Kuanzia leo natangaza rasmi Kuwachukia na Kuwalaani Wanasiasa Wote wa Upinzani nchini kwa sababu zangu zifuatazo

Kuanzia leo natangaza rasmi Kuwachukia na Kuwalaani Wanasiasa Wote wa Upinzani nchini kwa sababu zangu zifuatazo

Visasi vitalisaidia nini taifa? Au wapinzani watafaidika na nini kwa visasa kama sio kuendelea kuumia?

Ni heri ujifanye mjinga lakini una malengo na mipango. Mda mwingine inabidi ujipime unaepambana nae anauwezo gani unaokuzidi.

Nelson Mandela alifungwa jela miaka 27 na hata baada ya kuachiwa na kuwa rais pale RSA hakuwahi kulipiza kisasi hata siku moja wakati uwezo alikuwa nao.

Wewe jamaa siku zote nilikuonaga ni mtu mwenye akili na niliwashangaa waliokuita POPOMA lakini na mimi leo nime confirm kuwa sio POPOMA tu bali pia ni POYOYO.
Ikulu aihami.
Angeenda kuona familia.
Akaenda kwenye ibada kumshukuru muumba wake kwa kumpa uvumilivu, ujasiri afya njema.
Pia kwa kuwapa hekima viongozi wa dini na hawa wa serikali kuliona jambo hili.
Halafu Jumatatu hata Jumanne angeenda Ikulu akiwa na viongozi wa dini waliojitahidi kumuombea kwa mkuu wa nchi na hatimaye,Mahakama kupitia DPP akaandika Nole Prosequi.
 
Juha ni yule asiyejua kusamehe na mtu mwenye visasi, Juha ni yule asiyejua kwamba kukaa mezani ndiyo njia pekee ya kutatua matatizo kati ya pande mbili zinazosigana hasa haya ya kisiasa.
Kumbuka kuna maelfu wafuasi wa CDM wanasota magelezani kwa mambo haya ya ki siasa, hao nao je bila maridhiano hujui kwamba wataendelea kusota?

Wewe ulitaka Mbowe ama Lissu akatae wito wa IKULU? Afu kitokee kipi?

Kumbe huna maana kiasi hiki ndugu.
Safiii kiongozi.Mwambie Huyo Pusi
 
Visasi vitalisaidia nini taifa? Au wapinzani watafaidika na nini kwa visasa kama sio kuendelea kuumia?

Ni heri ujifanye mjinga lakini una malengo na mipango. Mda mwingine inabidi ujipime unaepambana nae anauwezo gani unaokuzidi.

Nelson Mandela alifungwa jela miaka 27 na hata baada ya kuachiwa na kuwa rais pale RSA hakuwahi kulipiza kisasi hata siku moja wakati uwezo alikuwa nao.

Wewe jamaa siku zote nilikuonaga ni mtu mwenye akili na niliwashangaa waliokuita POPOMA lakini na mimi leo nime confirm kuwa sio POPOMA tu bali pia ni POYOYO.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Siasa sio uadui.watu wachache wasioielewa siasa ndio wanaofikiria siasa ni uadui.Ata hivyo kwa maisha haya ya kibongo lazima tukubali kua rais ni mtu mkubwa.kwahiyo ni sawa mbowe kwenda kuonana na rais kwa ajili yakutoa mawazo yake kwa ajili ya maslahi ya nchi.
 
Juu ya mstari mimi nilitaka kuanzisha thread lakini hii ya kwako inatosha, Chadema kila siku wanajifanya tofauti sana na ccm leo kila kitu kinadhihiri juu ya uhusiano wao na ccm, Lissu kakutana na mama belgium leo mbowe aingia ikulu ata kwake hajafika kuwaona watoto ni wazi kuna mission siione tofauti yao na kina Halima Mdee, Poor chadema
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila hapo Pa kwenda ikulu bila hata kufika kwake, hapajakaa sawa ki itifakhi lol
 
1. Ni Majuha

2. Ni Wanafiki

3. Ni Waongo

4. Ni Waoga

5. Ni Wapenda Maslahi Binafsi

6. Wana Uwendawazimu wasioujua

7. Hawajiamini na ni Wachuuza Watu

Kuanzia leo naiombea CCM kwa Mwenyezi Mungu iendelee Kutawala nchini Tanzania mpaka pake Dunia itakapobadilika na nawaombeni Laana mbaya Wapinzani wote Tanzania.

Yaani Wewe Umeteswa, Umehangaishwa, Umesingiziwa, Umetishwa, Umefilisiwa na Umechafuliwa vya kutosha halafu unatoka Matesoni hata Kwako hujaenda haraka haraka unaenda Kujipendekeza kwa Waliokuchafua na Kukuumiza huku kila mara ukiongea kwa Kukunja mikono yako Kiuwoga na Ukitukenelia tu mimeno na kuahidi Ushirikiano.

Kuna Mtu nilimheshimu ila Kanikera!!!!
Wewe mbona umevimbiwa unafiki na watu hawakufungulii thread?
 
