Kudai Israeli ni Taifa la Mungu huku Wayahudi wakimkaata Yesu, ni ushahidi hizi dini zimejaa uongo mwingi

Kudai Israeli ni Taifa la Mungu huku Wayahudi wakimkaata Yesu, ni ushahidi hizi dini zimejaa uongo mwingi

CNN wamiliki wake ni jews, pentagon wamejaa jews, capitol hill wamejaa jews, hakuna rais wa USA mwenye jeuri ya kuwakaripia na kuwaambia ukweli kwamba unyama wanaowafanyia wapalestina hauna nafasi katika ulimwengu huu wa sasa.

Wanafanya mikutano ya kidunia ya wayahudi kila baada ya miaka miwili, mkutano mmojawapo ulihudhuriwa na Bill Clinton aliye myahudi kwa upande wa Mama yake, wameishikilia dunia na wanapanga hata adui yako awe ni nani na rafiki yangu awe ni nani.

RIP Mandela alipinga huo ujinga wa kuwachukia wapalestina ili apendwe na wamarekani na mpaka kesho kina Malema wameshikilia msimamo huo huo.

Hebu nikubali hoja yako for the sake of argument......Sasa nini kifanyike.....Maana kila attempt toka 1948, 1967, 1973 inashindwa......tunaona Gaza inamegwa vipande viwili mbele ya kadamnasi ya dunia....Iran, na mataifa ya kiarabu yanatoa matamko tu....What is the solution.....Wanachoweza kulia ni cease fire...cease fire...Humanitarian aid....Humanitarian aid.....Solution ni nini ndugu yangu Steven.....Ponda kajaribu kwenda kufanya Maandamano, Plosi CCM imemzua....labda ingesaidia......Nini kifanyike...?
 
Usiongeze maneno yako.....Christmas ni Marufuku Israel? Unataka nikuumbue....Christmas si mbali....nitakuonyesha...Tusiandikie mate wino upo....
Mkuu Christimas sio public holiday huko Israeli masta mbona mnasimuliwa vya kusimuliwa ? Yan wayahudi hawasherekei hiyo sikuku mkuu….
 
View attachment 2811343
Tatizo lako upo hapa kubishana lakini hujui chochote kuhusu Israeli, umekariri ungo uliomezeshwa kwenye bible tumia japo google ujielomishe kidogo.
Wewe unajua....mimi nimekwenda huko......Wewe unanukuu ujinga wa Mitandaoni....Ukitaka kwebda Mwakasege ana huduma hiyo....Nenda Mkuu, itakufungua macho,.
 
Wewe unajua....mimi nimekwenda huko......Wewe unanukuu ujinga wa Mitandaoni....Ukitaka kwebda Mwakasege ana huduma hiyo....Nenda Mkuu, itakufungua macho,.
Hata mimi nimeshifika huko, haya ninayokuambia mengine nimeyashudia.
 
Mkuu Christimas sio public holiday huko Israeli masta mbona mnasimuliwa vya kusimuliwa ? Yan wayahudi hawasherekei hiyo sikuku mkuu….
Ndio sio public Holiday...lakin imepigwa marufuku.....? Nenda Dubai...Christmas haiko kwenye Kalenda zao.....Lakini unajua nini kinafanyika Wakati wa Christmas Dubai.....Tembea uone...
 
Mkuu Christimas sio public holiday huko Israeli masta mbona mnasimuliwa vya kusimuliwa ? Yan wayahudi hawasherekei hiyo sikuku mkuu….

CHRISTMAS IN JERUSALEM 2023​

Christmas in Jerusalem is a truly unique time of year. Thousands of pilgrims come to the city to celebrate Christmas in the place where it all began (nearby in Bethlehem). The city, in particular, the Old City’s Christian and Armenian quarters, become adorned with decorations, while other Jerusalem landmarks such as the YMCA, along with the city’s churches, celebrate by holding services and carol concerts. Below are some of the best things to do in Jerusalem during Christmas.
shutterstock_1264844761.jpg

CHRISTMAS DAY IN AND AROUND JERUSALEM​

Celebrate Christmas day in Jerusalem in style: join this once-a-year unique tour in and around Jerusalem. See Christian spots you won’t find in a guide book, such as the birthplace of John the Baptist in what’s now one of Jerusalem’s most idyllic neighborhoods, Ein Karem; then visit Qasr el Yahud, deep in the Judean Desert, where Jesus was baptized. You’ll truly delve into the spirit of Christmas as you finish your tour relaxing at the Dead Sea for a spectacular winter sunset.
 

