Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Kwahiyo pikipiki ni vyombo vya kisasa visivyochafua Hali ya hewaSio kila wakati kutaka kuonyesha ubabe wa bila kutumia akili
Huwezi kufukuza tu wakati wanajua fika hao wanahitajika sana kwa mishe mishe za haraka
Wapo mpaka wanaobeba parcels au documents za muhimu
Bora kuwa na mpaka wa marufuku kuingia na anaeingia nakazia yaani chombo chochote cha moto kilipe hela kama congestion charge na Camera zifungwe na kurekodi kila anaeingia na analipa kwa muda maalumu
Anakuwa analipia kwa masaa 24 kiasi fulani hapo wengi wataondoka wenyewe au hata watalipia serikali itakusanya fedha za kuendeleza miradi ya jiji
Duniani nchi zilizoendelea wanapambana na uchafuzi wa hewa kwa hiyo wamejiongeza na nyie mjiongeze sio kuwafukuza
Kwa sasa mataifa makubwa wanajuandaa kuyaondoa magari ya mafuta yote na wameweka malengo na ili watu wanunue magari ya kisasa zaidi
Watu hawafukuzwi bali gharama zimekuwa nyingi na bei ya mafuta imepanda zaidi, kuingia mjini gharama mara mbili
Ila ndio hivyo
Ubunifu unatakiwa sio kufukuza tu
Nilikuja juzi.Itakuwa umekuja mjini Jana.
Kwani makonda alivyoruhusu bajaji na pikipiki ziwe zinaenda mjini alikuwa anamaanisha Nini?
Kawaulize wenyeji wako watakuwa wanaelewa
Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
Utakuwa unamiliki bodaboda wewe..vumilia kama machinga walivovumilia kutolewa townSio kila wakati kutaka kuonyesha ubabe wa bila kutumia akili
Huwezi kufukuza tu wakati wanajua fika hao wanahitajika sana kwa mishe mishe za haraka
Wapo mpaka wanaobeba parcels au documents za muhimu
Bora kuwa na mpaka wa marufuku kuingia na anaeingia nakazia yaani chombo chochote cha moto kilipe hela kama congestion charge na Camera zifungwe na kurekodi kila anaeingia na analipa kwa muda maalumu
Anakuwa analipia kwa masaa 24 kiasi fulani hapo wengi wataondoka wenyewe au hata watalipia serikali itakusanya fedha za kuendeleza miradi ya jiji
Duniani nchi zilizoendelea wanapambana na uchafuzi wa hewa kwa hiyo wamejiongeza na nyie mjiongeze sio kuwafukuza
Kwa sasa mataifa makubwa wanajuandaa kuyaondoa magari ya mafuta yote na wameweka malengo na ili watu wanunue magari ya kisasa zaidi
Watu hawafukuzwi bali gharama zimekuwa nyingi na bei ya mafuta imepanda zaidi, kuingia mjini gharama mara mbili
Ila ndio hivyo
Ubunifu unatakiwa sio kufukuza tu
Kasema sababu nini? Bajaji pale posta huwa zinatuwahisha sana kazini na majumbani...Ifikapo tarehe 1/11/2021 bodaboda na bajaji zote marufuku kuingia mjini na wale waliokua mjini watoke wote isipokua bajaji za walemavu
Agizo hilo limetolewa na Abdi Issango, Kamishna Msaidizi wa Polisi, Mkuu wa Usalama Barabarani Kanda Maalumu ya Dms
#PbOnSaturday
Kwani Leseni za biashara zao zinasemaje?Kusema tuu hamtoki haisaidii, onyesheni kwamba hamtoki kwa kufungua kesi mahakamani kwa sababu kwa ninavyojua nchi hii hakuna sheria ya kuzuia mtanzania asitembelee mjini akiwa na pikipiki au bajaj. Hiki kinachodanyika ni uonevu tuu unaofanywa kupitia matamko ya hovyo hovyo.
Kuna mdau alishauri hivi hapa jamvini, ngoja tuendelee kunywa supubaada ua hapo,nyumba za masikini ziondoke.
Kumekucha tenaIfikapo tarehe 1/11/2021 bodaboda na bajaji zote marufuku kuingia mjini na wale waliokua mjini watoke wote isipokua bajaji za walemavu
Agizo hilo limetolewa na Abdi Issango, Kamishna Msaidizi wa Polisi, Mkuu wa Usalama Barabarani Kanda Maalumu ya Dms
#PbOnSaturday
Ndio hivyo tena !Kasema sababu nini? Bajaji pale posta huwa zinatuwahisha sana kazini na majumbani...
Zamani walidai zinatahisisha wizi ila siku hizi wizi hamna...na wala haziko nyingi kiasi kwamba zinachafua mjiNdio hivyo tena !
Utakuwa unamiliki bodaboda wewe..vumilia kama machinga walivovumilia kutolewa town