Binafsi sikupenda Mbowe kwenda Ikulu mara baada ya kutoka gerezani. Hata hivyo, hizo sifa zote hata wewe zinakuhusu hasa hiyo ya unafiki.
Mkuu kitendo cha Mbowe kuitika wito wa Mama kwenda Ikulu ni kitendo cha busara kabisa.Binafsi sijaona kumepungua nini,kazi iko pale pale.
 
1. Ni Majuha

2. Ni Wanafiki

3. Ni Waongo

4. Ni Waoga

5. Ni Wapenda Maslahi Binafsi

6. Wana Uwendawazimu wasioujua

7. Hawajiamini na ni Wachuuza Watu

Kuanzia leo naiombea CCM kwa Mwenyezi Mungu iendelee Kutawala nchini Tanzania mpaka pake Dunia itakapobadilika na nawaombeni Laana mbaya Wapinzani wote Tanzania.

Yaani Wewe Umeteswa, Umehangaishwa, Umesingiziwa, Umetishwa, Umefilisiwa na Umechafuliwa vya kutosha halafu unatoka Matesoni hata Kwako hujaenda haraka haraka unaenda Kujipendekeza kwa Waliokuchafua na Kukuumiza huku kila mara ukiongea kwa Kukunja mikono yako Kiuwoga na Ukitukenelia tu mimeno na kuahidi Ushirikiano.

Kuna Mtu nilimheshimu ila Kanikera!!!!
Mkuu usijali Upinzani uko palepale!
 
1. Ni Majuha

2. Ni Wanafiki

3. Ni Waongo

4. Ni Waoga

5. Ni Wapenda Maslahi Binafsi

6. Wana Uwendawazimu wasioujua

7. Hawajiamini na ni Wachuuza Watu

Kuanzia leo naiombea CCM kwa Mwenyezi Mungu iendelee Kutawala nchini Tanzania mpaka pake Dunia itakapobadilika na nawaombeni Laana mbaya Wapinzani wote Tanzania.

Yaani Wewe Umeteswa, Umehangaishwa, Umesingiziwa, Umetishwa, Umefilisiwa na Umechafuliwa vya kutosha halafu unatoka Matesoni hata Kwako hujaenda haraka haraka unaenda Kujipendekeza kwa Waliokuchafua na Kukuumiza huku kila mara ukiongea kwa Kukunja mikono yako Kiuwoga na Ukitukenelia tu mimeno na kuahidi Ushirikiano.

Kuna Mtu nilimheshimu ila Kanikera!!!!
Wewe niliccm tena lililokubuhu!! Nawala hujawahi kuipenda chadema! Nawewe ulikuwa unashabikia mbowe kuwa nigaidi sasa leo umeishiwa hoja unakuja nahuu upuuzi wako!! Ok nawewe kawe mpinzani ili uyafanye hayo unayoyaona wengine wanakosea!! Kimburu
 
1. Ni Majuha

2. Ni Wanafiki

3. Ni Waongo

4. Ni Waoga

5. Ni Wapenda Maslahi Binafsi

6. Wana Uwendawazimu wasioujua

7. Hawajiamini na ni Wachuuza Watu

Kuanzia leo naiombea CCM kwa Mwenyezi Mungu iendelee Kutawala nchini Tanzania mpaka pake Dunia itakapobadilika na nawaombeni Laana mbaya Wapinzani wote Tanzania.

Yaani Wewe Umeteswa, Umehangaishwa, Umesingiziwa, Umetishwa, Umefilisiwa na Umechafuliwa vya kutosha halafu unatoka Matesoni hata Kwako hujaenda haraka haraka unaenda Kujipendekeza kwa Waliokuchafua na Kukuumiza huku kila mara ukiongea kwa Kukunja mikono yako Kiuwoga na Ukitukenelia tu mimeno na kuahidi Ushirikiano.

Kuna Mtu nilimheshimu ila Kanikera!!!!
Hakuna upinzani Tanzania, vyama vyote hivyo vilianzishwa na "system".


Wapinzani wa kweli walishatangulia mbele ya haki, walikuwa Christopher Mtikila na Kighoma Malima.
 
Alipokuwa anavumilia mateso ya jela na kutenganishwa na familia yake.nyie wapinzani mlifanya nini huko nje?sehemu zingine za dunia kiongozi mkuu wa upinzani awekwe ndani kwa mashitaka ya kubambikiwa nchi haikaliki.je hapa mlifanya lipi?kama si unafiki.mlitaka aozee mazabe huku nyie mnainjoi na familia zenu?
Naikubali sana siasa za lisu na mbowe
Angekuwa dk slaa damu ingekuwa ishamwagika zamani sana
Wanafiki ni Zito.lipumba.mrema.cheyo. na wengine ambao hawana hata umuhimu nisije wapa kiki za bule kwa unafiki wao
 
1. Ni Majuha

2. Ni Wanafiki

3. Ni Waongo

4. Ni Waoga

5. Ni Wapenda Maslahi Binafsi

6. Wana Uwendawazimu wasioujua

7. Hawajiamini na ni Wachuuza Watu

Kuanzia leo naiombea CCM kwa Mwenyezi Mungu iendelee Kutawala nchini Tanzania mpaka pake Dunia itakapobadilika na nawaombeni Laana mbaya Wapinzani wote Tanzania.