CHRISTMAS IN JERUSALEM 2023​

Christmas in Jerusalem is a truly unique time of year. Thousands of pilgrims come to the city to celebrate Christmas in the place where it all began (nearby in Bethlehem). The city, in particular, the Old City’s Christian and Armenian quarters, become adorned with decorations, while other Jerusalem landmarks such as the YMCA, along with the city’s churches, celebrate by holding services and carol concerts. Below are some of the best things to do in Jerusalem during Christmas.
shutterstock_1264844761.jpg

CHRISTMAS DAY IN AND AROUND JERUSALEM​

Celebrate Christmas day in Jerusalem in style: join this once-a-year unique tour in and around Jerusalem. See Christian spots you won’t find in a guide book, such as the birthplace of John the Baptist in what’s now one of Jerusalem’s most idyllic neighborhoods, Ein Karem; then visit Qasr el Yahud, deep in the Judean Desert, where Jesus was baptized. You’ll truly delve into the spirit of Christmas as you finish your tour relaxing at the Dead Sea for a spectacular winter sunset.
Hapo ni nyumbani kwako huwezi katazwa.
 
Ndio sio public Holiday...lakin imepigwa marufuku.....? Nenda Dubai...Christmas haiko kwenye Kalenda zao.....Lakini unajua nini kinafanyika Wakati wa Christmas Dubai.....Tembea uone...

Hapo ni nyumbani kwako huwezi katazwa.

Tusubiri Christmass ya 2023....Si mbali mkuu.....lakini turudi kwenye mada yetu....
 

Attachments

  • 1699779966287.png
    1699779966287.png
    3.3 MB · Views: 3
Ndio sio public Holiday...lakin imepigwa marufuku.....? Nenda Dubai...Christmas haiko kwenye Kalenda zao.....Lakini unajua nini kinafanyika Wakati wa Christmas Dubai.....Tembea uone...
Kwan unadhan hatujatembea mkuu Israel christmass sio ishue kabisa , lakini tanzania vp ? We hujiuliz kwanini ?
 
Ndio, Crisman day kazi zinaendelea kama kawaida, ila kunakuwa na watalii kutoka nchi mbali mbali, ila kiSerikali sikuu ya kidini ni moja tu ya Jewish.
Jamaa haeleqi Christmass inavyokuwa celebrated Tanzania ni tofauti kabisa na Huko Haifa , nasema with hands-on experience na sio mimi niliopanga hivyo ni wayahudi wenyewe kwanza hata ubatizo wayahudi hawafanyi, wako tofauti kidogo hawa watu masta
 
Kabla sijaenda mbali, kwanza nikiri mimi ni Mkristo, ila Ukristo wangu sio sababu ya kutohoji hata kama mtasema imani yangu ni ndogo.

Tukirudi kwenye mada, huku kwetu ukimpinga Kristo, hutaeleweka na utachakuliwa kuwa ni mwenye dhambi na unastahiili kuombewa.

Hata hivyo, cha kushangaza ni sisi sisi tunaodai Israel ni Taifa telule la Mungu huku Wayahudi wakiwa hawamkubali Yesu na wengi wa hao Wayahudi wameukaa Ukristo. Ajabu sana!

Kwa kifupi, jambo hili linaweza kuwa ni ushahidi tosha kuwa katika hizi dini, kuna mambo ya kutunga katika hivi tunavyovitta vitabu vitakatifu na huenda ni maandiko/aya zote ni uongo au baadhi ya maandiko/aya ndio za uongo .

Pia, nawaza,Tulia watanzania wengi hawamkubali, lakini huko nje ya nchi wamemkubali na kumpa cheo kikubwa tu. Je, ndio yale yale ya Wayahudi kumkataa Yesu na sisi huku kumkubali kama Mwana wa Mungu?

