Pumbavu....!!!!!!
Mungu wenu gaidi ,Dj Mbowe amewasaliti kwenda kusujudu ccm
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila hapo Pa kwenda ikulu bila hata kufika kwake, hapajakaa sawa ki itifakhi lol
HAKUNA mtu anayependa ajichimbie kaburi.
Alafu Mimi sipo ccm Wala chadema.
Mimi uwa napenda kuwa "mawazo huru"
Sipendi kushikiwa akili Wala kuwa mnafiki ninachokiamini Mimi ndicho sahihi hata Kama nitapingana na dunia nzima
Mbowe awe na njaa!? Sidhani
Najua wewe ni CCM, ila hapa umeongea ambalo limenigusa Sana, why FAM Kwenda Kutana na huyu mama KWa haraka,shida nini, nitawaelewa chama changu Chadema wakija na maelezo nyoofu,
Binafsi nimepata hasira Sana, nilitegemea KWANZA kabla ya Jambo lolote FAM kuwa nje ya nchi kucheck afya yake, hii nini Sasa lipi chadema mnataka TOKA KWa CCM na Serikali yake , Hawa nikwenda nao mchakamchaka
1. Ni Majuha
2. Ni Wanafiki
3. Ni Waongo
4. Ni Waoga
5. Ni Wapenda Maslahi Binafsi
6. Wana Uwendawazimu wasioujua
7. Hawajiamini na ni Wachuuza Watu
Kuanzia leo naiombea CCM kwa Mwenyezi Mungu iendelee Kutawala nchini Tanzania mpaka pake Dunia itakapobadilika na nawaombeni Laana mbaya Wapinzani wote Tanzania.
Yaani Wewe Umeteswa, Umehangaishwa, Umesingiziwa, Umetishwa, Umefilisiwa na Umechafuliwa vya kutosha halafu unatoka Matesoni hata Kwako hujaenda haraka haraka unaenda Kujipendekeza kwa Waliokuchafua na Kukuumiza huku kila mara ukiongea kwa Kukunja mikono yako Kiuwoga na Ukitukenelia tu mimeno na kuahidi Ushirikiano.
Kuna Mtu nilimheshimu ila Kanikera!!!!
View attachment 2139500Mbowe kaahidi kufanya kazi na serikali na kaahidi kushirikiana nayo, Sasa ni rasmi Chadema atatoa ushirikiano kutekeleza ilani ya CCM, na upinzani umejifuta, labda umebaki upinzani kutoka ACT wazalendo
Kwanini usiichukie ccm kwa tabia zake hizo kutesa, kuhangaisha, kudhalilisha, kutisha, kufilisi, kuchafua na Ubaya wote walio fanya?! Ccm wamefanya mabaya yote, Wewe Una omba waendelee kutawala milele, Mungu hatasikiliza laana na maombi yako! Badala yake hukumu ya ccm kwa maovu yote hayo inakuja.1. Ni Majuha
2. Ni Wanafiki
3. Ni Waongo
4. Ni Waoga
5. Ni Wapenda Maslahi Binafsi
6. Wana Uwendawazimu wasioujua
7. Hawajiamini na ni Wachuuza Watu
Kuanzia leo naiombea CCM kwa Mwenyezi Mungu iendelee Kutawala nchini Tanzania mpaka pake Dunia itakapobadilika na nawaombeni Laana mbaya Wapinzani wote Tanzania.
Yaani Wewe Umeteswa, Umehangaishwa, Umesingiziwa, Umetishwa, Umefilisiwa na Umechafuliwa vya kutosha halafu unatoka Matesoni hata Kwako hujaenda haraka haraka unaenda Kujipendekeza kwa Waliokuchafua na Kukuumiza huku kila mara ukiongea kwa Kukunja mikono yako Kiuwoga na Ukitukenelia tu mimeno na kuahidi Ushirikiano.
Kuna Mtu nilimheshimu ila Kanikera!!!!
