Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa Ndo wametumbukia kwenye shimo reeefu.. Mimi hayo mambo ya dini nimeyapotezea muda mrefu sana.
Hizi dini zimewalemaza vibaya[emoji28]Si mwanadamu amesema ,ni Mungu amesema. Wewe uliye udongo tu unamuuliza mfinyanzi? Usiniambie Mungu, kama wanakosea atawaadhibu yeye mwenyewe siyo Wewe.
Halafu we mwehu baadae utakuja na vifungu vyako vya aya za kipigaji kutoka kwa wavaa kobazi!!Ukristo ulianzishwa miaka 15 Baada ya Yesu
Wakati wazungu wanaanzisha dini ya ukristo na kuwahubiria watu kuwa Yesu ni Mungu
Wayahudi waliocheza kombolela na Yesu katika mitaa ya Galilaya walikuwa bado wapi
Wayahudi waliokuwa wanapiga mishe na Yesu za kuchonga vitanda na makabati walikuwa bado wapo
Wayahudi waliokuwa wanaishi jirani na Yesu walikuwa bado wapo
Hivyo basi hiyo dini ya uongo iliyoanzishwa na Wazungu wakawachia Wazungu wenyewe waendelee kuwadanganya
Na Yesu alikuwa myahudi wa kabila sio dini
Sasa huo utakatifu wa hao wayahudi mnaowaita wateule ulitoka wapi bwashee[emoji28]kasome kwanza bible usiwe kama andazi.
bible imeandika wazi,Yesu alikataliwa na hao wayahudi,ndio sababu hata ya kuuawa kwake.
Jewish people ! Jews ! = wayahudi !Waisraeli SIO WASABATO, Wayahudi wana dini yao ya kiyahudi mkuu usidanganye watu
Kabla sijaenda mbali, kwanza nikiri mimi ni Mkristo ila Ukristo wangu sio sababu ya kutohoji hata kama mtasema imani yangu ni ndogo.
Tukirudi kwenye mada, huku kwetu ukimpinga Kristo, hutaeleweka na utachakuliwa kuwa ni mwenye dhambi na unatahiili kuombewa.
Hata hivyo, cha kushangaza ni sisi sisi tunaodai Israel ni Taifa telule la Mungu huku Wayahudi wakiwa hawamkubali Yesu na wengi wa hao Wayahudi wameukaa kristo. Ajabu sana!
Kwa kifupi, jambo hili linaweza kuwa ni ushahidi tosha kuwa katika hizi dini, kuna mambo ya kutunga katika hivi tunavyovitta vitabu vitakatifu na huenda ni maandiko/aya zote ni uongo au baadhi ya maandiko/aya ndio za uongo .
Pia, nawaza,Tulia watanzania wengi hawamkubali, lakini huko nje ya nchi wamemkubali na kumpa cheo kikubwa tu. Je, ndio yale yale ya Wayahudi kumkataa Yesu na sisi huku kumkubali kama Mwana wa Mungu?
Hakika maswali ni mengi kuliko majibu.
Kabisa mkuu,Dini hizi ni utapeli mtupu!
Zimelifanya bara la Africa kuwa bara la hovyo kuliko yote na watu wake hovyo zaidi.
Waisrael dini yao ni Judaism na siyo Wasabato.Acha upotoshaji, Waisrael ni wasabato kwahiyo wasabato wanampiga Yesu? hayo ni maneno ya mtaani.
Uyo Mungu wenu atakua kichaa kulibariki taifa la hovyo lililomsaliti, lisilomtambua Kama israeliUkatoriki ulifikaje Rome-Italy na kuwa dhehebu la kwenye ukristo.
Anglican wamekuaje waingereza na ni christians.
Lutheran pia nao ni vipi.
Mwamposa, Gwajima, Mzee wa upako nk wanatofauti gani na hao wengine kuanzia Vatican mpaka pale church of London.
Biblia imeanzia pale mashariki ya kati Israeli, na biblia hiyohiyo inasema Israeli ndio Taifa teule.. na sio Tanzania wala Kenya..
Yaani Mwenyezi Mungu muumba wa mbingu na ardhi atuumbe wooote na mataifa yetu halafu aibariki Israeli na waIsraeli.
Tatizo ni wapokeaji wenyewe au aina ya dini au namna dini husika ilivyofikishwa kwa watu.Dini hizi ni utapeli mtupu!
