Kudorora kwa muhimili wa familia na wimbi la kukataa ndoa ni ishara ya ushindi kwa shetani




“Maana nawaonea wivu, wivu wa Mungu; kwa kuwa naliwaposea mume mmoja, ili nimletee Kristo bikira safi."
— 2 Wakorintho 11:2 (Biblia Takatifu)

hapo kinachosemwa hapo ni ndoa kati ya Kristo na kanisa
 
“Maana nawaonea wivu, wivu wa Mungu; kwa kuwa naliwaposea mume mmoja, ili nimletee Kristo bikira safi."
— 2 Wakorintho 11:2 (Biblia Takatifu)

hapo kinachosemwa hapo ni ndoa kati ya Kristo na kanisa
Kama ndoa ni kati ya kanisa na kristo, kuna andiko linasema kristo aliwahi kwenda au kuingia kanisani?
 
kuingia ka
Kama ndoa ni kati ya kanisa na kristo, kuna andiko linasema kristo aliwahi kwenda au kuingia kanisani?

kuingia kanisani kivipi. kanisa sio jengo. kanisa ni watu waliookolewa na Kristo. MATENDO 2:47.

“wakimsifu Mungu, na kuwapendeza watu wote. Bwana akalizidisha kanisa kila siku kwa wale waliokuwa wakiokolewa.

— Matendo ya Mitume 2:47 (Biblia Takatifu)
 
Taasisi za dini na serikali inabidi kuingilia kati kunusuru hili jambo.

Pale kutuo jumuishi temeke wanavunja ndoa Mia moja kila mwezi.

Hivyo ni wastani wa ndoa elfu moja na miambili kwa mwaka.

Familia za kitanzania kwa sasa zina wastani wa watoto wawili hivyo ni zaidi ya watu 4800 wanaathirika na kuvunjika kwa ndoa kwa mkoa wa Dar pekee kwa mwaka.
 
Sawa mkuu, hapo nimeelewa, lakini tukirudi kwenye mada, ndoa ni jambo muhimu na lazima, kukataa ni kupingana na maamrisho ya MUNGU
 
Sahihi mkuu, hali ya ndoa ni mbaya sana kwa sasa, watu wanaoana haipiti hata miezi wanaachana, hii ni ishara kwamba itafika wakati ndoa itakuwa ni jambo ambalo watu hawalizingatii na kutolipa umuhimu
 
Huo ni utani tu wa mitandaoni, wabongo bado ni watu wanaothamini sana ndoa. Ukitaka kuthibitisha hilo angalia kadi za michango ya harusi unazopokea
Upo sahihi ,mwezi wa tano niketoa mchanho zaidi ya 300k , hapo nimeigawa kwa 50k kwa kila harusi
 
Kurudi ktk asili ya maumbile ni ushindi wa muumba uliokua umeporwa na shetani aitwae ndoa
 
Kama unajitambua utajua umuhimu wa ndoa
kila kitu kina umuhimu kwa nafasi yake, ile kwamba ndoa ina umuhimu haina maana kwamba kutokuoa/kuolewa ni kutokujitambua, hata biblia haija mlazimisha mtu kuwa kwenye ndoa imempa mtu uhuru wa kuchagua nini afanye
 
kila kitu kina umuhimu kwa nafasi yake, ile kwamba ndoa ina umuhimu haina maana kwamba kutokuoa/kuolewa ni kutokujitambua, hata biblia haija mlazimisha mtu kuwa kwenye ndoa imempa mtu uhuru wa kuchagua nini afanye
Biblia imempa mtu uhuru wa kuzini maisha yake yote?
 
hapana .
kwani kutokua kwenye ndoa ni kuzini?
Labda nikukumbushe jambo


“Usiue, Usizini, Usiibe, Usishuhudie uongo, Usidanganye, Waheshimu baba yako na mama yako”. ( MK 10:19)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…