Mimi.
JF-Expert Member
- Sep 7, 2011
- 2,120
- 3,059
Japo sijafungua link...Ila sisi tunawapokea wazungu kwa vigezo kuwa wao ni watalii na wanachangia pato la Taifa.
Sio sisi hata Dubai pia wanapokea watalii kwa kua wanategemea Utalii kuendesha Nchi Yao kwa asilimia kubwa,lakini upokeaji wao ni tofauti kidogo na wa kwetu ,mataifa kanjanja kama nchi yetu ukifika Dubai lazima upimwe tena COVID unaonesha majibu ya nchini kwako na pia wanakupima tena na foleni hakuna kuna boots kama 50 with doctors wanachukua sample inside the airport before haujatoka arrival gate wala kwenye mizigo haujatoka kwenda kuchukua majibu ni after 24 hrs unaacha mobile number yako wanakutumia sms kama ukikutwa na covid Emirates in cover insurance cost za wewe kutibiwa, na Pia kwenye passport wanakubandikia steaker ambayo ni barcode ukiscan kwa Simu after 24 hrs itakupa majibu yako kama haukupata sms ya majibu
hapa Tanzania hawaulizi Cheti cha COVID ukitua sana sana unajazishwa form kuulizwa umetoka nchi gani na ulikaa seat no ngapi , sasa hiyo inasaidia? Na ukidanganya nobody cares muhimu uludishe form yao na hawana hata kalamu za kujaza hizo forms , pen ni moja mnashare passengers 100+ Wameshindwa kununua pen Ambazo zipo well sanitized and packed or hizo form zao wangekua wanawapa shirika na ndege usika watu wajaze wakiwa angani kuliko kulundikana pale airport
kwa kifupi mama Gwajima Kafeli kwenye hili, Umi Mwalimu aliweza nina mshauli mama Gwajima atoke kidogo aende hata hapo Dubai aone on how they handle this situation , if we surely needs the tourist