Mr Pixel3a
JF-Expert Member
- Sep 15, 2021
- 5,710
- 8,579
- Thread starter
- #101
Ni sera na siasa tu ,bodi inaondoa shombo ,inajisafisha nadhan unaelewaKwan mwaka huu pesa ni nying sana au waombaji walikuwa wachache??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni sera na siasa tu ,bodi inaondoa shombo ,inajisafisha nadhan unaelewaKwan mwaka huu pesa ni nying sana au waombaji walikuwa wachache??
Yeah, nmekupata.Ni sera na siasa tu ,bodi inaondoa shombo ,inajisafisha nadhan unaelewa
Kama ulikuwa na sup lazima boom licheleweKwann mkuu ,Kwan kigezo cha mkopo ni supplementary?
Kama ulikuwa na sup lazima boom lichelewe
Ada uliyokua unajazia usi ile kama bado unayo wala usiipangie matumizi mengine, hifadhi kwa tahadhari ya baadae wanaweza kuja kuifyeka kiasi walichokuongezea wakasema makosa ya mtandao au mfumo huwa inatokea hivyo.Nilipewa 400,500Tsh (Laki nne na mia tano)
Iyo huwa inatokea kumbe ,bhas ni vema kuwa makiniAda uliyokua unajazia usi ile kama bado unayo wala usiipangie matumizi mengine, hifadhi kwa tahadhari ya baadae wanaweza kuja kuifyeka kiasi walichokuongezea wakasema makosa ya mtandao au mfumo huwa inatokea hivyo.
Hapo kisangaHeslb mwaka jana walinipa ada 256k tu mwaka huu vilevile na boom nalo wamepunguza duh
Ata me nimeingia kwny sipa nimepata 100%Hii inaweza kuwa na ukweli mkuu.
Wakati tunareport first year Kuna jamaa alitutia moyo, eti madogo mkikaza mtaongezewa asilimia kwenye ada.
Juzi naingia nakuta 100%
Sawa mkuu. NimekupataAda uliyokua unajazia usi ile kama bado unayo wala usiipangie matumizi mengine, hifadhi kwa tahadhari ya baadae wanaweza kuja kuifyeka kiasi walichokuongezea wakasema makosa ya mtandao au mfumo huwa inatokea hivyo.
Uko chuo gani?Ata me nimeingia kwny sipa nimepata 100%
Sema zingatia ushauri wa mdau ,maan hawatabirikAta me nimeingia kwny sipa nimepata 100%
Mimi nadhan hawaangalii GPA coz nina 4.6 na sijaongezewa kibunda🤒🤣🤣 Ni above 3.5 mkuu.
Sio kibwa hata, nadhani wamerejelea kwenye sifa za mwombaji wakaona wanibless.
Ulisoma shule za serikal ama private?Mimi nadhan hawaangalii GPA coz nina 4.6 na sijaongezewa kibunda🤒
mwanafunzi wa chuo anasoma chuo miaka mitatu bila kugoma? huyo anakariririKuna sakata linaendelea chinichini juu ya baadhi ya wanafunzi wa vyuo vikuu wanaoendelea na masomo (continuous) kuongezewa Ada,ama kupunguziwa MA(Boom) ,Sasa bodi ya mikopo iweke wazi kuondoa mianya ya rushwa na upigaji wa Ela za wanafunzi!!
😅😅Unamaanisha nn great thinker?mwanafunzi wa chuo anasoma chuo miaka mitatu bila kugoma? huyo anakaririri
yaani kama hugomi kwa ishu kama za loan manake huelewi... una kariri😅😅Unamaanisha nn great thinker?