Hakika maswali ni mengi kuliko majibu.
Tukitaka kuzijua hizi dini kwa undani ni vyema tuzisome na historia yake, wengi wetu tumenyimwa maarifa kwa sababu elimu tuliyopewa haitufanyi kuwa werevu wa mambo kwa kisingizio cha kwenda kinyume na imani fulani. Ikiwa tumeumbwa na akili ni vizuri tutumie akili zetu katika kuhoji kile ambacho huenda tukakiona ni kinakwenda kinyume na uhalisia.
 
Jamaa haeleqi Christmass inavyokuwa celebrated Tanzania ni tofauti kabisa na Huko Haifa , nasema with hands-on experience na sio mimi niliopanga hivyo ni wayahudi wenyewe kwanza hata ubatizo wayahudi hawafanyi, wako tofauti kidogo hawa watu masta

Wayahudi ni dini, sio Wakristo.....sasa kinakushangaza kipi.....Waislamu hawasherekee Christmas kuna jipya hapo.....Au hujui dini ya Judaism Mkuu?
 
Nina mashaka na uislam kushikamana sana na waarabu, ukiwa na free mind lazima uone utata.
Utata katika lipi? Lete hoja direct maana uislam unasema tumia njia nne kuelewa kitu Cha dini unachoamini 1. Quran, 2. Hadith ( maisha na maneno ya Mtume Muhammad SAW), 3. Shura ya Maimamu yaani discussion ya wasomi wa dini ya kiislam kuhusu jambo flani lenye utata, ukiona bado huelewi 4. tumia logic (akili) yako ikikataa piga chini,

1. Nikupe mifano kidogo , kula nguruwe ili usife imeruhusiwa katika uislam iwapo hakuna msosi mwingine,

2. Uislam unasema Yesu hakufa msalabani sababu stori katika uislam na ukristo zote zinasema Yesu alipaa na atarudi duniani sasa logically kama Yesu angekuwa kafa asingerudi kwa maana hakuna Mtu atakufa mara mbili maana njia ya kuondoka duniani ni kufa. Akili timamu haikubaliani na jambo hilo eti Yesu ambae ni mwanadamu tu alikufa akafufuka hii ni mbaya sana kumkufuru Muumba !

3. kuoa wake wanne (4) imeruhusiwa kwa mwanaume ambae ni muadilifu tu maana kibailojia mwanaume hutoa sperms zenye vitu viwili ,

1. Sperm Y - yenye kasi ila ni dhaifu ya kuzalisha mtoto wa kiume ambayo hufa in 24hrs bila kupata yai la uzazi la mama

2. Sperm X inayozalisha mtoto wa kike ambayo Ina nguvu na huishi 72hrs ( siku 3) hivyo hata ukifanya ngono jumatatu, alhamisi yai la mama likishuka atapata mimba, hii ina maana mwanamke ana nafasi kubwa kuzaa mtoto wa kike ambao ndio huendeleza kizazi kuliko kupata mateja, maana yake kibailojia Dunia itajaa wanawake zaidi kuliko wanaume kutokana na uwezo wa sperm X hivyo ukioa mke mmoja wengine waende wapi kama sio kuwa madanga na sex workers!!
 
Wayahudi ni dini, sio Wakristo.....sasa kinakushangaza kipi.....Waislamu hawasherekee Christmas kuna jipya hapo.....Au hujui dini ya Judaism Mkuu?
Ndio mana nasema Christmass sio ishue kwa wayahudi, wao wanasherekeaga sherehe inaitwa chanuka au hanukha kama sio kosei na tarehe ni hizo hizo za christmass ndio mana unaona kama kunakuwa na shangwe mkuu, i have a jew friend na saivi yupo haifa yan nikusikilize wewe unidanganye wakati nna mtu wakumuuliza moja kwa moja ? Kwakifupi Jews hawataki kusikia habari za Yesu na ushahid upo masta sasa we unabisha nini ? Juz tu hapa kuna video inaonyesha watoto wadogo wanawatemea mate wamama wazima walikuwa wamevaa rozari, Wayahudi hawavaagi ile misalaba..
 
