Kuchelewa kwangu kunanitisha sana

yaani kwa kifupi UMECHELEWA punguani wahed wewe, umekaa kwenu unasubiri mafao ya dingi yako? Hovyo kabisa
.. painful ila nalmeza kshujaa...

Ila sadhan kama kuna shida kama mtu akitoa kauli Za kukupa msaada(mtaji) haijalishi uo msaada chanzo chake n wap

Klcho bak n madhaifu tu ya ubinadam bas

Ila kama kusaidiwa n upunguani ..
sawa sidhan kama na ww umepona ktk
Upunguani huo
 
HUJACHELEWA,

Ni nani aliyekwambia, "UMECHELEWA"?

Hatua ya kwanza ya mafanikio ni kutoka nyumbani.

Aliyekuumba ana "MAKUSUDIO" makubwa juu ya yako kwa kuanza maisha wakati huu.

KUTOKA 4:2 "BWANA akamwambia Musa, Ni nini hiyo uliyonayo mkononi? Musa, Akamwambia, Ni "FIMBO" "?

Wewe una nini mkononi mwako kama "FIMBO" kwa sasa?

Ulichonacho mkononi mwako kitumie kama "FIMBO" kwa sasa. HAPO NDIYO MAHALI PA KUANZIA KWAKO.

Je, Kwangu mimi ipi ilikuwa "FIMBO" yangu wakati naanza maisha? MAEMBE.

Sikuwa na KAZI, AJIRA, wala SHUGHULI iwayo yoyote wakati namaliza shule.

Nikatoka nyumbani nikachume "MAEMBE" kwenye miti nikajaza ndoo kubwa (ya lita 20) ili niende kuyauza kwa wakulima.

Pale nilipochuma MAEMBE kuna jirani mmoja wa kike akaniomba EMBE MOJA wakati naondoka.

SWALI, Jirani yule, ana MIEMBE zaidi ya KUMI (10) ya MAEMBE tena yako karibu, "kwa nini aliniomba EMBE moja tu wakati yamejaa pale pale kwake?"

Akachukua EMBE moja akala, akaniuliza, "Kuna kazi nikikuunganishia utaweza kuifanya"?
 
usikate tamaa kuna jamaa namfahamu alikuja kufanikiwa maisha umri umefika 49.

tena mafanikio yake kila biashara akifanya ilikuwa inatoboa mambo yakawa safi na kununua gari na baadae kupata mke huku upande wa mke wananyumba kariakoo tena katikati ya mji na mrithi ni huyo mtoto wa kike.

kikubwa tumaini mungu ukiomba peke yako.

sikiliza wimbo goodluck -hipo siku tu
 
Inawezekana Baraka na mafanikio yako umeacha kwenye Tumbo la Mama yako.
Unahitaji maombezi kuzitoa kule ziliko fungwa
 
John ukija Iringa nitafute kuna chimbo lina komoni nzuri sana.
 
KILA JAMBO LINASABABU. KUMBUKA PIA UMECHELEWA MAMBO YAFUATAYO;
1. KUFA
2.KUWA KICHAA
3.KUWA MLEMAVU
4.KUUGUA KISUKARI,PRESHA,CANCER,COVID19
5.KULAZWA HOSPITALI
6.KUFUNGWA JELA
7.KUJINYONGA
 
[emoji847][emoji16]
 
Kiuhalisia kuna kuchelewa na kuwahi.
 
Amina... somo la fimbo nmelielewa sana
 
Kiuhalisia kuna kuchelewa na kuwahi.
Hizo zote ni mindsets tu ambazo hufanya watu wawe na stress Kuna people Wana hustle na wako smart ila progress Yao ni slow wengine kawaida tu mambo yananyooka so hyo kuchelewA kuliko wekwa na standard za jamii kusikatishe watu tamaa ya ku fight kwenye maisha
 
Komaa kijana utatoboa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…