Kudorora kwa muhimili wa familia na wimbi la kukataa ndoa ni ishara ya ushindi kwa shetani

Labda nikukumbushe jambo


“Usiue, Usizini, Usiibe, Usishuhudie uongo, Usidanganye, Waheshimu baba yako na mama yako”. ( MK 10:19)
bado jibu halijitoshelezi.
swali langu linasema kuto kuwa na ndoa ni kuzini?
 
bado jibu halijitoshelezi.
swali langu linasema kuto kuwa na ndoa ni kuzini?
Majibu ya Biblia hayatoshelezi?

Ndyomaana nimesema ni lazima uwe unajitambua ili uweze kutofautisha hivyo vitu viwili.
 
kwa mantiki hiyo, basi ni sahihi tukisema kukataa ndoa sio shida. ila shida ni kwanini ukatae ndoa
Neno 'kukataa' tayari lina tafsiri ya kukiuka au kupingana na maelekezo
 
Habari za wakati huu wadau na wana familia wote.....

Moja ya nguzo muhimu katika maisha ya mwanadamu ni familia, hata Mungu alipo muumba Adam aliona amekuwa mpweke na akamletea mwenza, pia mwisho akawaamuru waende wakaijaze dunia.
Huyo Mungu mbona hakujiumbia Mke wake aishi nae pamoja?

Kama kuishi mume na mke ni jambo jema, Huyo Mungu kwa nini hana Mke?

Au huyo Mungu wenu anaogopa kuishi na mwanamke?
 
Pia shetani hana kazi na watu ambao tayari amewapoteza, ana deal na hao viongozi wa dini kwani wao ndyo wabishi na wana uelewa na imani kubwa, hao ndyo anawawinda kwa nguvu zote
Ndiyo hiyo sasa, dini zimekuwa sehemu ya kutafuta watu wa kuja kujaa kaburini unapozikwa, kwingine huko dini inabaki ya mtu mwenyewe!.
 
Lakini nashangaa kuona wengine wanasema dini ni mpango wa shetani
Kwanza Mungu hakuleta dini, ndipo hapo unaweza kutaka kujua nani kaleta dini na kwa makusudi gani.

Mfano, Ayubu 4:6 (inasema),
Je! Dini yako siyo mataraja yako, Na matumaini yako si huo uelekevu wa njia zako?
 
Kwanza Mungu hakuleta dini, ndipo hapo unaweza kutaka kujua nani kaleta dini na kwa makusudi gani.

Mfano, Ayubu 4:6 (inasema),
Je! Dini yako siyo mataraja yako, Na matumaini yako si huo uelekevu wa njia zako?
Dini ni mfumo wa Kumtukuza na kumuabudu Mungu, Huwezi kutenganisha Dini na Mungu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…