technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 12,706
- 52,355
Upuuzi
Watu wanarahisisha usafiri nyie mnaleta obstacles
Imagine nawai kikao posta na nipo magomeni na imebaki dakika 10 nitumie usafiri gani wakati hata mwendokasi hazina njia Ni Kama magari ya kawaida tu kwenye mataa!!!
Jiji linatakiwa kuwa na kila aina ya usafiri angalia mfano pale kivukoni zile pikipiki ambavyo uwa zinawawaisha watu mjini
Pale utatumia usafiri gani zaidi ya bajaji au pikipiki ili uwai town?
Huu Ni upumbavu
Watu wanarahisisha usafiri nyie mnaleta obstacles
Imagine nawai kikao posta na nipo magomeni na imebaki dakika 10 nitumie usafiri gani wakati hata mwendokasi hazina njia Ni Kama magari ya kawaida tu kwenye mataa!!!
Jiji linatakiwa kuwa na kila aina ya usafiri angalia mfano pale kivukoni zile pikipiki ambavyo uwa zinawawaisha watu mjini
Pale utatumia usafiri gani zaidi ya bajaji au pikipiki ili uwai town?
Huu Ni upumbavu