. Ni Waongo

4. Ni Waoga

5. Ni Wapenda Maslahi Binafsi

6. Wana Uwendawazimu wasioujua

7. Hawajiamini na ni Wachuuza Watu

Kuanzia leo naiombea CCM kwa Mwenyezi Mungu iendelee Kutawala nchini Tanzania mpaka pake Dunia itakapobadilika na nawaombeni Laana mbaya Wapinzani wote Tanzania.

Yaani Wewe Umeteswa, Umehangaishwa, Umesingiziwa, Umetishwa, Umefilisiwa na Umechafuliwa vya kutosha halafu unatoka Matesoni hata Kwako hujaenda haraka haraka unaenda Kujipendekeza kwa Waliokuchafua na Kukuumiza huku kila mara ukiongea kwa Kukunja mikono yako Kiuwoga na Ukitukenelia tu mimeno na kuahidi Ushirikiano.

Kuna Mtu nilimheshimu ila Kanikera!!!!
Hakuna yeyote anaeweza kujipeleka Ikulu,na pia ujasiri wa kukataa kuonana na Rais wa nchi ni ujuha zaidi.Mbowe ametoka,yuko huru lakini hilo halikuwa jambo la kufumba na kufumbua macho.Lazima ukumbuke kuwa majadiliano nyuma ya kamera yalikuwa mengi na yalihusisha wengi.
 
Wewe ndiye Mungu??

Utasemaje kuwa CCM itaongoza siku zote??

Kama hao CCM Wana "ubavu" waweke uwanja sawa wa kufanya siasa, wakianza na suala nyeti la kuwa na Katiba mpya ya nchi
moja ya ubunifu wa kutawala milele ni kuwabana wapinzani hakuna katiba mpya wala tume mpya mtaendelea kuwa wapinzani milele
 
Back
Top Bottom