Sio siku hizi tangu enzi za bustani ya edeni🙃Hamueleweki nyie unaweza pata shababi, fundi wa mafundi.Ila unaenda cheat na mzee mwenye kitambi,akipiga kimoja chali kisa tu ana hela,yaani sometimes hata sijui mnataka nini.Mkimpata mwenye hela mnakuja kucheat na vijana wasio na hela yaani siku hizi hamueleweki.
Kuna verse ya Marioo anaimba hivi,"ulisema sipati mtoto mkaliiiiii,huyu vipi?Usinifanye nicheke bure.
Sawa nimemwacha sasa, akamtafute huyo shabibi wake ambae akiugulia njaa watatoleana tuu macho, akiumwa wataishia kuambiana pole tu, mimi si bwege, akatafute sasa hao wajanja watakaolipa hospital bills za mama ake.
Tnanks mkuuNdoa zipo na genuwine peoples wapo. Tatizo hao watu wako kidogo mno na wengi ni fake peoples, wengi hukutana na fakes, wana conclude kwamba hakuna real husband and wives, ila its not true
Kwenye hayo mambo tembea sana na Mungu, omba Mungu akuonyeshe Mwanga mtu ulie nae kama ndie or not. Na utashangaa vile Mungu hujibu
Kasema baaasii, inatosha😀Bado utapenda tena na utapigwa tena na tena
Ulikuwa unamdinya vizuri akaridhika?Maybe haya mambo ya mahusiano sio fungu langu, maybe nalazimisha nisipopendwa, ila ninachojua ni kwamba, umri wa kuishi wa binadamu ni miaka 70, acha huu muda uliobaki ni-enjoy mwenyew bila stress.
Ningekuwa nina kilema ningejua sababu ni nn, ningekuwa maskini ningejua shida iko wapi, ila wapi, inatosha sasa maana stress ninazopitia zitanizeesha kabla ya muda wangu.
Haya mapenzi sio kwa kila mtu, nami nimekuja kukubali kwamba sina nafasi kweny kweny ulimwengu wa mapenzi.
Nimemlisha, nimemvisha, nimemtibu, nimemtibu mama ake na kukesha nae hospitali, nilimpa sweta langu alivosikia baridi, nilimpa soksi zangu alipo ng'atwa na mbu, nilimpendezesha akanawiri na kunukia vizur, nilimnunulia feni aliposikia joto, nilipambana apate kazi na akapata, ila hayo yote ni bure, kwasababu mwisho wa siku, mwanaume ndiye anayechukua lawama siku zote.
Nilijitahidi sana kumtunza, na kumheshimu, but nilichokuja kuambulia ni maneno ya dharau na kejeli.
Ni kweli nimepoteza muda na pesa nyingi, but yashapita na mimi nimekubali, kuanzia sasa huu muda na resources nilizokuwa nazo nitazielekeza kweny mambo yangu na mikakati yangu, from now on its going to be all about me, my growth and my happiness.
Kuanzia sasa sitakuwa na mpenzi, na wala sitakuja kuwa mke, na sio kwamba wanachukia wanawake, lahasha, wanawake ni watu poa sana labda mimi tu sina bahati.
"My life doesn't have to be Perfect, It just has to be reasonable"
Mkuu hata hao wanaopigiwa wake zao sasa hivi hawakukurupuka
Unambato mpaka mtu anashindwa kutembea na bado dharau zipo pale pale. Mpe pesa mpe kimbato cha nguvu bafo akikuchoka atakudharauSiyo kila mahali inafanya kazi. Kuna mahali unaweza kumbato vizuri sana tuu na bado ukadharauliwa.
Kifupi, hayanaga formula, a.k.a bar
Siyo kila mahali inafanya kazi. Kuna mahali unaweza kumbato vizuri sana tuu na bado ukadharauliwa.
Kifupi, hayanaga formula, a.k.a mwongozo
Siyo kila mahali inafanya kazi. Kuna mahali unaweza kumbato vizuri sana tuu na bado ukadharauliwa.
Kifupi, hayanaga formula, a.k.a mwongozo
You are so weak menMaybe haya mambo ya mahusiano sio fungu langu, maybe nalazimisha nisipopendwa, ila ninachojua ni kwamba, umri wa kuishi wa binadamu ni miaka 70, acha huu muda uliobaki ni-enjoy mwenyew bila stress.
Ningekuwa nina kilema ningejua sababu ni nn, ningekuwa maskini ningejua shida iko wapi, ila wapi, inatosha sasa maana stress ninazopitia zitanizeesha kabla ya muda wangu.
Haya mapenzi sio kwa kila mtu, nami nimekuja kukubali kwamba sina nafasi kweny kweny ulimwengu wa mapenzi.
Nimemlisha, nimemvisha, nimemtibu, nimemtibu mama ake na kukesha nae hospitali, nilimpa sweta langu alivosikia baridi, nilimpa soksi zangu alipo ng'atwa na mbu, nilimpendezesha akanawiri na kunukia vizur, nilimnunulia feni aliposikia joto, nilipambana apate kazi na akapata, ila hayo yote ni bure, kwasababu mwisho wa siku, mwanaume ndiye anayechukua lawama siku zote.
Nilijitahidi sana kumtunza, na kumheshimu, but nilichokuja kuambulia ni maneno ya dharau na kejeli.
Ni kweli nimepoteza muda na pesa nyingi, but yashapita na mimi nimekubali, kuanzia sasa huu muda na resources nilizokuwa nazo nitazielekeza kweny mambo yangu na mikakati yangu, from now on its going to be all about me, my growth and my happiness.
Kuanzia sasa sitakuwa na mpenzi, na wala sitakuja kuwa mke, na sio kwamba wanachukia wanawake, lahasha, wanawake ni watu poa sana labda mimi tu sina bahati.
"My life doesn't have to be Perfect, It just has to be reasonable"
Mfarijiii wewe, mimi na waliotendwa akh wakinitenda je mimi na mihasira yao🤭🤭🤭🤭🤭😂😂Ametendea kweli, hata maamuzi ya jumla aliyofanya 😥😥 sasa hata nafasi ya kufarijiwa amepoteza kwako. Huzuni sana
Ok mlete kwangu na mizigo yake 😔Mfarijiii wewe, mimi na waliotendwa akh wakinitenda je mimi na mihasira yao🤭🤭🤭🤭🤭😂😂
Hafai huyu , atakupiga kizito😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣Ok mlete kwangu na mizigo yake 😔