Kuelekea Mei Mosi 2022. Yanayotarajiwa, yatakayojiri. Je, Rais Samia atatimiza alichoahidi mwaka 2021?

Kuelekea Mei Mosi 2022. Yanayotarajiwa, yatakayojiri. Je, Rais Samia atatimiza alichoahidi mwaka 2021?

Mr Q

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2012
Posts
18,046
Reaction score
38,598
Kwa watumishi wa Umma. Na wengine wasio kuwa watumishi.

Zimebaki siku 11 kufika tarehe 1/52021 siku ambayo huitwa ya wafanyakazi.

ikumbukwe mwaka jana raisi alitoa kauli na hapa ninanukuu " niwahakikishie watumishi wenzangu mwaka ujao tarehe kama ya leo nitakuja na "pekeji" (kwa lafudhi yake)

Siku chache zilizo pita mzee mmoja bungeni ametamka kuwa serikali ipo ktk mazungumzo na vyama vya wafanyakazi na ipo bize kukamilisha miradi kwani nazo ni huduma za msingi ambazo kila mtu anazihitaji na kwamba mazungumzo yakikamilika wataangalia cha kufanya.(swali hapa ni je nyongeza au stahiki za wafanyakazi ni mpaka watu wakae mezani?)

Matarajio ya walio wengi.
Watumishi walio wengi ni matarajio yao raisi atatimiza alicho ahidi kama sivyo basi watakuwa wamerudishwa kwenye machungu ya the late JPM miaka zaidi ya mi 5 ya "ujenzi wa taifa" bila watumishi kukumbukwa.

Yapi maoni yako?

ratiba ya may mos
 

Attachments

Hata wakiongeza chochote hakisaidii.

Vyama vya wafanyakazi vimekaa Kama FISI anasubiri Mnofu, Makato ya yapo kwa asilimia.

Maana yake Mshahara ukiongezwa na wao wanaongeza MAKATO.

Kwahiyo unarudi pale pale, SQUARE ZERO.

Mimi hata Rais asipo ongeza chochote halafu akafuta huu WIZI wa Makato ya Lazima ya Vyama vya wafanyakazi, nitaona amefanya kazi kubwa sana ya kuopongezwa.
 
Mbona makato ya vyama vya wafanyakazi sio lazima mtumishi? Wanakatwa wale waliojiunga tu na hivyo vyama. Usipojiunga hukatwi.
Ni takwa la kisheria mtumishi kuwa mwanachama wa chama cha wafanyakazi
 
Nauhakika lazima kiwe na ongezeko sio chini ya 20%. Otherwise wazalendo na wavuja jasho wa nchi hii hawataweza kuvumilia mateseo haya ya muda mrefu.
 
Mimi siko kwenye halmashauri yoyote na ofisi yetu haifungamani na halmashauri .
Naripoti kwa chief executive naye anaripoti kwa waziri
Vyeo vya teuzi au hizihizi ajira za kupambania tamisemi
 
Back
Top Bottom