Kuanzia leo natangaza rasmi Kuwachukia na Kuwalaani Wanasiasa Wote wa Upinzani nchini kwa sababu zangu zifuatazo

Kuanzia leo natangaza rasmi Kuwachukia na Kuwalaani Wanasiasa Wote wa Upinzani nchini kwa sababu zangu zifuatazo

1. Ni Majuha

2. Ni Wanafiki

3. Ni Waongo

4. Ni Waoga

5. Ni Wapenda Maslahi Binafsi

6. Wana Uwendawazimu wasioujua

7. Hawajiamini na ni Wachuuza Watu

Kuanzia leo naiombea CCM kwa Mwenyezi Mungu iendelee Kutawala nchini Tanzania mpaka pake Dunia itakapobadilika na nawaombeni Laana mbaya Wapinzani wote Tanzania.

Yaani Wewe Umeteswa, Umehangaishwa, Umesingiziwa, Umetishwa, Umefilisiwa na Umechafuliwa vya kutosha halafu unatoka Matesoni hata Kwako hujaenda haraka haraka unaenda Kujipendekeza kwa Waliokuchafua na Kukuumiza huku kila mara ukiongea kwa Kukunja mikono yako Kiuwoga na Ukitukenelia tu mimeno na kuahidi Ushirikiano.

Kuna Mtu nilimheshimu ila Kanikera!!!!
Wewe uliyeandika Uzi huu do haufai alichokifanya mbowe ndivyo hata maandiko yanavyotutaka kuwa ndugu yako akikukosea wewe ndiye unatakiwa kwenda kumuomba msamaha bila kujali kakukosea kiasi gani. Kwa mantiki hiyo Mbowe ametimiza maandiko ambayo wewe unaona ni kinyume chake. Chuki zako haziondoi upendo wa Mungu hapa.
 
1. Ni Majuha

2. Ni Wanafiki

3. Ni Waongo

4. Ni Waoga

5. Ni Wapenda Maslahi Binafsi

6. Wana Uwendawazimu wasioujua

7. Hawajiamini na ni Wachuuza Watu

Kuanzia leo naiombea CCM kwa Mwenyezi Mungu iendelee Kutawala nchini Tanzania mpaka pake Dunia itakapobadilika na nawaombeni Laana mbaya Wapinzani wote Tanzania.

Yaani Wewe Umeteswa, Umehangaishwa, Umesingiziwa, Umetishwa, Umefilisiwa na Umechafuliwa vya kutosha halafu unatoka Matesoni hata Kwako hujaenda haraka haraka unaenda Kujipendekeza kwa Waliokuchafua na Kukuumiza huku kila mara ukiongea kwa Kukunja mikono yako Kiuwoga na Ukitukenelia tu mimeno na kuahidi Ushirikiano.

Kuna Mtu nilimheshimu ila Kanikera!!!!
We dogo una akili kama za wavaa suruali njiwa, wazee wa jino kwa jino, maisha hayaendi hivyo.
 
Wewe hukuona bali wenye ufahamu mzuri wameona ni jambo jema. You retreat in order to advance
Hakuna kitu km hiyo. Enewei ni aibu kwa taasisi ya Rais kutaka kuonesha umma wa watanzania kuwa kila kitu Kiko sawa! Siyo kweli na tusitake kuaminishwa kuwa Sasa mambo yatakuwa sawa!

Rais inabidi ajitafakari sana kwa kila jambo analotaka kulisema na kulifanya, atumie vyema uwezo wake wa kufikiri na kuamini anaweza.

Upinzani wamefungwa mikono kwasababu ya unafiki wao, na tunaimani/ Nina Imani kubwa ccm itaendelea kuongoza mpaka siku ipate viongozi wenye akili watakaoona Serikali ya CCM imechuja inahitaji kupisha ili wengine nao waitendeee haki nchi yao
 
Wakriso tumefundiswha akupigaye shavu la julia mpe na kushoto,

We Dogo una Tabia za kihayawani
Kusamehe ni ibaada takatifu
Sasahivi mbowe atakuwa anapewa memo na Samia ili azungumze ambayo Samia anapenda kusikia 🤣🤣🤣 maana mbowe amesema wataanza kufanya siasa za usitarabu ili Mama yenu atawale vizuri 🤣hivi Mandela angelinyenyekea makaburu hivi angerikaa ikuru kweli?Chadema ikuru mtaisikia redioni,bora zitto wamekomaa mpaka wamo ikuru ya zamzibar, Chadema wamepigwa mkwara kidogo wamekuwa kama uji wa muhogo.
 
Nenda kawaalike na ndugu zako wote muhame na ukoo wako wote muhame alafu uwone kama chadema itatetereka

Ikiwa hata yule mzee wa kikongo yalimshinda akaamua kurudi kwao na msafara wake, lakini bado chadema ikabaki kuwa imara sembuse wewe!!!