Zimelifanya bara la Africa kuwa bara la hovyo kuliko yote na watu wake hovyo zaidi.
Hakuna usabato Israeli,Acha upotoshaji, Waisrael ni wasabato kwahiyo wasabato wanampiga Yesu? hayo ni maneno ya mtaani.
Wewe si inaonekana ni evangelical. Wewe haufahamu mahali ulokole ulipoanzia?Ni kweli usipohoji ni kosa, lakini unahoji huku tayari umeshafikia hatma ya kuwa ni uzushi?? Hapo haujahoji bali umethibitisha
Hivyo haiwi hoja bali ni uthibitisho na ndio maana nikasema kwa mkristo wa kweli alieisoma Biblia ataelewa kuwa Wayahudi walimkataa Yesu kipindi hiko, na ndio maana alisulubiwa
Sawa ili nijiridhishe kwenye nini hasa
Maana hata historia inaonesha wazi Yesu aliishi duniani
Mikataba ya DP World, Loliondo... ni ya Wazungu?wazungu wanaendelea kuja AFRICA na mikataba yao ya KIPUMBAVU coz wanapitia mlemle kwenye akili za mababu zao kwamba bado tumelala!!!
Ufisadi si ndo unaotokana na ujinga wa miafrika? Kwani wewe unadhani ni Tanzania tu? Kwanza juzi rais wa Nigeria amepigiwa kelele na wananchi kwa kujiagizia meli ya kifahari all maarufu “yatch” na magari ya kifahari kwa viongozi wote pamoja na mke wake.Hata ufisadi unaofanywa na serikali ya CCM ( kwa ushahidi wa ripoti za CAG za kila mwaka) nao umefanywa na wazungu?
I undersand man but Judaism isn’t Sabbath, but Sabbath is observed in Judaism, and to be precise Sabbath is observed in alot of religions. Mkuu Judaism ni kitu ingine kabisa…Jewish people ! Jews ! = wayahudi !
They believe in Moses = Musa !
Just a simple logic , Yesu amekufa msalabani akafufuka pangoni akapaa kisha atarudi tena Duniani na atakufa tena, this means Yesu atakufa mara mbili sababu iko wazi njia ya kuondoka duniani ni kufa!! Kweli hili ni changa la macho laivu!kasome kwanza bible usiwe kama andazi.
bible imeandika wazi,Yesu alikataliwa na hao wayahudi,ndio sababu hata ya kuuawa kwake.
Kuna vitu vya msingi katika imani ya Kikristo unavikosa. Jibidishe, ili kujijengea ufahamu katika imani yako.Kabla sijaenda mbali, kwanza nikiri mimi ni Mkristo ila Ukristo wangu sio sababu ya kutohoji hata kama mtasema imani yangu ni ndogo.
Tukirudi kwenye mada, huku kwetu ukimpinga Kristo, hutaeleweka na utachakuliwa kuwa ni mwenye dhambi na unatahiili kuombewa.
Hata hivyo, cha kushangaza ni sisi sisi tunaodai Israel ni Taifa telule la Mungu huku Wayahudi wakiwa hawamkubali Yesu na wengi wa hao Wayahudi wameukaa kristo. Ajabu sana!
Kwa kifupi, jambo hili linaweza kuwa ni ushahidi tosha kuwa katika hizi dini, kuna mambo ya kutunga katika hivi tunavyovitta vitabu vitakatifu na huenda ni maandiko/aya zote ni uongo au baadhi ya maandiko/aya ndio za uongo .
Pia, nawaza,Tulia watanzania wengi hawamkubali, lakini huko nje ya nchi wamemkubali na kumpa cheo kikubwa tu. Je, ndio yale yale ya Wayahudi kumkataa Yesu na sisi huku kumkubali kama Mwana wa Mungu?
Hakika maswali ni mengi kuliko majibu.
Point yangu ni kuwa matatizo ya Africa yanaletwa na sisi Waafrika wenyewe. Wazungu walitufanyizia na wameshaondoka ila watawala wengi wa kiafrika wamegeuka kuwa wakoloni weusi.Ufisadi si ndo unaotokana na ujinga wa miafrika? Kwani wewe unadhani ni Tanzania tu? Kwanza juzi rais wa Nigeria amepigiwa kelele na wananchi kwa kujiagizia meli ya kifahari all maarufu “yatch” na magari ya kifahari kwa viongozi wote pamoja na mke wake.
The list goes on…