"Follow the money trail",anayefaidika ni UbberHizi Sheria huwa zinapitishwa na taasisi/vikao gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
"Follow the money trail",anayefaidika ni UbberHizi Sheria huwa zinapitishwa na taasisi/vikao gani?
Kura yangu utapata.Asante mkuu
Penye miti hakuna wajenzi eti
Sijui nigombee [emoji120][emoji848]
Kura yangu utapata.
Campaign manager ukikosa mm nipo najitolea kufa kupona upite.!
Title : Boda Boda na Bajaji Kero nyingine Dar es Salaam.Please nikumbushe
Title : Boda Boda na Bajaji Kero nyingine Dar es Salaam.
kwamba wanaleta kikwapa mjini 😀mkimaliza kwa bajaji na boda boda mtageuka kwetu watembea kwa miguu kuwa tunalichafua jiji inatakiwa yaonekane magari tuu
Huyu aliyekuja kitambo hajui kama na sisi tuliko huku Mbagala kwa nyoka tuko mjini.Nilikuja juzi.