Chadema ni imani ya watu. Nitumaini la wa Tanzania wanao amini katka siasa shindani na fikira mbadara
 
1. Ni Majuha

2. Ni Wanafiki

3. Ni Waongo

4. Ni Waoga

5. Ni Wapenda Maslahi Binafsi

6. Wana Uwendawazimu wasioujua

7. Hawajiamini na ni Wachuuza Watu

Kuanzia leo naiombea CCM kwa Mwenyezi Mungu iendelee Kutawala nchini Tanzania mpaka pake Dunia itakapobadilika na nawaombeni Laana mbaya Wapinzani wote Tanzania.

Yaani Wewe Umeteswa, Umehangaishwa, Umesingiziwa, Umetishwa, Umefilisiwa na Umechafuliwa vya kutosha halafu unatoka Matesoni hata Kwako hujaenda haraka haraka unaenda Kujipendekeza kwa Waliokuchafua na Kukuumiza huku kila mara ukiongea kwa Kukunja mikono yako Kiuwoga na Ukitukenelia tu mimeno na kuahidi Ushirikiano.

Kuna Mtu nilimheshimu ila Kanikera!!!!
Pole sana
 
Sijui kwa nini CCM wanatamani sana vurugu?yaani yakitokea mapatano/maelewano wanachukia sana, na kuanza kutukana hovyo,
Sasa hapo kosa liko wapi? mnahubiri amani midomoni lakini mioyoni mnatamani damu za watu
 
1. Ni Majuha

2. Ni Wanafiki

3. Ni Waongo

4. Ni Waoga

5. Ni Wapenda Maslahi Binafsi

6. Wana Uwendawazimu wasioujua

7. Hawajiamini na ni Wachuuza Watu

Kuanzia leo naiombea CCM kwa Mwenyezi Mungu iendelee Kutawala nchini Tanzania mpaka pake Dunia itakapobadilika na nawaombeni Laana mbaya Wapinzani wote Tanzania.

Yaani Wewe Umeteswa, Umehangaishwa, Umesingiziwa, Umetishwa, Umefilisiwa na Umechafuliwa vya kutosha halafu unatoka Matesoni hata Kwako hujaenda haraka haraka unaenda Kujipendekeza kwa Waliokuchafua na Kukuumiza huku kila mara ukiongea kwa Kukunja mikono yako Kiuwoga na Ukitukenelia tu mimeno na kuahidi Ushirikiano.

Kuna Mtu nilimheshimu ila Kanikera!!!!


Kila siku nasemaga Tanzania hamna upinzani, chama pinzani wala wapinzani

CCM iko imara jana, leo na kesho

Mi5 tena kwa Rais Samia Suluhu Hassan
 
1. Ni Majuha

2. Ni Wanafiki

3. Ni Waongo

4. Ni Waoga

5. Ni Wapenda Maslahi Binafsi

6. Wana Uwendawazimu wasioujua

7. Hawajiamini na ni Wachuuza Watu

Kuanzia leo naiombea CCM kwa Mwenyezi Mungu iendelee Kutawala nchini Tanzania mpaka pake Dunia itakapobadilika na nawaombeni Laana mbaya Wapinzani wote Tanzania.

Yaani Wewe Umeteswa, Umehangaishwa, Umesingiziwa, Umetishwa, Umefilisiwa na Umechafuliwa vya kutosha halafu unatoka Matesoni hata Kwako hujaenda haraka haraka unaenda Kujipendekeza kwa Waliokuchafua na Kukuumiza huku kila mara ukiongea kwa Kukunja mikono yako Kiuwoga na Ukitukenelia tu mimeno na kuahidi Ushirikiano.

Kuna Mtu nilimheshimu ila Kanikera!!!!

Wewe Ni POYOYO
Kushindana na dola kunamsaidia nini Mbowe na upinzani kwa ujumla! Kupambana na mwenye nguvu ya kimamlaka kama Mh. Rais panalisaidia nini Taifa. Wewe Ni POYOYO at your best level
 
Akili kisoda hizi. Mandela aliteswa miaka zaidi ya 40 alipotoka aliungana na watesi kuijenga SA
Nyerere na karume walilipa visasi na kupora mali za weupe ila Kenyata Alisamehe linganisha je ni yupi yupo Hai leo? Je ni yupi nchi yake ipo mbele kiuchumi? Jibu MUNGU NDYE MLIPAJI
 
P
Anayemtengenezea Samia chuki ni nani? Kwani aliyemkamata si ni huyo huyo Samia na akathibitisha BBC kwamba Mbowe ni Gaidi alikimbilia Kenya na Magaidi wenzie walishakamatwa na kufungwa jela au unataka kujitoa akili?
Sawa, pamoja na hayo yote uliyokaririshwa na wajinga wenzio ulitaka Mbowe afanye nini?
Akili yako hiyo ya matope ndio maana uko hapo ulipo.
Maisha yanaendelea kama ulidhani labda ni jambo kuuuuuubwaaaa! imetoka hiyo!
 
1. Ni Majuha

2. Ni Wanafiki

3. Ni Waongo

4. Ni Waoga

5. Ni Wapenda Maslahi Binafsi

6. Wana Uwendawazimu wasioujua

7. Hawajiamini na ni Wachuuza Watu

Kuanzia leo naiombea CCM kwa Mwenyezi Mungu iendelee Kutawala nchini Tanzania mpaka pake Dunia itakapobadilika na nawaombeni Laana mbaya Wapinzani wote Tanzania.

