Mr Q
JF-Expert Member
- Aug 16, 2012
- 18,046
- 38,598
Kwa watumishi wa Umma. Na wengine wasio kuwa watumishi.
Zimebaki siku 11 kufika tarehe 1/52021 siku ambayo huitwa ya wafanyakazi.
ikumbukwe mwaka jana raisi alitoa kauli na hapa ninanukuu " niwahakikishie watumishi wenzangu mwaka ujao tarehe kama ya leo nitakuja na "pekeji" (kwa lafudhi yake)
Siku chache zilizo pita mzee mmoja bungeni ametamka kuwa serikali ipo ktk mazungumzo na vyama vya wafanyakazi na ipo bize kukamilisha miradi kwani nazo ni huduma za msingi ambazo kila mtu anazihitaji na kwamba mazungumzo yakikamilika wataangalia cha kufanya.(swali hapa ni je nyongeza au stahiki za wafanyakazi ni mpaka watu wakae mezani?)
Matarajio ya walio wengi.
Watumishi walio wengi ni matarajio yao raisi atatimiza alicho ahidi kama sivyo basi watakuwa wamerudishwa kwenye machungu ya the late JPM miaka zaidi ya mi 5 ya "ujenzi wa taifa" bila watumishi kukumbukwa.
Yapi maoni yako?
ratiba ya may mos
Zimebaki siku 11 kufika tarehe 1/52021 siku ambayo huitwa ya wafanyakazi.
ikumbukwe mwaka jana raisi alitoa kauli na hapa ninanukuu " niwahakikishie watumishi wenzangu mwaka ujao tarehe kama ya leo nitakuja na "pekeji" (kwa lafudhi yake)
Siku chache zilizo pita mzee mmoja bungeni ametamka kuwa serikali ipo ktk mazungumzo na vyama vya wafanyakazi na ipo bize kukamilisha miradi kwani nazo ni huduma za msingi ambazo kila mtu anazihitaji na kwamba mazungumzo yakikamilika wataangalia cha kufanya.(swali hapa ni je nyongeza au stahiki za wafanyakazi ni mpaka watu wakae mezani?)
Matarajio ya walio wengi.
Watumishi walio wengi ni matarajio yao raisi atatimiza alicho ahidi kama sivyo basi watakuwa wamerudishwa kwenye machungu ya the late JPM miaka zaidi ya mi 5 ya "ujenzi wa taifa" bila watumishi kukumbukwa.
Yapi maoni yako?
ratiba ya may mos