Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I support Lowassa after Dr Slaa. This is my standing. Respect it
Poor analysis...
Eliah G Kamwela says sorry for this very kilazaful post.
Nani Mwingine? Lema?
Hayo ya Richmond usituletee hapa, kwani mahakama za Kimataifa na za Tanzania zimeshamuwa na kumaliza kuwa Dowans walidhulumiwa na walipwe. Nini zaidi?
Kwa hiyo na sheikh Sharrif alikuwa Mzee? Kuanzia leo nitakuwa namwita Dk Slaa Sheikh kwa sababu ni Mzee piaMaana ya Sheikh ni Mzee, sasa Lowassa siyo Mzee?
Kama wafuasi wenyewe wa Lowassa ndo Nyie, huyu jamaa bado ana wakati Mgumu KisiasaInaniwia vigumu kila nikitazama safu ya Chadema kumpata wa kumliganisha uzito na huyu bingwa wa uzito wa juu katika medani za siasa ya Tanzania.
![]()
Nashindwa kupata jibu ni mwana siasa yupi ndani ya chadema ambae atasimama haswa na kuwakinaisha Watanzania wamchaguwe badala ya Lowassa iwapo ataamuwa kugombea kiti cha Urais Tanzania?
Maana najuwa Mbowe hana hamu tena baada ya kugaragazwa vibaya sana na Jakaya Mrisho Kikwete mwaka 2005.
Slaa nae choka mbaya, hana jipya zaidi ya majungu na siasa zisizo na mpango, hata ujumbe kwa Mwema ni ushahidi tosha kuwa kaishiwa kisiasa.
Nilidhani Zitto ataweza kwa kuwa ni damu changa lakini napata mashaka kuwa siasa za ukanda za chadema zitampa fursa ya kugombea, dalili zote zinaonesha chadema wa kanda ya kaskazini hawamtaki kabisa. Kwa hiyo huyu nnamtoa kwenye kinyan'ganyiro.
Shibuda hata akipitishwa kugombea akiambiwa Lowassa anagombea atakataa kuchuana nae.
Ka Mnyika, haka bado sana, hata ubungo inamshinda na sijui kama atashinda tena hata akigombea Ubunge huko. Kwishnei.
Halima Mdee, huyu hana ubavu, huyu akisikia Lowassa anagombea labda ajitafutie umaarufu tu - kwa hiyo huyu nje.
Nani mwingine?
Natamani Lowassa atangaze mapema kugombea 2015 angalau chadema waanze kujitayarisha mapema na mgombea ambae uchaguzi hautokuwa boring, maana hao wote juu Lowassa atawaonea tu.
CCM inatisha.
Maana ya Sheikh ni Mzee, sasa Lowassa siyo Mzee?
Mkuu wacha kubabaika na huyo fisadi, kama amekutuma kampigia debe basi ameisha shindwa kabla mbio hazijaanza!!! Kama CCM watamweka huyo kama mgombea basi kazi ya CHADEMA itakuwa nyepesi saana, pole ndugu yangu huyo hauziki!!!Inaniwia vigumu kila nikitazama safu ya Chadema kumpata wa kumliganisha uzito na huyu bingwa wa uzito wa juu katika medani za siasa ya Tanzania.
![]()
Nashindwa kupata jibu ni mwana siasa yupi ndani ya chadema ambae atasimama haswa na kuwakinaisha Watanzania wamchaguwe badala ya Lowassa iwapo ataamuwa kugombea kiti cha Urais Tanzania?
Maana najuwa Mbowe hana hamu tena baada ya kugaragazwa vibaya sana na Jakaya Mrisho Kikwete mwaka 2005.
Slaa nae choka mbaya, hana jipya zaidi ya majungu na siasa zisizo na mpango, hata ujumbe kwa Mwema ni ushahidi tosha kuwa kaishiwa kisiasa.
Nilidhani Zitto ataweza kwa kuwa ni damu changa lakini napata mashaka kuwa siasa za ukanda za chadema zitampa fursa ya kugombea, dalili zote zinaonesha chadema wa kanda ya kaskazini hawamtaki kabisa. Kwa hiyo huyu nnamtoa kwenye kinyan'ganyiro.
Shibuda hata akipitishwa kugombea akiambiwa Lowassa anagombea atakataa kuchuana nae.
Ka Mnyika, haka bado sana, hata ubungo inamshinda na sijui kama atashinda tena hata akigombea Ubunge huko. Kwishnei.
Halima Mdee, huyu hana ubavu, huyu akisikia Lowassa anagombea labda ajitafutie umaarufu tu - kwa hiyo huyu nje.
Nani mwingine?
Natamani Lowassa atangaze mapema kugombea 2015 angalau chadema waanze kujitayarisha mapema na mgombea ambae uchaguzi hautokuwa boring, maana hao wote juu Lowassa atawaonea tu.
CCM inatisha.
Mkuu Zomba shituka umejificha mvua kwenye mwembe ikizidi utalowa, ikija radi ikapiga utaumia!!! Kimbia ndugu yangu jiunge na winning team, your backing the wrong tree!!! EL alisha jiiishia zake kwenye siasa za TZ!!!Slaa nae choka mbaya, hana jipya zaidi ya majungu na siasa zisizo na mpango, hata ujumbe kwa Mwema ni ushahidi tosha kuwa kaishiwa kisiasa.