Yaani Wewe Umeteswa, Umehangaishwa, Umesingiziwa, Umetishwa, Umefilisiwa na Umechafuliwa vya kutosha halafu unatoka Matesoni hata Kwako hujaenda haraka haraka unaenda Kujipendekeza kwa Waliokuchafua na Kukuumiza huku kila mara ukiongea kwa Kukunja mikono yako Kiuwoga na Ukitukenelia tu mimeno na kuahidi Ushirikiano.

Kuna Mtu nilimheshimu ila Kanikera!!!!
Huna akili
 
1. Ni Majuha

2. Ni Wanafiki

3. Ni Waongo

4. Ni Waoga

5. Ni Wapenda Maslahi Binafsi

6. Wana Uwendawazimu wasioujua

7. Hawajiamini na ni Wachuuza Watu

Kuanzia leo naiombea CCM kwa Mwenyezi Mungu iendelee Kutawala nchini Tanzania mpaka pake Dunia itakapobadilika na nawaombeni Laana mbaya Wapinzani wote Tanzania.

Yaani Wewe Umeteswa, Umehangaishwa, Umesingiziwa, Umetishwa, Umefilisiwa na Umechafuliwa vya kutosha halafu unatoka Matesoni hata Kwako hujaenda haraka haraka unaenda Kujipendekeza kwa Waliokuchafua na Kukuumiza huku kila mara ukiongea kwa Kukunja mikono yako Kiuwoga na Ukitukenelia tu mimeno na kuahidi Ushirikiano.

Kuna Mtu nilimheshimu ila Kanikera!!!!
Take it easy bro..
In politics there are no permanent enemies, and no permanent friends, only permanent interests😊
 
hawa jamaa nilishawakataa tangu walivyomchukua lowasa na kusema sio fisadi. huwezi kusikia tena madai ya katiba mpya, ndio imeisha hiyo. huenda pia atapewa mzigo alafu akae kimya watu watawale vzr.
 
1. Ni Majuha

2. Ni Wanafiki

3. Ni Waongo

4. Ni Waoga

5. Ni Wapenda Maslahi Binafsi

6. Wana Uwendawazimu wasioujua

7. Hawajiamini na ni Wachuuza Watu

Kuanzia leo naiombea CCM kwa Mwenyezi Mungu iendelee Kutawala nchini Tanzania mpaka pake Dunia itakapobadilika na nawaombeni Laana mbaya Wapinzani wote Tanzania.

Yaani Wewe Umeteswa, Umehangaishwa, Umesingiziwa, Umetishwa, Umefilisiwa na Umechafuliwa vya kutosha halafu unatoka Matesoni hata Kwako hujaenda haraka haraka unaenda Kujipendekeza kwa Waliokuchafua na Kukuumiza huku kila mara ukiongea kwa Kukunja mikono yako Kiuwoga na Ukitukenelia tu mimeno na kuahidi Ushirikiano.

Kuna Mtu nilimheshimu ila Kanikera!!!!
Pimbi we , ulitaka afanyeje?
 
1. Ni Majuha

2. Ni Wanafiki

3. Ni Waongo

4. Ni Waoga

5. Ni Wapenda Maslahi Binafsi

6. Wana Uwendawazimu wasioujua

7. Hawajiamini na ni Wachuuza Watu

Kuanzia leo naiombea CCM kwa Mwenyezi Mungu iendelee Kutawala nchini Tanzania mpaka pake Dunia itakapobadilika na nawaombeni Laana mbaya Wapinzani wote Tanzania.

Yaani Wewe Umeteswa, Umehangaishwa, Umesingiziwa, Umetishwa, Umefilisiwa na Umechafuliwa vya kutosha halafu unatoka Matesoni hata Kwako hujaenda haraka haraka unaenda Kujipendekeza kwa Waliokuchafua na Kukuumiza huku kila mara ukiongea kwa Kukunja mikono yako Kiuwoga na Ukitukenelia tu mimeno na kuahidi Ushirikiano.

Kuna Mtu nilimheshimu ila Kanikera!!!!
Mkuu usilalamike kabisa yaani wewe sip cappuccino usome na gazeti. Hiyo ndiyo siasa tunayoitaka sisi wana CCM. Ila akijichanganya tu tena lazima aliwe kichwa. Mbowe alikuwa gaidi kweli na mara nyingi aliratibu mauaji ya viongozi waandamizi wa serikali na serikali ilikuwa inajua na mpaka sasa huo ukweli utabaki na yeye Mbowe anajua kabisa ni gaidi. Na utamuona kabisa sasa atakuwa siyo yule Mbowe mnayemdhania maana amejua sasa huwezi chukua nchi kwa kuendeshwa na wazungu. Na Lisu naye keshajua kabisa wazungu wabaya sana maana hakuna mzungu angeomba Mbowe aachiwe ikawa hivyo. Na ndiyo maana Lisu aliposhindwa uchaguzi alikimbilia ubalozi akijua watamuokoa
 
Back
Top Bottom