Kudai Israeli ni Taifa la Mungu huku Wayahudi wakimkaata Yesu, ni ushahidi hizi dini zimejaa uongo mwingi

Kudai Israeli ni Taifa la Mungu huku Wayahudi wakimkaata Yesu, ni ushahidi hizi dini zimejaa uongo mwingi

Kabla sijaenda mbali, kwanza nikiri mimi ni Mkristo ila Ukristo wangu sio sababu ya kutohoji hata kama mtasema imani yangu ni ndogo.

Tukirudi kwenye mada, huku kwetu ukimpinga Kristo, hutaeleweka na utachakuliwa kuwa ni mwenye dhambi na unatahiili kuombewa.

Hata hivyo, cha kushangaza ni sisi sisi tunaodai Israel ni Taifa telule la Mungu huku Wayahudi wakiwa hawamkubali Yesu na wengi wa hao Wayahudi wameukaa kristo. Ajabu sana!

Kwa kifupi, jambo hili linaweza kuwa ni ushahidi tosha kuwa katika hizi dini, kuna mambo ya kutunga katika hivi tunavyovitta vitabu vitakatifu na huenda ni maandiko/aya zote ni uongo au baadhi ya maandiko/aya ndio za uongo .

Pia, nawaza,Tulia watanzania wengi hawamkubali, lakini huko nje ya nchi wamemkubali na kumpa cheo kikubwa tu. Je, ndio yale yale ya Wayahudi kumkataa Yesu na sisi huku kumkubali kama Mwana wa Mungu?

Hakika maswali ni mengi kuliko majibu.
Badilisha kichwa cha mada yako andika kwa mawazo yako

Ndipo wengine tutakujibu

Lakini ulichoandika bila kubadilisha kaa na ubwege wako
 
kasome kwanza bible usiwe kama andazi.

bible imeandika wazi,Yesu alikataliwa na hao wayahudi,ndio sababu hata ya kuuawa kwake.
Unamwambia akasome kitabu kilichoandikwa na wayahudi hao hao mkuu ? Hakuna hata chapter moja ilowahi kuandikwa na Yesu mwenyewe, muwe mnalogic vitu kidogo, Taifa teule hawataki hata kusikia ukristo na wametunga sheria juz juz tu atakaesikika anasema yesu na vitu kama hivyo anakula nyundo za kutosha,
 
kasome kwanza bible usiwe kama andazi.

bible imeandika wazi,Yesu alikataliwa na hao wayahudi,ndio sababu hata ya kuuawa kwake.
Tufanye kama tunakubaliana kwamba Inshara za ujio wa Yesu alizofundisha yohana mbatizaji hawakuziamini hao wayahudi!.
Baadae akajitokeza huyo Yesu wa miujiza na matendo yake ya bayana, bado tu wayahudi wakashupaza shingo zao na kutomuamini ikapelekea mpaka wakampa adhabu ya kidharimu ambayo mimi na wewe kamwe hatuhimili.

Yesu kabla ya kufa pale msalabani yalitokea matendo makuu ikiwemo mchana kuwa giza kuanzia calvari mpaka taifa zima, pazia la hekalu likachanika na taharuki kuu ikazuka taifa zima!
Na baada ya siku3 Yesu alifufuka kutoka kwa wafu na wanafunzi wake kadhaa wanaomtukuza na kumkubali ALIWATOKEA LIVE!!
Katika hao wanafunzi walikuwemo wayahudi kindakindaki. Sasa WHY wasihubiri na kueneza matendo makuu ya Yesu huko huko kwao kwanza na kuaminika kabla hawajatufikia sisi WAMATUMBI?!
 
Kabla sijaenda mbali, kwanza nikiri mimi ni Mkristo ila Ukristo wangu sio sababu ya kutohoji hata kama mtasema imani yangu ni ndogo.

Tukirudi kwenye mada, huku kwetu ukimpinga Kristo, hutaeleweka na utachakuliwa kuwa ni mwenye dhambi na unatahiili kuombewa.

Hata hivyo, cha kushangaza ni sisi sisi tunaodai Israel ni Taifa telule la Mungu huku Wayahudi wakiwa hawamkubali Yesu na wengi wa hao Wayahudi wameukaa kristo. Ajabu sana!

Kwa kifupi, jambo hili linaweza kuwa ni ushahidi tosha kuwa katika hizi dini, kuna mambo ya kutunga katika hivi tunavyovitta vitabu vitakatifu na huenda ni maandiko/aya zote ni uongo au baadhi ya maandiko/aya ndio za uongo .

Pia, nawaza,Tulia watanzania wengi hawamkubali, lakini huko nje ya nchi wamemkubali na kumpa cheo kikubwa tu. Je, ndio yale yale ya Wayahudi kumkataa Yesu na sisi huku kumkubali kama Mwana wa Mungu?

Hakika maswali ni mengi kuliko majibu.
Mkuu kwenye dini haitakiwi kutumia akili, ni Imani tu. Ukianza kutumia akili automatically utakuwa nje ya dini. Mimi hayo mambo ya dini nimeyapotezea muda mrefu sana.
 
