Ilimu yangu ni madrasa
Haiwezi kuwa tofauti.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ilimu yangu ni madrasa
Ufipa siku zote huwa ni fungu la kukosaUfipa inaingiaje kwa maamuzi ya Uingereza? Kama huna cha maana cha kuandika ficha ujinga wako.
Virus havina mipaka kwamba utajifungia kwenye nchi yako ujitibu huku ukitarajia kwenda nje au kupokea wageni toka nje.Wewe ulitakaje mkuu .. ukae ndani usifanye kazi? Kampeni zimepita kina lissu walikuwa wanakusanya watu alipata hiyo corona ?!
Haya ni mafua makali na tuna njia zetu wenyewe za kudhibiti
Naona mnashabikia ujinga wa kutokuelewa kinachohabarishwa.Ufipa inaingiaje kwa maamuzi ya Uingereza? Kama huna cha maana cha kuandika ficha ujinga wako.
Sasa mpaka sasa WHO wamedhibiti kwa namna gani huu ugonjwa?Virus havina mipaka kwamba utajifungia kwenye nchi yako ujitibu huku ukitarajia kwenda nje au kupokea wageni toka nje.
Kuna vyombo kama WHO vyenye mamlaka ya ku control yanapotokea magonjwa kama hayo dunia.
kwani kuna dawa ya corona ambayo wanayo UK na wengine peke yao,kasoro tz!!!!!Unasema je kama tuliokosea ni sisi? Ama kweli "nyani haoni kundule."
Eti tuendelee kujifukiza tusife hadi dawa rasmi ipatikane. Kwa nini kujifukiza kusiwe ndiyo dawa rasmi basi?
Eti tuendelee kutengeneza pesa!
Hii inaitwa, "tamaa mbele, mauti nyuma."
Mawazo duni kabisa.
data zinaondoa corona!!!Lakini hii sirikali yetu inachekesha sana, ni kweli maambukizi ya korona sio makubwa nchini...kuna ubaya gani wa kutoa data za hao wagonjwa?!.
Nchi yetu sio kisiwa ina muingiliano na mataifa mengine yaliyoathirika sana na wala ugonjwa huu sio wa aibu haujaanzia kwetu...kuna tatizo gani kusema hali yetu nchini kuhusu korona ikoje.
Yaani li sirikali lipo kimya japo hata kuendelea kuhamasisha raia wake kuchukua tahadhari dhidi ya ugonjwa ambao dhahiri bado ni tishio duniani
hilo ni jambo la mtu au ofisi na maamuzi yake.Si lazima kuwa na total lockdown lakini ni muhimu kuzuia mikusanyimo ya watu, kama inabidi wakusanyike wawe na barakoa pia kunawa mikono kila mara.
Unaweza kutangulia wewe jioni hii kwa kugongwa na bodaboda!Imebaki tu kwa jiwe kuugua na kufa ndio utakuwa mwisho wa kudharau ugonjwa huu.
Kuna chanjo inasambazwa kwenye nchi mbalimbali duniani Tanzania bado hatujaruhusu chanjo hiyo kuingia.kwani kuna dawa ya corona ambayo wanayo UK na wengine peke yao,kasoro tz!!!!!
mnaacha wapi akili!!
utakufa wewe,uende unalia kaburini kwa kumuacha anadunda.Imebaki tu kwa jiwe kuugua na kufa ndio utakuwa mwisho wa kudharau ugonjwa huu.
wewe unajua wangapi wanakufa kwa HIV kwa siku!!!Ni muhimu kuwa na takwimu kuthibitisha haya. Idadi ya maambukizi na idadi ya vifo kwa siku, wiki na mwezi.
WHO hawalali wanahangaika usiku na mchana kupata dawa hawajakaa wakitegemea maombi, sisi (Tz) wala hatujishughulishi hata kujaribu chanjo zilizopo tunasubiri rehema za Mungu.Sasa mpaka sasa WHO wamedhibiti kwa namna gani huu ugonjwa?
Mpaka sasa hakuna nchi ambayo iko immune na COVID -19.
Stay Safe.
corona imetangazwa rasmi 2020 mwezi wa kwanza.KWA hili SERIKALI imekwama Sana, KWA Hili hatufiki mbali, tukitaka kujifanya tunaweza kila kitu na hatupangiwi hata kwenye afya za watu ,the gov is too long