Sure mkuu, upo mchezo walitaka MFANYIA Mchungaji Msigwa kipindi kile wamefungwa ambapo Polepole chini ya mwendazake walitaka cheza picha Mchungaji akachomoa,Kimsingi huko Ikulu kaenda kama Mbowe na sio kwa kushauriana na chama chake. Muda aliotoka magereza mpaka muda alioenda ikulu sidhani kama alijadiliana ama kushauriana na uongozi wa chama chake. Mimi binafsi nimekwazika sana Mbowe kwenda ikulu, tena chini ya 24hrs toka atoke jela. Kwakuwa ameshaeenda hatuna jinsi ya kuzuia hilo kwani maji yameshamwagika. Cha muhimu ni kuwa macho na yeye kuanzia sasa, akianza siasa za kujipendekeza tu tunampotezea kama wahuni wengine.
Wewe huwezi kutucrush na hoja nyepesi ,WENDA hujui hata tafsiri ya neno Serikali , kwani kupambana na dola kunaitaji vita misimamo ya msingi inatosha kuinyosha dola, mbona walikuja na mbwembwe kwenye KESI ya FAM na wameufyata,Ukiona alichofanya Mbowe sio sahihi, anzisha chama chako cha upinzani ili uyafanye yale unayoyaona ni sahihi.
Dunia nzima hakuna mtu anaweza kushindana na serikali. Pili mpinzani kuzungumza na serikali sio ajabu na,nifano iko mingi ndani na nje ya nchi mfano Mandela alitolewa gerezani kwa siri akaenda kukutana na De clark. Katika mazungumzo kuna compromise au win win, ni wazi huwezi kupata yote lakini utaambulia kitu.
Binafsi naomba serikali iruhusu wagombea binafsi ngazi ya udiwani na ubunge ili kupanua demokrasia.
NONSENSE!1. Ni Majuha
2. Ni Wanafiki
3. Ni Waongo
4. Ni Waoga
5. Ni Wapenda Maslahi Binafsi
6. Wana Uwendawazimu wasioujua
7. Hawajiamini na ni Wachuuza Watu
Kuanzia leo naiombea CCM kwa Mwenyezi Mungu iendelee Kutawala nchini Tanzania mpaka pake Dunia itakapobadilika na nawaombeni Laana mbaya Wapinzani wote Tanzania.
Yaani Wewe Umeteswa, Umehangaishwa, Umesingiziwa, Umetishwa, Umefilisiwa na Umechafuliwa vya kutosha halafu unatoka Matesoni hata Kwako hujaenda haraka haraka unaenda Kujipendekeza kwa Waliokuchafua na Kukuumiza huku kila mara ukiongea kwa Kukunja mikono lia tu mimeno na kuahidi Ushirikiano.
Kuna Mtu nilimheshimu ila Kanikera!!!!
Unajua mm nachocheka, ni kwamba ye mwenyewe Gentamycin anacheka hii comment inayomuhusu πππBinafsi sikupenda Mbowe kwenda Ikulu mara baada ya kutoka gerezani. Hata hivyo, hizo sifa zote hata wewe zinakuhusu hasa hiyo ya unafiki.
Mlijitokeza wangapi yalipoitishwa maandamano na mange kimambi achilia mbali ukuta. Ni ukatili kupenda kuishi kwa mateso ya wengine.Atakuwa kaambiwa nenda kajionyeshe mbele za camera kwa lazima la sivyo .....
Hakuna opposition bali njaa tu
Nadhani umemaliza kila kitu.1. Ni Majuha
2. Ni Wanafiki
3. Ni Waongo
4. Ni Waoga
5. Ni Wapenda Maslahi Binafsi
6. Wana Uwendawazimu wasioujua
7. Hawajiamini na ni Wachuuza Watu
Kuanzia leo naiombea CCM kwa Mwenyezi Mungu iendelee Kutawala nchini Tanzania mpaka pake Dunia itakapobadilika na nawaombeni Laana mbaya Wapinzani wote Tanzania.
Yaani Wewe Umeteswa, Umehangaishwa, Umesingiziwa, Umetishwa, Umefilisiwa na Umechafuliwa vya kutosha halafu unatoka Matesoni hata Kwako hujaenda haraka haraka unaenda Kujipendekeza kwa Waliokuchafua na Kukuumiza huku kila mara ukiongea kwa Kukunja mikono yako Kiuwoga na Ukitukenelia tu mimeno na kuahidi Ushirikiano.
Kuna Mtu nilimheshimu ila Kanikera!!!!