Kuanzia sasa mimi na wanawake basi, inatosha!

Nilipitia situation kama yako ni kosa kubwa kumtafutia mwanamke kazi huko ni kupingana na maandiko hapo ulijipendekeza! Usirudie tena.

Pili kuhusu Kumhudumia mama yake Usijali hiyo ni hisani
 
hayo maisha uliyoyachagua yanaghalama zake hapo baadae
 
Sio ikitokeq atapenda tuu😂
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…