Una maswali fikirishi na magumu

Unachotakiwa ni kuamini tu Israel ni Taifa teule bila kijali kuwa sio wakristo na hawamkubali Yesu
Kwahiyo leo wakija hao waisrael wakuchinje wewe na familia yako, utakubali tu kwa kua ni wateule?
Mana hawa majamaa ndio wauwaji wakubwa huku wakijiita wateule miaka nenda rudi.
Kasoma ufunuo, ukifika kwenye mnyama mpotoshaji ndio waisrael..wanapotosha kua ni wateule huku wanaua watu karne na karne.
Huu ni upotoshaji mkubwa na ni hatari. wachungaji na maaskofu, hao ndio penye ugali wao, na wanaowapelekea ni nyie, hivyo hata wakijua wanadanganya lakini hawana namna maana ndio penye maisha yao.
 
Badilisha kichwa cha mada yako andika kwa mawazo yako

Ndipo wengine tutakujibu

Lakini ulichoandika bila kubadilisha kaa na ubwege wako
Mtu mwenye imani ni kichaa.

Kama huamini, fuatilia strory ya mchungaji mmoja huko Nigeria aliyejitosa kwenye zoo yenye Simba akiamini Simba hawatamdhuru kama ilivyotokea kwa Danieli kulingana na maelezo ya kwenye Biblia ingawa aliishia kuliwa na Simba
 
Waisraeli SIO WASABATO, Wayahudi wana dini yao ya kiyahudi mkuu usidanganye watu
Sahihi na hawatarajii hata siku moja kuwa wasabato

WaSabato hutafuta waumini kujiunga na dini yao wayahudi dini ya kiyahudi unaipata kwa kuzaliwa na mama myahudi huwa hawatafuti waumini wa kujiunga na dini yao kama wasabato


Pili Dini ya kiyahudi haiamini Yesu wala vitqbu vya Injili wala kitabu cha ufunuo wa Yohana wala huyo kibibi Hellen White na mafundisho yake ohh malaika watatu nk

Kuwaita Wayahudi wasabato nin uongo tena uliopindukia
 
Kabla sijaenda mbali, kwanza nikiri mimi ni Mkristo ila Ukristo wangu sio sababu ya kutohoji hata kama mtasema imani yangu ni ndogo.

Tukirudi kwenye mada, huku kwetu ukimpinga Kristo, hutaeleweka na utachakuliwa kuwa ni mwenye dhambi na unatahiili kuombewa.

Hata hivyo, cha kushangaza ni sisi sisi tunaodai Israel ni Taifa telule la Mungu huku Wayahudi wakiwa hawamkubali Yesu na wengi wa hao Wayahudi wameukaa kristo. Ajabu sana!

Kwa kifupi, jambo hili linaweza kuwa ni ushahidi tosha kuwa katika hizi dini, kuna mambo ya kutunga katika hivi tunavyovitta vitabu vitakatifu na huenda ni maandiko/aya zote ni uongo au baadhi ya maandiko/aya ndio za uongo .

Pia, nawaza,Tulia watanzania wengi hawamkubali, lakini huko nje ya nchi wamemkubali na kumpa cheo kikubwa tu. Je, ndio yale yale ya Wayahudi kumkataa Yesu na sisi huku kumkubali kama Mwana wa Mungu?

Hakika maswali ni mengi kuliko majibu.
Na katoliki kujifanya dini ya Mungu, halafu shule zao zina ada kubwa kuliko shule zote,. Wale masikini wasioweza kulipa wanafukuzwa kama mbwa..

Halafu Kitima anajiita mtetezi wa masikini na wanyonge
 
Kabla sijaenda mbali, kwanza nikiri mimi ni Mkristo ila Ukristo wangu sio sababu ya kutohoji hata kama mtasema imani yangu ni ndogo.

Tukirudi kwenye mada, huku kwetu ukimpinga Kristo, hutaeleweka na utachakuliwa kuwa ni mwenye dhambi na unatahiili kuombewa.

Hata hivyo, cha kushangaza ni sisi sisi tunaodai Israel ni Taifa telule la Mungu huku Wayahudi wakiwa hawamkubali Yesu na wengi wa hao Wayahudi wameukaa kristo. Ajabu sana!

Kwa kifupi, jambo hili linaweza kuwa ni ushahidi tosha kuwa katika hizi dini, kuna mambo ya kutunga katika hivi tunavyovitta vitabu vitakatifu na huenda ni maandiko/aya zote ni uongo au baadhi ya maandiko/aya ndio za uongo .

Pia, nawaza,Tulia watanzania wengi hawamkubali, lakini huko nje ya nchi wamemkubali na kumpa cheo kikubwa tu. Je, ndio yale yale ya Wayahudi kumkataa Yesu na sisi huku kumkubali kama Mwana wa Mungu?