Kuna tofauti kati ya israeli kuchaguliwa na Mungu kua taifa lake teule lakumwelezea hapa duniani na wayahudi kumkubali yesu.kwasababu yesu aliikuta tayari israeli imeshachaguliwa kua teule.Kwa mujibu wa vitabu vya dini ya kikristo vinaonyesha mahusiano ya wayahudi na Mungu yalikuwepo miaka mingi iliyopita kabla ya yesu kuja na badae kukapita kipindi cha maasi na Mungu akawaacha hadi walipomrudia Mungu nayeye akamtuma yesu kuja kuwakomboa.Yesu alikuja kwa ajili yakukomboa binadamu wote ila wayahudi walitumika kama kielelezo kuwakilisha wanadamu wote.sasa swala la wao kutokumkubali yesu hiyo ni shida yao kwasababu sio lazima wawe wote wanaomkubali ndio ujue Mungu aliwateua.Ila kupitia wao kama kiwakilishi imani ya yesu imeenea dunia nzima na ilo ndilo lilikua lengo la Mungu.Mungu akuwateua ili wawe watakatifu bali wafanye kile ambacho alikusudia na kupitia wachache kazi imefanyika na sasa inafanywa na mataifa mengine ila lengo ni lile lile kuhubiri injili kwa kila taifa na kabila..Ukisoma biblia yako vizuri yote utayaona uko.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mathayo 21
33. Sikilizeni mfano mwingine. Kulikuwa na mtu mwenye nyumba, naye alipanda shamba la mizabibu, akalizungusha ugo, akachimba shimo la shinikizo ndani yake, akajenga mnara, akapangisha wakulima, akasafiri.

34. Wakati wa matunda ulipokuwa karibu, akawatuma watumwa wake kwa wale wakulima, wapokee matunda yake.

35. Wale wakulima wakawakamata watumwa wake, huyu wakampiga, na huyu wakamwua, na huyu wakampiga kwa mawe.

36. Akawatuma tena watumwa wengine wengi kuliko wa kwanza wakawatenda vile vile.

37. Mwishowe akamtuma mwanawe kwao, akisema, Watamstahi mwanangu.

38. Lakini wale wakulima walipomwona yule mwana, wakasemezana wao kwa wao, Huyu ni mrithi; haya na tumwue, tuutwae urithi wake.

39. Wakamkamata, wakamtupa nje ya shamba la mizabibu, wakamwua.

40. Basi atakapokuja yule bwana wa shamba la mizabibu, atawatendaje wale wakulima?

41. Wakamwambia, Atawaangamiza vibaya wale wabaya; na shamba la mizabibu atawapangisha wakulima wengine, watakaomlipa matunda kwa wakati wake.

42. Yesu akawaambia, Hamkupata kusoma katika maandiko, Jiwe walilolikataa waashi, Hilo limekuwa jiwe kuu la pembeni; Neno hili limetoka kwa Bwana, Nalo ni ajabu machoni petu?

43. Kwa sababu hiyo nawaambia, Ufalme wa Mungu utaondolewa kwenu, nao watapewa taifa lingine lenye kuzaa matunda yake.

👉Kwa maana waitwao ni wengi, bali wateule ni wachache. ~Mathayo 22:14
 
Mungu aliwachagua ili watimize kusudi alilokusudia sio ili waishi kama wafalme.na ilo kusudi la Mungu sio kitu kinachokuja kirahisi kwasababu wanaopinga ilo kusudi ni wengi zaidi kuliko wanaokubali.
Kusudi la kuwepo kwa taifa teule ni kumpokea Masihi Kristu na kumtangaza.

Je, kama taifa walitimiza kusudi hilo, au alipokuja wao ndio walishikilia mabango kwa Pilato wakisema Asulubiwe!?

👉Ni yupi katika manabii ambaye baba zenu hawakumwudhi? Nao waliwaua wale waliotabiri habari za kuja kwake yule Mwenye Haki; ambaye ninyi sasa mmekuwa wasaliti wake, mkamwua. ~Matendo 7:52
 
Back
Top Bottom