Yaani Wewe Umeteswa, Umehangaishwa, Umesingiziwa, Umetishwa, Umefilisiwa na Umechafuliwa vya kutosha halafu unatoka Matesoni hata Kwako hujaenda haraka haraka unaenda Kujipendekeza kwa Waliokuchafua na Kukuumiza huku kila mara ukiongea kwa Kukunja mikono yako Kiuwoga na Ukitukenelia tu mimeno na kuahidi Ushirikiano.

Kuna Mtu nilimheshimu ila Kanikera!!!!
Kuna uzi uliandika kuwa Kwa jinsi ushahidi ulivyokuwa unatolewa Mbowe hachomoki sasa amechoka hutaki apatane na watesi wake sisi washabiki wako tushike lipi.Maana chadema wamejaribu kuitisha maandamano hatujitokezi.tufanyeje mkuu
 
1. Ni Majuha

2. Ni Wanafiki

3. Ni Waongo

4. Ni Waoga

5. Ni Wapenda Maslahi Binafsi

6. Wana Uwendawazimu wasioujua

7. Hawajiamini na ni Wachuuza Watu

Kuanzia leo naiombea CCM kwa Mwenyezi Mungu iendelee Kutawala nchini Tanzania mpaka pake Dunia itakapobadilika na nawaombeni Laana mbaya Wapinzani wote Tanzania.

Yaani Wewe Umeteswa, Umehangaishwa, Umesingiziwa, Umetishwa, Umefilisiwa na Umechafuliwa vya kutosha halafu unatoka Matesoni hata Kwako hujaenda haraka haraka unaenda Kujipendekeza kwa Waliokuchafua na Kukuumiza huku kila mara ukiongea kwa Kukunja mikono yako Kiuwoga na Ukitukenelia tu mimeno na kuahidi Ushirikiano.

Kuna Mtu nilimheshimu ila Kanikera!!!!
Na hiyo ndio sifa kubwa inayokutofautisha wewe mwanasiasa mwanaharakati wa mitandaoni na Magwiji wenyewe wa siasa, the front line generals in the thick and thin of political battles! Ref: Long walk to freedom by Nelson Mandela MADIBA na speech ya Bill Clinton akimkaribisha Madiba White House 1998 (You tube). Mwanasiasa aliyeiva anaangalia malengo mapana, na hesabu zake ni za mbali Sana sio pia na mdomo! Magwiji wa Siasa they never SULK, Huwa Hawasusi, kila hatua ni mchakato; ndivyo walivyopatikana kina Madiba, Nkrumah, Mugabe, Kenyatta, Modibo Keita, Lumumba na wengine wengi; they keep their eyes on the trophy! Bila kuchoka, bila kukata tamaa, bila kususa na bila kulalamikia tuu, kwa kuwa it is in them kwamba "When it gets tough, you are near the top" halikadhalila "When the going gets tough, you are near the top". Hard nosed political animals never quit! Best wishes
 
1. Ni Majuha

2. Ni Wanafiki

3. Ni Waongo

4. Ni Waoga

5. Ni Wapenda Maslahi Binafsi

6. Wana Uwendawazimu wasioujua

7. Hawajiamini na ni Wachuuza Watu

Kuanzia leo naiombea CCM kwa Mwenyezi Mungu iendelee Kutawala nchini Tanzania mpaka pake Dunia itakapobadilika na nawaombeni Laana mbaya Wapinzani wote Tanzania.

Yaani Wewe Umeteswa, Umehangaishwa, Umesingiziwa, Umetishwa, Umefilisiwa na Umechafuliwa vya kutosha halafu unatoka Matesoni hata Kwako hujaenda haraka haraka unaenda Kujipendekeza kwa Waliokuchafua na Kukuumiza huku kila mara ukiongea kwa Kukunja mikono yako Kiuwoga na Ukitukenelia tu mimeno na kuahidi Ushirikiano.

Kuna Mtu nilimheshimu ila Kanikera!!!!
Usikeleke Gentamycine rafiki yangu, hata Mandela aliyefungwa kipindi kirefu alifanya haya, huu ndio ukomavu tunaoutaka
 
Warumi 13:1

Kila mtu na aitii mamlaka iliyo kuu; kwa maana hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu; na ile iliyopo umeamriwa na Mungu.
 
Akili kisoda hizi. Mandela aliteswa miaka zaidi ya 40 alipotoka aliungana na watesi kuijenga SA
Nyerere na karume walilipa visasi na kupora mali za weupe ila Kenyata Alisamehe linganisha je ni yupi yupo Hai leo? Je ni yupi nchi yake ipo mbele kiuchumi? Jibu MUNGU NDYE MLIPAJI
Usifananishe Mandela na katuni tulizokuwa nazo
 
Back
Top Bottom