Hakika maswali ni mengi kuliko majibu.
Ukristo ulianzishwa miaka 15 Baada ya Yesu

Wakati wazungu wanaanzisha dini ya ukristo na kuwahubiria watu kuwa Yesu ni Mungu

Wayahudi waliocheza kombolela na Yesu katika mitaa ya Galilaya walikuwa bado wapi

Wayahudi waliokuwa wanapiga mishe na Yesu za kuchonga vitanda na makabati walikuwa bado wapo

Wayahudi waliokuwa wanaishi jirani na Yesu walikuwa bado wapo

Hivyo basi hiyo dini ya uongo iliyoanzishwa na Wazungu wakawachia Wazungu wenyewe waendelee kuwadanganya

Na Yesu alikuwa myahudi wa kabila sio dini
 
Ukristo ulianzishwa miaka 15 Baada ya Yesu

Wakati wazungu wanaanzisha dini ya ukristo na kuwahubiria watu kuwa Yesu ni Mungu

Wayahudi waliocheza kombolela na Yesu katika mitaa ya Galilaya walikuwa bado wapi

Wayahudi waliokuwa wanapiga mishe na Yesu za kuchonga vitanda na makabati walikuwa bado wapo

Wayahudi waliokuwa wanaishi jirani na Yesu walikuwa bado wapo

Hivyo basi hiyo dini ya uongo iliyoanzishwa na Wazungu wakawachia Wazungu wenyewe waendelee kuwadanganya

Na Yesu alikuwa myahudi wa kabila sio dini
Uongo

Ukristo ulianza siku ya Pentecoste

Yesu alisema mimi naondoka anakuja mwingine kushika nafasi yangu msitoke Yerusalemu hadi aje huyo anachukua nafasi yangu Roho mtakatifu

Ukristo ulianza baada ya siku 40 tu toka Yesu apae sio miaka 15
Yesu akifanya Handover kuwa naondoka anakuja mwingine kuchukua nafasi yangu Roho mtakatifu huyo mkristo wako wa baada ya miaka 15 kaa naye wewe na mkeo
 
Imani inafanya watu wasihoji, na ndio maana hata Wafuasi wa Kibwetere, hawakuhoji matokeo yake wakaangamia.
Ni kweli usipohoji ni kosa, lakini unahoji huku tayari umeshafikia hatma ya kuwa ni uzushi?? Hapo haujahoji bali umethibitisha

Hivyo haiwi hoja bali ni uthibitisho na ndio maana nikasema kwa mkristo wa kweli alieisoma Biblia ataelewa kuwa Wayahudi walimkataa Yesu kipindi hiko, na ndio maana alisulubiwa
Lugha unayoongea, ilianzia Marekani.

Fuatilia usijiridhishe sana. Make some efforts to learn more.
Sawa ili nijiridhishe kwenye nini hasa

Maana hata historia inaonesha wazi Yesu aliishi duniani
 
Sahihi na hawatarajii hata siku moja kuwa wasabato

WaSabato hutafuta waumini kujiunga na dini yao wayahudi dini ya kiyahudi unaipata kwa kuzaliwa na mama myahudi huwa hawatafuti waumini wa kujiunga na dini yao kama wasabato


Pili Dini ya kiyahudi haiamini Yesu wala vitqbu vya Injili wala kitabu cha ufunuo wa Yohana wala huyo kibibi Hellen White na mafundisho yake ohh malaika watatu nk

Kuwaita Wayahudi wasabato nin uongo tena uliopindukia
Sijui kaipata hiyo habari wapi aisee, yan daaah me nna rafik myahudi yan hakuna kitu kama hicho, aisee aisee yan myahudi awe msabato ? Noma sanaaa
 
Wazungu na waarabu wanatuambia watu wetu wakifa washakufa na siokitu tena.waacheni kuhani makaburi maana mnaabudu mizimu.

Matokeo yake wanakuja kutushawishi kuwaabudu maria, yesu, muhamad. Hawa oote ni wameshatangulia mbele za haki lakini tunalazimishwa kuwaabudu. Hii nisawa na kutushawishi tuache mizimu yetu tuabudu mizimu yao ambayo haituhusu kabisa.
Mtu mweusi wa sasa ukimuuliza babu wa babayake jina lake nani hajui. Ila ukimuuliza kizazi cha akina maria na muhamad anakutajia hadi vitukuu.
Ndio maana mtu mweusi hatokaa kuendelea. Huwezi kila siku kuumiza kichwa kutunza kumbukumbu za uzao wa mtu asiekuhusu hata rangi yake yamwili tu.
Duh 🙄 !
 
Sahihi na hawatarajii hata siku moja kuwa wasabato

WaSabato hutafuta waumini kujiunga na dini yao wayahudi dini ya kiyahudi unaipata kwa kuzaliwa na mama myahudi huwa hawatafuti waumini wa kujiunga na dini yao kama wasabato


Pili Dini ya kiyahudi haiamini Yesu wala vitqbu vya Injili wala kitabu cha ufunuo wa Yohana wala huyo kibibi Hellen White na mafundisho yake ohh malaika watatu nk

Kuwaita Wayahudi wasabato nin uongo tena uliopindukia
Wayahudi dini yao ni Judaism.
 
Back
Top Bottom